benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kama ifuatavyo:-
  1. Amemteua Dkt. Jones A. Killimbe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).

  2. Amemteua Bw. Juma Hassan Reli kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Uteuzi huu umeanza tarehe 12 Novemba, 2023.

Screenshot 2023-11-13 at 18.30.07.png
 
Jaman naombeni Siri na Mimi niteuliwe na rais

Unatakiwa uwe na sifa gani??

Maana wenzetu wanaula tu wanatenguliwa wanarudishwa wanatolewa post A kwenda post B

Bongo ramani kama hunae ramani shida
 
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kama ifuatavyo:-

1. Amemteua Dkt. Jones A. Killimbe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).

2. Amemteua Bw. Juma Hassan Reli kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Uteuzi huu umeanza tarehe 12 Novemba, 2023.

Zuhura Yunus
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

20231113_185137.jpg

Pia soma: Uteuzi: Rais Samia ateua Mabalozi pamoja na kuvunja Bodi ya TCRA
 
naona kasawazisha Goli! maana mlengo ulikuwa wa upande.mmoja

Noma sana kujaza watu wooote wa dini moja kwenye nchi ambayo wateuzi wanahitaji umakini wa ukabila na udini! tuache uchawa
 
Jaman naombeni Siri na Mimi niteuliwe na rais

Unatakiwa uwe na sifa gani??

Maana wenzetu wanaula tu wanatenguliwa wanarudishwa wanatolewa post A kwenda post B

Bongo ramani kama hunae ramani shida
Umepata mafunzo Mbweni?
 
Ni taasisi ya muungano :

Dr Jones A Killimbe, (PhD in Telecommunications Engineering) mwenyekiti wa zamani wa bodi ya TCRA Tanzania Communications Regulatory Authority.
Dr. Jones A. KILLIMBE is an M Sc and a PhD holder of Telecommunications Engineering from the University of Telecommunications Dresden/Germany. He joined the Tanzania Posts and Telecommunications Corporation (TPTC) in 1989 and later the Tanzania Telecommunications Company (TTCL) in 1994.
Between 1994 and 2003 he held a number of senior positions in the Company including Director of International Operations, Director of Network Construction, Deputy Managing Director, Acting Managing Director and Executive Director. He joined the Regional African Satellite Communications Organizations (RASCOM) in January, 2004 as the second DG/CEO since its establishment in 1993. He was also at one time a member of the Board of Governors of INTELSAT and Board Director/Chairman of RASCOM. He is Chairman of the African Regional Working Party on Private Sector Issues to the Forum on Telecom/ICT Regulation and Partnership in Africa (FTRA). RASCOM is an African Continental Organization with the mission to launch a dedicated communication satellite for Africa and it brings together 44 African countries plus the West African Development Bank (BOAD). Its headquarters is in Abidjan, Ivory Coast.


Bw. Juma Hassan Reli amewahi kuwa : Katibu mkuu Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar, Katibu Mtendaji Tume ya Mipango Zanzibar, Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania.
Juma Hassan Reli : University of Birmingham Masters in Business Administration (MBA) Accounting and Finance
 
Jaman naombeni Siri na Mimi niteuliwe na rais

Unatakiwa uwe na sifa gani??

Maana wenzetu wanaula tu wanatenguliwa wanarudishwa wanatolewa post A kwenda post B

Bongo ramani kama hunae ramani shida
Bila Network sahau cheo Serikalini
 
Back
Top Bottom