Rais anapata wapi mamlaka ya kuagiza Spika asilipe posho za Wabunge?

Tumemsikia wenyewe hivi Leo, wakati akimwapisha waziri mpya wa sheria na Katiba, Mwigulu Nchemba, katika mengineyo aliyoongolea Rais, ni kuhusu hatua iliyochukuliwa na wabunge wa Chadema, ambao wameamua kujifanyia "self isolation" kwa ajili ya kile walichokiita wenyewe kuwa ni hofu ya usalama wao na wa wenzao wa CCM, kutokana na ugonjwa wa corona, unaotingisha dunia hivi sasa na kuwa siyo busara kuendelea na vikao hivyo, wakati wabunge wote wakiwa hawajapimwa afya zao kubaini wale walioambukizwa ugonjwa huo na hivyo wafanyiwe katantini.

Jambo lililonistua ni pale nilipomsikia Mheshimiwa Rais akieleza kuwa amemwagiza Spika wa Bunge, ili asiwalipe.posho hizo wabunge wote wa Chadema, kwa siku zote ambazo hawatukuwepo Bungeni!

Ndipo hapo nikaanza kujiuliza, hivi mhimili wa Bunge si unaendeshwa kwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hivyo uko huru kufanya maamuzi yake?

Kwa utawala bora unaojali "power separation" hilo jambo haliwezi kujitokeza hata kidogo

Ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Tanzania, kuna mihimili 3, ambayo ni serikali, inayoongozwa na yeye Rais, mhimili wa Bunge, ambao unaongozwa na Spika na mhimili wa mahakama, ambao unaongozwa na Jaji Mkuu.

Ndani ya Katiba hiyo hiyo, inaitaka mihimili hiyo mitatu, ifanye kazi kwa Uhuru, katika kile kinachoitwa "check and balance" ambapo haitakiwi mhimili mmoja uingilie shughuli za mhimili mwingine.

Tunachojiuliza wananchi, hivi kama tumemsikia wenyewe wakati akilihutubia Taifa, akiuingilia mhimili wa Bunge, tutajuaje kama hauingilii pia katika utendaji wake, mhimili wa mahakama?

Ndipo hapo ninapojiuliza, hivi Rais Magufuli amepata wapi mamlaka, hadi kumpa kiburi cha kuongea hadharani kuwa atauagiza mhimili wa Bunge, upige STOP malipo yoyote ya posho, ambayo wabunge wa Chadema walistahili kupewa_ wakati akijua fika kuwa mamlaka hayo anayo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania?

Ninawakaribisha wachangiaji wa aina yoyote ile, ili tuidadavue mada hii muhimu mno kwa mustakabali wa Taifa letu
 
Wakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".

Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?

My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
Kwani CHADEMA sangoma wenu aliwaambia uchaguzi ujao mtashinda?
 
Tumemsikia wenyewe hivi Leo, wakati akimwapisha waziri mpya wa sheria na Katiba, Mwigulu Nchemba, katika mengineyo aliyoongolea Rais, ni kuhusu hatua iliyochukuliwa na wabunge wa Chadema, ambao wameamua kujifanyia "self isolation" kwa ajili ya kile walichokiita wenyewe kuwa ni hofu ya usalama wao na wa wenzao wa CCM, kutokana na ugonjwa wa corona, unaotingisha dunia hivi sasa na kuwa siyo busara kuendelea na vikao hivyo, wakati wabunge wote wakiwa hawajapimwa afya zao kubaini wale walioambukizwa ugonjwa huo na hivyo wafanyiwe katantini.

Jambo lililonistua ni pale nilipomsikia Mheshimiwa Rais akieleza kuwa amemwagiza Spika wa Bunge, ili asiwalipe.posho hizo wabunge wote wa Chadema, kwa siku zote ambazo hawatukuwepo Bungeni!

Ndipo hapo nikaanza kujiuliza, hivi mhimili wa Bunge si unaendeshwa kwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hivyo uko huru kufanya maamuzi yake?

Kwa utawala bora unaojali "power separation" hilo jambo haliwezi kujitokeza hata kidogo

Ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Tanzania, kuna mihimili 3, ambayo ni serikali, inayoongozwa na yeye Rais, mhimili wa Bunge, ambao unaongozwa na Spika na mhimili wa mahakama, ambao unaongozwa na Jaji Mkuu.

Ndani ya Katiba hiyo hiyo, inaitaka mihimili hiyo mitatu, ifanye kazi kwa Uhuru, katika kile kinachoitwa "check and balance" ambapo haitakiwi mhimili mmoja uingilie shughuli za mhimili mwingine.

Tunachojiuliza wananchi, hivi kama tumemsikia wenyewe wakati akilihutubia Taifa, akiuingilia mhimili wa Bunge, tutajuaje kama hauingilii pia katika utendaji wake, mhimili wa mahakama?

Ndipo hapo ninapojiuliza, hivi Rais Magufuli amepata wapi mamlaka, hadi kumpa kiburi cha kuongea hadharani kuwa atauagiza mhimili wa Bunge, upige STOP malipo yoyote ya posho, ambayo wabunge wa Chadema walistahili kupewa_ wakati akijua fika kuwa mamlaka hayo anayo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania?

