Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Jan 29, 2021
573
2,553
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Serikali za Mitaa.

Katika mabadiliko hayo, Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi mpya pamoja na kuwahamisha vituo vya kazi baadhi ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji.

Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:
IMG_7501.jpeg
IMG_7502.jpeg
IMG_7503.jpeg
IMG_7504.jpeg


IMG_7505.jpeg
IMG_7506.jpeg
IMG_7507.jpeg
IMG_7508.jpeg
IMG_7509.jpeg
IMG_7510.jpeg
IMG_7511.jpeg
 
Back
Top Bottom