Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Ili kujiita una nguvu kwa dunia ya sasa lazima..
1-uwe na idara bora kabisa ya usalama na vyombo vya usalama ambavyo havijihusishi na siasa wala kutumika kisiasa..

2-silaha za kisasa, teknolojia za kisasa na wataalamu wa cyber security, electronics warfare, ITs n.k .....

3-Wananchi wazalendo ambao wata support nchi yao kwa nguvu moja kipindi cha vita

sasa tujiulize katika hayo tupo hapo kweli?
Chombo kipi cha Idara ya usalama hapa Afrika mashariki ambacho hakijihusishi na siasa na kutotumika kisiasa?

Rwanda inaipita Tanzania haswa kwenye nini?
 
Unadhani Tanzania hawajui hilo? Fidel Castro alijua Marita Lorenz ni spy aliyetumwa na CIA kuja kumuua kwa njia ya kumlaghai kimapenzi lakini mwisho
wa siku Marita akazama kwenye penzi zaidi yeye.

Mkuu, michezo anayoicheza Rwanda kwa Tanzania imeshaifanya sana. Hakuna taifa lililolalamikiwa sana OAU kama Tanzania hususani kama michezo michafu anayoifanya Kagame. Michezo anayoifanya Rwanda sasa hivi Tanzania imeanza kuifanya tangu miaka ya 1960.

Mkuu, hivi unaifahamu TISS namna ilivyo? Au ulishawahi kufanya kazi yoyote ambayo imekukutanisha na wa makao makuu pale Dodoma achana na hawa wa kawaida ambao hawana ethics?

Mkurugenzi Mkuu wa idara mwenyewe hafahamu kurugenzi zote zinazoshughulikia kazi tofauti tofauti ndani ya TISS.

Hivi unaichukuliaje Idara?
Kwa matukio ya kina Chaula, Sativa, Kitima, Lissu, Mdude, Lugumi, wazir Salum, Gwajima.

Ni dhahiri kuwa HAKUNA akili huko.

Tunajilisha upepo tu.
 
Chombo kipi cha Idara ya usalama hapa Afrika mashariki ambacho hakijihusishi na siasa na kutotumika kisiasa?

Rwanda inaipita Tanzania haswa kwenye nini?

unyarwanda Christians >90% na muslims ni 2% tu, unaweza kusema no muslims in unyarwanda …
 
Kwa matukio ya kina Chaula, Sativa, Kitima, Lissu, Mdude, Lugumi, wazir Salum, Gwajima.

Ni dhahiri kuwa HAKUNA akili huko.

Tunajilisha upepo tu.
Wa kwenye Idara wanaotumika kufanya hivyo ni waliyopitishwa na viongozi wa CCM. Ila hawana maamuzi ndani ya idara.

Ni wamekusanywa na kuwatumikia waliyowaunda.
 
Drc hana jeshi bora kuliko sisi,drc wana bajeti kubwa ya wizara ya ulinzi kuliko sisi,na wana silaha za kisasa zaidi yetu,kumiliki sukhoi 25 si jambo dogo,shida yao hawana askari wazalendo,na ndicho kitu pk alichowawin kwenye hii vita,vita imekua ngumu hata sadc sababu mbinu zao za kumkabili adui unakuta m23 wanajua,wakongo wanalipwa na pk tena ni majenerali wa jeshi la congo,hata wale wapiganaji wa kukodiwa toka ulaya waliamua kujisalimisha sababu ya unafiki wa jeshi la kongo,unapigania nchi ya mtu halafu huyo mwenye nchi anaenda kujisalimisha kinafiki,wenye nchi ndio wanaotoa siri zote za vita kwa adui,congo hamna jeshi pale
Kweli kabsaa mkuu, ndo maana inatia aibu chama tawqla wanapo wanunua wapinzani.
Basi wanajiona wana akili kubwaa kweli, kumbe wanaufunua utupu wao wenyewe. Tunawaonesha wajuvi wa mambo jinsi tulivyo cheap like prostitute as whole nation.

Tatzo la congo sio wa rwanda ni upumbuvu wa wakongo wenyewe.

Wasipo badili tabia zao za ubinfsi hata wasipovurugwq na rwanda wataibuka miungu watu miongon mwao na watawafanyia the same tukumbuke Shombe huko jimbo la katanga.
 
Wa kwenye Idara wanaotumika kufanya hivyo ni waliyopitishwa na viongozi wa CCM. Ila hawana maamuzi ndani ya idara.

Ni wamekusanywa na kuwatumikia waliyowaunda.
Kwa lugha rahisi, KWISHA KAZI.

Sasa kama upo na huna maamuzi.

Wenye maamuzi ni VIAZI, utasemaje TUKO VIZURI??
 
Nimeusoma huu uzi mkuu, aisee hii nchi kumbe iko uchi tangu kitambo sana kwa mr.Slim

Imagine mtu alikuwa ni luten Kanali tena yuko kwenye kitengo cha IT kumbe ni mamluki, na pengine huyo alikuwa ni mmoja tu ambaye tulimshtukia, vipi wale ambao hatujawahi kuwashtukia mpaka leo?

