mkokamoto
JF-Expert Member
- Jan 2, 2024
- 1,311
- 1,657
Eti " ...nadhani anajua mziki wa Tanzania ukoje?" yawezekana unamtunishia Bongo flevaš®Huyo ashazoeleka kuropoka tangu enzi za JAKAYA.
Ila nadhani anajua mziki wa Tanzania ukoje.
Eti " ...nadhani anajua mziki wa Tanzania ukoje?" yawezekana unamtunishia Bongo flevaš®Huyo ashazoeleka kuropoka tangu enzi za JAKAYA.
Ila nadhani anajua mziki wa Tanzania ukoje.
šššHivi huo usiri husaidia nini? ikiwa mataifa yenye nguvu za kijeshi kama China, Russia, Iran, Israel, Turkey n.k huonyesha uwezo wao kijeshi, hii Tanzania kuna siri gani?
Hio siri inasaidia nini?
Wanaombeza au kukaa kimya basi hawajui uwezo wake huko frontier.Kwa bahati mbaya hataweza, kwa sababu yuko saiti; kule vijana wanako tengeneza kokoto ,
Tunao mbeza Kagame , kama ilivyo kawaida yetu.ni kama sisi wenyewe hatuna akili timamu; yeye anatumia vigezo vilivyo wazi; kwa juzi juzi kututia aibu hujo DRC; sisi tunauza soga tu, na miasho!
Maccm yanalipuuza hili, ila siku likitokea ndio wataamini kumbe lisemwalo lipo.Vita vikitokea sasa hivi wananchi wengi watamuunga mkono mvamizi
Teh..teh... teh... laba huko Lugalo na kwingineko kuna secret technology ambayo haipatikani popote pale duniani zaidi ya bongo hapa, na wanataka waje watusurprise kwa kutengeneza B-2 spirit ya kikwetu kwetu, ambayo itakuwa ni bora zaidi ya ile iliyotungua nuclear sites za IranHivi huo usiri husaidia nini? ikiwa mataifa yenye nguvu za kijeshi kama China, Russia, Iran, Israel, Turkey n.k huonyesha uwezo wao kijeshi, hii Tanzania kuna siri gani?
Hio siri inasaidia nini?
Tuwe wakweli, SADC walijaribu kufanya huo ubabe wakazidiwa, walishindwaSADC ilipaswa kufanya ubabe na iwe onyo kwa M23 kuleta ghasia kusini mwa bara la Africa... tuseme tu SADC wamefeli..
Sikupingi, na imekuwa aibu...Tuwe wakweli, SADC walijaribu kufanya huo ubabe wakazidiwa, walishindwa
Kwamba kuwa. Fisadi na nchi Yako kuwa masikini ndio uzalendoKama kweli kayasema haya basi jamaa mipasho sana kama mwanamke.. mwanaume tena mjeshi na kuongozi wa nchi hawez kuwa mpumbavu kiwango hichi
Kwa hali tuliyonayo hivi sasa, vita vikitokea wananchi wengi watamuunga mkono mvamizi
Ni kweli wakuu,Maccm yanalipuuza hili, ila siku likitokea ndio wataamini kumbe lisemwalo lipo.
Yaani itakuwa ni serikali ya CCM vs WAVAMIZI & RAIA
Huwezi kuwa na siri yeyote kama hutengenezi silaha zako mwenyewe. Kila ukiagiza vifaru makombora, ndege za kivita, drones, nk, vinaingia kwenye database huko. Ndiyo maana uki Google tu unajua ubora wa jeshi la nchi yoyote na vifaa inavyomiliki ikiwemo Tz.TPDF inafanya kazi zake kwa usiri na umakini mkubwa Sanaa,Tofauti na watu wanavyoifikiria.
Unafikiri yeye kwake hawajagawanyika??Ameshoma siasa za wabaya wake akajua raia wamegawanyika sana na hiyo ndio karata yake turufu.
