Heparin
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 127
- 420
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART).
Miongoni mwa watu hao ni Daniel Chongolo aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe na Waziri Kindamba aliyeteuliwa kuwa mkurugenzi mkuu wa UDART.
Miongoni mwa watu hao ni Daniel Chongolo aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe na Waziri Kindamba aliyeteuliwa kuwa mkurugenzi mkuu wa UDART.