Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Hapa mlengwa ni SA.
South Africa hapa Afrika mpinzani wake anaweza akawa Misri, Algeria na wengine wachache wasiozidi wawili. Wako well equiped brother, Rwanda hawezi fikiria kabisa kukabiliana na SA.

Pili, SA ile ni Ulaya ndani ya Africa. Sasa kupambana na mzungu mwenye pesa zake kwa nchi kama Rwanda sio kweli.

Mlengwa hapa ni Tz. Marehemu Mtikila aliwahi kulisema hili kwamba Kagame na Watusi wenzake wamepandikiza watu wengi ktk vyombo vyetu vya usalama, kuna kipindi ikasadikika hata ikulu wapo baadhi ya walinzi ni kutoka Rwanda, hii ilikuwa kipindi cha Hayati Magufuli.
 
Usiseme wanyarwanda sema watutsi we kabila moja linahodhi kila kitu halafu useme eti nchi hiyo ina uzalendo. Uzalendo upo ila wa kikabila
Pole sana, kwa taarifa yako tu jeshi la Rwanda RPDF limejaa wahutu kibao na wako loyal na taifa lao, na ndio maana wana intelijensia kali sana.

Huwezi ukalinganisha na hili jeshi la ccm ambalo lipo kwa ajili ya kulinda watawala wakati huo maadui kuliko mpkani mwa Tz na Malawi wakijatawala.
 
Iran baada ya vita na Israel wamekamata mamluki 700 kwa jumla yote.
Watatu walishanyongwa

Hizi habari zili trend kwenye mitandao sana

Hawa sasa ndio wa kupotezwa sio wanaopiga kelele
 
we nae tafuta maisha kila sku unalalamikaga tu
Hujui nina maisha kukushinda wewe unayeshinda humu kwa sababu tu unategemea makombo ya kutuiwa toka mezani kwa Samia na Genge lake?
Ni wajibu wangu kukumbusha hali yako hiyo duni uliyojiweka mwenyewe.
 
Wanaombeza au kukaa kimya basi hawajui uwezo wake huko frontier.
Lakini si huyo anayembeza (Kagame) kishajaribu na kuona mwenyewe udhaifu ulio (hilo analokumbushia askari wa Tanzania kufurumushwa na kulazimika kuwa chini ya ulinzi wake wakati wote wakiwa njiani kurudi nyumbani). Kwa hiyo huyu habezi bila kujuwa anachobeza.

Hakuna anayefurahia ki-nchi kama haka hata kuwazia tu kuichokonoa Tanzania, lakini ukweli ni kwamba kwa wakati huu tuliomo, tuombe sana tusiingie kwenye migogoro na majirani; kwani tutaaibishwa sana.
Uimara hautokani tu na vijana walivyo tayari; ni amoja na kuwa na uimara wa uongozi wa nchi nzima. Sasa hivi kama nchi tuo chini sana kiuongozi.
 
Kwa ufupi tu huyu jamaa Lugumi anaishi na spy wa kagame kama mke wake, halafu eti ndio ameshikilia tenda ya kuingiza silaha za jeshi nchini?

Mpaka kuba watu bado wanaamini hatuko uchi mbele ya kagame?
Watu ambao wanakaza FUVU ni MAJUHA tu

Screenshot_20250708_093144_Chrome.jpg
 
Juzi tu hapo, tumetoka kwenye mashambulizi makali ya Wakenya dhidi ya Rais na Bunge.

Umeona Mtanzania yoyote anawatetea watawala au kuwapambania??

Au unadhani watu hawaoni??


Na unadhani ukiwapa waTZ hao hizo silaha wakapigane wataenda kupambanana siyo ku-SURRENDER??
Mashambulizi ya kimtandao ama cyber bullying unafananishaje na vita!?
Embu shirikisha ubongo wako mkuu kwa upana, unadhani Kagame akija hapa akavamia nchi atachagua hawa CCM hawa sio CCM!?
Unadhani hasara moja kwa moja inakuja kwa nani kama sio taifa zima!?
 
