Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.

Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
Bilashaka we ndo Saa baya mwenyewe, manina, sasaiv ulinzi huna,subiri wale uliowapora Mali zao wakuTIGO
 
Kuna majitu huku yanafurahia kutumbuliwa kwa huyu jamaa lakini ukiwauliza kawakosea nini, hawana cha kujibu.
 
Back
Top Bottom