Bana Kagame ana uhakika na anachokiongea na anatudharau sana kwa sababu hatuna cha kumfanya.
Ndivyo mnavyojidanganya?

Ikotokea vurugu kati ya Tanzania na Rwanda mtapata wakati mgumu sana mliyo na asili ya kitutsi ndani ya hii nchi, na mtawaponza wenzenu na hata kuhatarisha uhai wenu. Na hiyo history Tanzania imeshawahi kuthibitisha na kufanya kweli katika hilo!

Awamu ya Kikwete baada ya PK kutoa kauli yake kuwa nafahamu mpaka shuka unalolalia, kwa upuuzi wake aliyoufanya wenzenu wa Ngara walikuwa wanafurahia kama nyinyi mnavyofurahia ndani ya Jf.

Matokeo yake Ngara nzima ilizingirwa. Wengine waliuwawa, kutaifishwa mali na wengine kufukuzwa Tanzania na kuambiwa wachape lapa kuelekea Rwanda na waliyokuwa serikalini wenye vyeo walipitia kipindi kigumu sana na walifanyiwa mabaya zaidi ya hayo.

Waulize wa kibiti kule walivyowaponza waislamu wa kule wote. Walipotezwa eeh?! Waulize na polisi waliyokuwa wanahongwa na magaidi wa Kibiti watoe siri hali ya kuwa hao polisi wamo kwenye kikosi nguvu kazi kilochojumuisha majeshi yote nchini walipotezwa wote.

Tena nyinyi watutsi Operation Kimbunga ya JK wale makabila yote yenye asili ya kitutsi mliipata ya moto. Wazazi mlitenganishwa na watoto wenu na kuwekwa kwenye ma camp. Mmesahau eeh?

Jitieni ujinga kwa kumshabikia PK wenu halafu subirini kinuke.
 
Congo ameshaivuruga kabisa na anajivua , Tz hawezi kutest kwa sasa kwa Tz bado ana safari ndefu
kwa Tanzania bado ana safari ndefu zaidi.
Na akijichanganya TZ inatoa sapoti Burundi tu kazi imeisha.
 
Jamaa bado ana hasira na JK....anamtafuta sana.
Hamtafti JK mkuu, Jk ashastafu kitambo, labda awe anaitafta tz.

Wala sioni kama anatania ktk hiyo maneno yake. Labda tuseme anaweza kushindwa vibaya lakina ana uwezo wa kutekeleza au kukianza anachokisema.
Na asivyopenda awe na jirani tishio kwa uwezo wa kivita dhidi yake ni wazi hawezi lala usingizi wala kurelax ikiwa JW iko above RDF, hapo ndo penye kutia akili.
 
Kagame hana smartness yeyote,ni dikteta tu ambaye anajificha kwenye uongozi hadi sasa.
Rwanda tukianzia kwa social development haina maendeleo YEYOTE, madaktari wao wanakuja kujifunza Tanzania hapa MUHIMBILI mloganzila na KCMC huko.
Hata wagonjwa wao wengi wa maradhi ya mifupa na moyo India yao ni Tanzania.
Ukienda katika aspects zingine hakuna maendeleo YEYOTE Rwanda,hiyo smartness iko wapi?
Na mind you Rwanda ni nchi ya kitutsi huku wahutu wakiwa wanapuuzwa.
Kama hawatakaa vizuri vita za wenyewe kwa wenyewe hazitachelea kuanza upya.
Kiongozi smart anagombana na majirani zake!?
Burundi ana ugomvi nao,siku akilianzisha tu nchi ya kwanza kuungana nayo kumdhibiti ni Burundi.
Unajiita kiongozi smart na geopolitically uko vibaya!?
Duuh hii nayo kali
 
Mchina mwenyewe kisha tambua kuwa CCM, siyo ile iliyokuwa karibu sana na CCP; na kwamba viongozi tulio nao siyo wa kuwategemea, ni matapeli watupu!

Sijui kama hivi vi-inchi vyenye ukwasi mkubwa kama UAE, Qatar, vinaweza kweli vikajitoa kusaidia kwa matumaini ya wao kufaidika na raslimali zetu, na kututawala kinyemela.
Sana sana, watatupeleka tu, kama Sudan walikokwenda.
Hawa waarabu wa Gulf hawawezi kabisa kusaidia kwa njia ya kivita kwani wao wenyewe wanaogopa kupigwa na uwezo wa kupigana hawana.

Mashariki ya Kati hapo wamebaki kama wasuluhishi tu
Na kama ukienda Qatar wao kazi Yao ni kujionyeaha tu
Makundi yakipigana anawaita wote na kujifanya anawasuluhisha

Baada ya hapo anawapa majumba ya kudumu wote

Wapo mpaka Taleban, Alshabab, na hata Hamas
Pia Mr Slim nae ana nyumba Qatar ya kupewa pamoja na Rais wa DRC

Kuna wakati waliitwa wakasuluhishwa Baada ya hapo wakapewa na mijengo

Sijui na mimi nikinukishe na nani halafu tukapatanishwe huko

Mchina sio yule kweli hawa ni wapya kabisa na wenye tamaa ya kula tu

Maslahi mbele ukitaka viwanda watakupa ni wewe tu na mfuko wako.

