Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,353
- 15,075
Rwanda??? Tulio-ndani ya mfumo tunaelewa! Haitachukua siku 3 Rwanda kusahaulika.
Kwa mujibu wa takwimu jeshi linalotukaribia ni Uganda,then kenya hiyo Rwanda hata kwa kambi ya monduli haitoboi.
haha vipi khs it? kwa maana dunia ya leo bila ya it hautoboi, hayo mambo ya sijui monduli ya zamani sana, tuko vp kwenye hiyo sekta ya it ? …