Portable Document Format (PDF) is a file format developed by Adobe in 1993 to present documents, including text formatting and images, in a manner independent of application software, hardware, and operating systems. Based on the PostScript language, each PDF file encapsulates a complete description of a fixed-layout flat document, including the text, fonts, vector graphics, raster images and other information needed to display it.
PDF was standardized as ISO 32000 in 2008, and no longer requires any royalties for its implementation.PDF files may contain a variety of content besides flat text and graphics including logical structuring elements, interactive elements such as annotations and form-fields, layers, rich media (including video content), and three-dimensional objects using U3D or PRC, and various other data formats. The PDF specification also provides for encryption and digital signatures, file attachments, and metadata to enable workflows requiring these features.
Edit: Nimshukuru thesym kwa kuweza kushare nasi link muhimu yenye vitabu kibao, nimeweza kupata vitabu nilivyohitaji nawe waweza kujaribu.
link ya vitabu
Ndugu zangu,
Kitabu cha Abdul Sykes hicho hapo chini kwa atakae kukisoma.
KInapatikana Hard Copy Ibn Hazm Media Centre katika maduka yake ya vitabu Msikiti wa Mtoro, Manyema (Kariakoo), Mtambani (Kinondoni) na Kichangani (Magomeni) bei Shs: 10,000.00...
nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.
Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa nimeacha Instagram emoj ipo juu, nikaona kama kitu kimepita pale nikaogopa kuangalia nikawa naangalia...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Serikali za Mitaa.
Katika mabadiliko hayo, Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi mpya pamoja na kuwahamisha vituo vya kazi baadhi ya Makatibu...
Tunakupa Notes za secondary zilizo katika format ya PDF kwa bei nafuu sana.
1. Notes tumeziandaa wenyewe.
2. Tumezingatia syllabus katika kuziandaa kwa hiyo Topic zote zipo.
3. Kwa upande wa Geography na Biology michoro, diagram na picha zote zipo kukufanya uelewe kirahisi sana masomo hayo.
4...
Salaamu
Karibu ujipatie PDF za mazao mbali mbali,
Zipo PDF za mazao 11 (1. Viazi Mviringo 2. Hoho 3. Tikiti Maji 4. Vitunguu Maji 5. Parachichi 6. Kabichi 7. Pilipili Kali 8. Karoti 9. Bamia 10. Nyanya, 11. Tango).
PDF zimeeleza kila kitu unachohitaji kujua kuhusu zao husika, kuanzia...
Mwenye jedwari linaloonyesha annua increment ya kila mwaka kwa kada ya ualimu tunaomba atupie hapa tuone kinachoongezeka maana ongezeko la mshahara hapo ni 50% 50%
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu.
NB: Depo ya kihangaiko ya mvua ni balaa wazee. Jiandaeni kisaikolojia. Sijawahi kupiga hiyo, ila atleast kwa mazingira...
Sensa huwa ina mambo na taarifa nyingi ambazo hawawezi kuzitoa uwanjani. Mfano idadi ya watu kwa kila mji na kila kata.
Naomba mwenye PDF yake anisaidie.
KITABU CHA ABDUL SYKES KATIKA PDF
Kitabu hiki kilichochapwa na Minerva Press London 1998 sasa kipo katika pdf.
Nimeshindwa kupata link lakini nimewatumia watu wengi katika Whatsapp peaneni humo kwa humo na wenyewe kwa wenyewe mpate kukisoma kitabu hiki bure.
Soma Kwa Furaha.
PDF pichani inaeleza kwa ufupi uzuri na ubaya wa aina za mifumo tajwa ya uendeshaji lengo likiwa kukuongoza kufanya uchaguzi sahihi wa aina ya gari unayofikiria kuagiza kulingana na matumizi yako. Pitia ujifunze zaidi
Kigezo cha umri wa mwombaji na kigezo cha mwaka wa kuhitimu kwenye PDF aloitoa anaona kiko Sawa?
2015 kaachwa na 2021 kachukuliwa.
Mathematics kuwa arts subjects?
Wale watu wa TAMISEMI huwa wanatuona hamna kitu kichwani?
Mnakatisha hamu vijana kusoma makusudi ili watoto wenu waendelea kula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.