Bila Tanzania Kagame asingefika popote!. Anachofanya Kagame kwa sasa dhidi ya Tanzania ni kile wanachosema kwa lugha ya kinyarwanda ( pia Kirundi,kiha,kihangaza na kishubi ) ya kwamba : " UMUYOVU UMUVURA AMASO,BUKEYE AKAYAKUKANURIRA!".Hii kauli inaonyesha jinsi gani wamejipanga. Vyombo vya Ulinzi na Usalama viwe macho muda wote
Na waunde kamati wakayachunguze kweli maana kwa yale makombora hata mie sishauri wamruhusu aunde nuclear weapons itakua ni disaster.Macron anataka iundwe kamati ikachunguze makombora ya iran š
Rwanda unaimaliza tu kwa "war of attrition".wengi humu wanajazana ujinga tu.Serikal ya tanzania niya busara sana na siku zote mwenye uwezo huwa ajigambi wala kuongea sana ila wadhaifu ndio wanakuaga na mikwara mbuzi.Hiyo rwanda ukiwafungia kupitisha vitu vyao bandarini ni miezi michache tu wanaomba poo hapo bado dagaa,mboga mboga na vyakula vingine wanavyokuja kuangaika kununua uku.Tena ashukuru kupakana na tanzania isiyopenda vurugu zakijinga.
View: https://youtu.be/wUu2W2Mk3k0
General Paul Kagame amezungumzia mgogoro wake na Congo. Moja ya vitu alivyovisema ni kwamba wale wote ambao wanaamini kwamba wanaweza kuitishia Kigali wakiwa mbali anao uwezo wa kuwafuata hukohuko makwao.
Akaendelea kusema kwamba, wale waliokuwa wanaiunga mkono serikali ya Congo, Rwanda iliwasamehe na kuwaacha wapite nchini Rwanda na kurudi makwao. Katika watu ambao waliruhusiwa kupita Rwanda ni pamoja na askari wa JWTZ ambao kuna video inaonesha wanasachiwa ili kurudi nyumbani.
Paul Kagame amesema, kama wale wanajeshi wangethubutu kutunisha misuli bila kusalimu amri basi wangeangamizwa wote. Tena kama kuna wengine wataendelea kufikiria kwamba wataitishia Rwanda basi watafuatwa hukohuko makwao.
Maneno ya Dikteta Paul Kagame yameanzia dakika ya 14 ya hii video niliyoambatanisha hapa. Ni ujumbe wa vitisho kwa mataifa ya SADC, ikiwemo Tanzania, Malawi na Afrika Kusini.
Kuna msemo husema hivi, "Usipokuwa makini, hata mbwa atakucheka"
Povu Ruksa, Karibu Sana......
ACT ni tawi la CCM, hujui au unatuzuga tu?Sikiliza we mkundu wewe,sio Kila anayeleta hoja kutetea serikali yeye ni CCM.
Mie ni mwanasiasa na nina uanachama wa ACT wazalendo tawi la Chang'ombe,ila linapokuja suala la nation interests HUWEZI ukaleta uchama matako wewe.
Wewe una uhakika kama Tanzania haijafanya maboresho yeyote kijeshi?
Wewe una uhakika Tanzania haijajipanga kwa lolote!??
Anaepigana ni rais au wanajeshi??
Matako mkubwa wewe.
Jidanganye mkuu,usidharau taifa hata kidogo.Jamaa sikiliza kwanza hiyo speech ya Kagame.
Kazungumzia sana hivyo votisho vya silaha.
Anasema unaweza kurusha hata rocket ukiwa kwako, lakini wao Rwanda wana iwezo wa kukufuata pale pale ulipoweka hayo makombora yako wakakumaliza.
Kulingana ma hali tuliyonayo, kiuhalisia Kagame yuko sahihi.
Mfano, kwa TZ mifumo yetu yote ILISHAKUFA.
Hakuna mtu anadharau mtu mwingine.Jidanganye mkuu,usidharau taifa hata kidogo.
Hata wenyewe wazungu kitu ambacho wanakisisitiza ni kutomdharau adui yako tena hilo wamejifunza juzi tu kwa Iran.