Unazeeka vibaya wewe mzee
Kama kumkataa Samia Suluhu Hassan na GENGE lake kuididimiza nchi hii nzuri ni "kuzeeka vibaya"; naomba mara mia nizeeke hivyo hivyo vibaya.
Hili siyo jambo la kujutia hata kidogo, ni jambo la kuonea fahari kubwa.
Umenielewa?
 
Mashambulizi ya kimtandao ama cyber bullying unafananishaje na vita!?
Embu shirikisha ubongo wako mkuu kwa upana, unadhani Kagame akija hapa akavamia nchi atachagua hawa CCM hawa sio CCM!?
Unadhani hasara moja kwa moja inakuja kwa nani kama sio taifa zima!?
Kimsingi, ninakubaliana na hii dhana yako. Inasikitisha sana waTanzania tunaolazimika hata kuona nafuu ya kuvamiwa kuliko watawala wanaotuumiza wenyewe ha a.

Taifa linao sambaratika, hali ndivyo inakuwa hivyo. Ni vigumu sana kuwalaumu wanaojiweka embeni, kwa sababu hawaoni maana ya kuambania utawala unaowakandamiza.
Sasa hivi ni kama nchi nzima tunawatumikia akina Samia na GENGE, kwa jina la CCM!

Mawazo ya namna hii yanaumiza, lakini ndivyo tulivyo sasa, hatuwezi kukaana hali inayotukabili.

Tunalilia tu, hata HAKI ya kuweza kupiga kura HURU?
 
Acha shobo basi mama sijui baba, au huwa unaniota maana naona umekuwa busybody ghafla sana.
Ni haki yangu kukutia adabu unaokengeuka!
Unakuja humu na kujifanya mnafiki; kumbe unayo ajenda ya kishetani na GENGE lenu na Samia.
 
Mashambulizi ya kimtandao ama cyber bullying unafananishaje na vita!?
Embu shirikisha ubongo wako mkuu kwa upana, unadhani Kagame akija hapa akavamia nchi atachagua hawa CCM hawa sio CCM!?
Unadhani hasara moja kwa moja inakuja kwa nani kama sio taifa zima!?
Kama huwezi kuona MOSHI.

Hata MOTO huwezi kuona
 
Kama kumkataa Samia Suluhu Hassan na GENGE lake kuididimiza nchi hii nzuri ni "kuzeeka vibaya"; naomba mara mia nizeeke hivyo hivyo vibaya.
Hili siyo jambo la kujutia hata kidogo, ni jambo la kuonea fahari kubwa.
Umenielewa?
Wajukuu zako wanatabu sana
 
Imeamua kuachana nae au kawadhalilisha? Jeshi la kichawa linawezaje kupambana na watu wenye akili?
Cha muhimu ni uwezo wa silaha na uwezo wa kitaaluma wa mipango ya kupigana.

Tunapigana na matatizo mengi ya kiuchumi tuliyonayo kuliko kupigana mabomu na kuuana.
 
Hujui nina maisha kukushinda wewe unayeshinda humu kwa sababu tu unategemea makombo ya kutuiwa toka mezani kwa Samia na Genge lake?
Ni wajibu wangu kukumbusha hali yako hiyo duni uliyojiweka mwenyewe.
watu wengi bna 🤣
 
Watu ambao wanakaza FUVU ni MAJUHA tu

View attachment 3398207
Nimeusoma huu uzi mkuu, aisee hii nchi kumbe iko uchi tangu kitambo sana kwa mr.Slim

Imagine mtu alikuwa ni luten Kanali tena yuko kwenye kitengo cha IT kumbe ni mamluki, na pengine huyo alikuwa ni mmoja tu ambaye tulimshtukia, vipi wale ambao hatujawahi kuwashtukia mpaka leo?

Bana Kagame ana uhakika na anachokiongea na anatudharau sana kwa sababu hatuna cha kumfanya.
 
Back
Top Bottom