Yaani ni bora kujiimarisha haswa na pia kuwa na marafiki ambao wanaweza hata kukupa msaada mkubwa ukiwahitaji ila sio wale wa zamani
 
Mashambulizi ya kimtandao ama cyber bullying unafananishaje na vita!?
Embu shirikisha ubongo wako mkuu kwa upana, unadhani Kagame akija hapa akavamia nchi atachagua hawa CCM hawa sio CCM!?
Unadhani hasara moja kwa moja inakuja kwa nani kama sio taifa zima!?
Hivi mkuu Tanzania ndio inayomtishia ku launch missile and drones?
 
Drone hizo za Tanzania zilinunuliwa kutoka nchi ipi? ni model ipi? zina uwezo upi picha ?
Sasa kila kitu kitangazwe ili iweje?

Kuna vijana walishakwenda Canada, Israel, China, Russia.

Tanzania ina majenerali wana shahada ya umahiri katika sayansi ya kivita Frunze Military Academy.

Hivi unatuchukuliaje?

Tunamsubiri huyo mnayemuita smartness akurupuke.

Halafu Rwanda hiyo logistic ya kupambana na sisi nchi kubwa kwa muda mrefu aitolee wapi?

Ni mwendo wa makombora tu na tupo vizuri sana kwenye hiyo angle.

Na mimi nawasubiri kwa hamu wakurupuke.

Warushe hata silaha moja tu ndani ya mipaka ya Tanzania. Nakuhakikishia Rwanda itakuwa Gaza.
 
Yaani ni bora kujiimarisha haswa na pia kuwa na marafiki ambao wanaweza hata kukupa msaada mkubwa ukiwahitaji ila sio wale wa zamani
Yoote haya uliyo eleza humu, yote yanaanzia ndani ya nchi husika; nchi kujitambua na viongozi wao kujuwa kuwa hatma ya nchi hiyo ni ya wananchi wenyewe na viongozi wao; haya mengine ya marafiki, amoja na kuwa ni muhimu, lakini yote yanategemea nchi inavyo jisimamia yenyewe.
Tuchukue mfano mgumu sana wa nchi, kama ninavyo ihisi hii hoja.
Israel. Pamoja na kuwategemea sana wamarekani na nchi za magharibi kwa ujumla; hasa katika mambo ya ulinzi wao, viongozi na wananchi wa nchi hiyo hawakujikabidhi moja kwa moja kwa hao watoa misaada kwao. Nimesema huu ni mfano mgumu sana, lakini sioni mfano mwingine ulio rahisi kukielezea ninacho kifikiria kama wajibu wa viongozi na wananchi wa nchi kama mfano sahihi wa kueleza hoja.

Nikisema Korea Kaskazini, najuwa 'roaganda' zimewachukua na kuwazoa watu wengi kuona kuwa nchi hiyo ni karibu kabisa na jehenamu; lakini, kiukweli; amoja na maungufu mengi ya mfumo wao; hawa huwezi kusema ni watu waliojikabidhi kwa wengine, kama tunavyotafuta sisi kujikabidhi.

Tuseme ukweli, Korea Kaskazini inaizidi nini Tanzania ambacho kinawazungusha akili hata akina Trum?

Nazitaja hizi nchi mbili mahsusi, hasa katika hili tunalolijadili kwenye mada hii; bila ya kusisitiza hayo mengine ya kiuchumi, n.k..
 
kwa Tanzania bado ana safari ndefu zaidi.
Na akijichanganya TZ inatoa sapoti Burundi tu kazi imeisha.
Rwanda imetapakaa ukabila mkubwa sana. Ni taifa la kitutsi lile. Na wahutu bado wana hasira sana na watutsi.

FDLR ikowezeshwa tu kimafunzo na silaha wahutu wote wataungana kupambana na Rwanda. Hili ndilo jinamizi Rwanda analoogopa.
 
Namaanisha pamoja na hayo mapungufu, drone sio kitu cha kuringia kwa dunia ya sasa.

Hivi ujajua kuna ma engineers wa silaha kutoka Asian countries wapo wameajiriwa na nchi za ki Africa?

Sio issue kabisa hata kwenye drone, ukiwa na central command ukawaweka wachina 10 wanatosha kabisa kuipa joto Rwanda
Umejibu kipumbavu kabisa inamaana mumekosa kuwa training vijana wenu waka adapt technology ya kisasa , mbona tz umejaaliwa kuwa na vijana wabunifu sana, .

mpaka mkaamua muwaweke wachina eti ñdio wawasaidie kufanya mashambulizi.

Hao wachina watawasaidia jw mpaka lini, na je watafanya kwa uzalendo , Nyerere kuingiza siasa kwenye majeshi alikosea sana.
 
Back
Top Bottom