Rais Dkt. Mwinyi amteua Maalim Seif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

Haahaa Raha ya wanasiasa vyeo ili wale kuku kwa mrija.Polepole alipatia kwamba maalim seif no miongoni mwa wanasiasa wanakipenda Sana ving'ora na itifaki nimeamini
 
hv wale wabunge wa ACT kutoka zanzibar walienda kuapishwa au wamesusa wakati maalim seif kaenda kula maisha.

akili ya kuambiwa changanya na yako
 
Huu sasa ndio uamuzi wa busara, sio kususa tuu bila mpango.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani, if you can't get what you want, just take what you get!, and if you can't beat them, join them!.

Hatimaye ACT Wazalendo sasa wamekubali matokeo, sio tuu watapokea kidogo walichopata, bali pia wata wa join them kwenye kuunda SUK.
Wana jf, tujifunze kuukubali ukweli jinsi ulivyo, hakuna mkate mgumu mbele ya chai!. Maalim Seif at 77, has everything to gain and nothing to lose.
Hongera Dr. Mwinyi kwa uteuzi huu.

Hongera Maalim Seif kwa kuitanguliza mbele Zanzibar.
Hongera sana ACT Wazalendo for doing the right thing na sasa hizi ndio siasa za kweli za maendeleo, na sio kususa susa bila manufaa yoyote.
P
Kibaraka wa wakoloni weusi naona amefika kushangilia ushindi .
 
Usaliti alioufanya Zitto Kabwe ,Maalim Seif na Act Wazalendo sio haba wameamua kujipoteza kwenye siasa Kama Lipumba .
 
Pongezi kwa CCM kwa ukomavu wa kisiasa, hongera ACT kwa kukubali kwamba maendeleo hayana chama.

Tuliwaasa sana ndugu zetu kwamba hakuna upinzani Tanzania ila kuna wachumia tumbo na vibaraka wakatukatalia, ila nadhani sasa wataelewa.

Mungu ibariki Tanzania
Sory mkuu kati ya hao huyo seif ndio yupi
 
Upinzani haupotei Zanzibar kwa ACT kujiunga na SUK. Tokea siku ile Nyerere alipoanza umbea na wizi wa kumega rasili mali za Zanzibar. Mpaka hili lirekebishike ndio upinzani utarudi kwenye level ya normal.

Wacha wajiunge wananchi wapate afueni ya kubakwa na kuteswa na vyombo vya ulinzi vya kitanganyika. Sasa watanganyika na majeshi yao watafute njia nyengine za kufyatua risasi, hii ya siasa ishaondoka kwa miaka 5 ijayo! Hongera sana ACT hapa nadhani mumeleta ukomavu wa hali ya juu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom