Hopeless kabisa wewe. unafikiri wanaotoa taarifa mitandaoni ni ghost ama? mbona wewe unamshauri Mh Rais kwa kutumia mtandao?Mama nae asifate ya mitandaoni ajaribu kutumia vyanzo vyake vingine vya habari na vya kuaminika(aache kudemka na mitandao)
Mama anasoma comments zoteeee KWA furaha hii ya wananchi hawez mrudisha
Dark skin not for you?Mhh how so😂?
Hapana for me kwa kweli
Hey broHe is good looking though.
Who agrees?
Bilashaka we ndo Saa baya mwenyewe, manina, sasaiv ulinzi huna,subiri wale uliowapora Mali zao wakuTIGOHuyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.
Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
Mkuu Bora angetenguliwa, ila kupisha uchunguzi wa tuhuma ni pakubwa zaidi.
Jua itaundwa timu hapo.
Sio kazi ndogo huyu jamaa ataishia jela hakika.
Alimkata kijana wa watu masikio ,akaulizwa hiyo swali Clouds hajaikanusha kajibu indirect ila ilionyesha ni kweli ,alikuwa na kiburi sana ,inshort jamaa hafai kabisa
Not at all.,Dark skin not for you?
Hey Sis. Want some?Hey bro
Atapata nafasi nzuri kuiendeleza hii, wakati mambo mengine yakiendelea.CEO: TANZANIA YOUTH DEVELOPMENT
Yes, come bruder!Hey Sis. Want some?
Arusha leo ni sherehe....Siyo Mbowe tu. Amenyanyasa watu wengi sana huyu jamaa.
Mi hapana aiseeNot at all.,
Am for maji ya kunde or lighter