Ninawakaribisha wachangiaji wa aina yoyote ile, ili tuidadavue mada hii muhimu mno kwa mustakabali wa Taifa letu
Ulipokosea ninkusema tunachojiuliza wananch .sema nachojiuliza mm ? Japo nakuunga mkono 85 %
 
Nauliza,kulipa Posho ni suala la kikanuni au maagizo? Nafikiri siku zote kama Mbunge hayupo huwa halipwi Posho,haikuwa na haja ya Rais kusema ameagiza Kwasababu ni automatic hiyo na wenyewe walijua ndivyo ilivyo na itakavyokuwa.
Kama ni automatic, basi Lissu asinge dai posho zake wakati alijua hakuwepo bungeni! Vitu vingine don't just assume.
 
Alafi ujue chadema wasipokuwe na ajira yako ya buku 7 ndio imekufa, sijui ulishawaza hilo ama unafuata mkumbo tu ewe buku 7
Kwa mawazo yako kwa kuwa nyinyi mna buku 7, mnadhani na Chadema nao wako hivyo hivyo?

Mimi nasukumwa na uzalendo wa nchi hii, hata ukiwauliza viongozi wa Chadema, mimi hawanijui kabisa!
 
Tumemsikia wenyewe hivi Leo, wakati akimwapisha waziri mpya wa sheria na Katiba, Mwigulu Nchemba, katika mengineyo aliyoongolea Rais, ni kuhusu hatua iliyochukuliwa na wabunge wa Chadema, ambao wameamua kujifanyia "self isolation" kwa ajili ya kile walichokiita wenyewe kuwa ni hofu ya usalama wao na wa wenzao wa CCM, kutokana na ugonjwa wa corona, unaotingisha dunia hivi sasa na kuwa siyo busara kuendelea na vikao hivyo, wakati wabunge wote wakiwa hawajapimwa afya zao kubaini wale walioambukizwa ugonjwa huo na hivyo wafanyiwe katantini.

Jambo lililonistua ni pale nilipomsikia Mheshimiwa Rais akieleza kuwa amemwagiza Spika wa Bunge, ili asiwalipe.posho hizo wabunge wote wa Chadema, kwa siku zote ambazo hawatukuwepo Bungeni!

Ndipo hapo nikaanza kujiuliza, hivi mhimili wa Bunge si unaendeshwa kwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hivyo uko huru kufanya maamuzi yake?

Kwa utawala bora unaojali "power separation" hilo jambo haliwezi kujitokeza hata kidogo

Ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Tanzania, kuna mihimili 3, ambayo ni serikali, inayoongozwa na yeye Rais, mhimili wa Bunge, ambao unaongozwa na Spika na mhimili wa mahakama, ambao unaongozwa na Jaji Mkuu.

Ndani ya Katiba hiyo hiyo, inaitaka mihimili hiyo mitatu, ifanye kazi kwa Uhuru, katika kile kinachoitwa "check and balance" ambapo haitakiwi mhimili mmoja uingilie shughuli za mhimili mwingine.

Tunachojiuliza wananchi, hivi kama tumemsikia wenyewe wakati akilihutubia Taifa, akiuingilia mhimili wa Bunge, tutajuaje kama hauingilii pia katika utendaji wake, mhimili wa mahakama?

Ndipo hapo ninapojiuliza, hivi Rais Magufuli amepata wapi mamlaka, hadi kumpa kiburi cha kuongea hadharani kuwa atauagiza mhimili wa Bunge, upige STOP malipo yoyote ya posho, ambayo wabunge wa Chadema walistahili kupewa_ wakati akijua fika kuwa mamlaka hayo anayo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania?

Ninawakaribisha wachangiaji wa aina yoyote ile, ili tuidadavue mada hii muhimu mno kwa mustakabali wa Taifa letu
Kama Rais kavunja taratibu, iweje Serikali ndo iwalipe Wabunge? Si wangelipana kwa pesa ya Bunge?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumemsikia wenyewe hivi Leo, wakati akimwapisha waziri mpya wa sheria na Katiba, Mwigulu Nchemba, katika mengineyo aliyoongolea Rais, ni kuhusu hatua iliyochukuliwa na wabunge wa Chadema, ambao wameamua kujifanyia "self isolation" kwa ajili ya kile walichokiita wenyewe kuwa ni hofu ya usalama wao na wa wenzao wa CCM, kutokana na ugonjwa wa corona, unaotingisha dunia hivi sasa na kuwa siyo busara kuendelea na vikao hivyo, wakati wabunge wote wakiwa hawajapimwa afya zao kubaini wale walioambukizwa ugonjwa huo na hivyo wafanyiwe katantini.

Jambo lililonistua ni pale nilipomsikia Mheshimiwa Rais akieleza kuwa amemwagiza Spika wa Bunge, ili asiwalipe.posho hizo wabunge wote wa Chadema, kwa siku zote ambazo hawatukuwepo Bungeni!

Ndipo hapo nikaanza kujiuliza, hivi mhimili wa Bunge si unaendeshwa kwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hivyo uko huru kufanya maamuzi yake?

Kwa utawala bora unaojali "power separation" hilo jambo haliwezi kujitokeza hata kidogo

Ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Tanzania, kuna mihimili 3, ambayo ni serikali, inayoongozwa na yeye Rais, mhimili wa Bunge, ambao unaongozwa na Spika na mhimili wa mahakama, ambao unaongozwa na Jaji Mkuu.

Ndani ya Katiba hiyo hiyo, inaitaka mihimili hiyo mitatu, ifanye kazi kwa Uhuru, katika kile kinachoitwa "check and balance" ambapo haitakiwi mhimili mmoja uingilie shughuli za mhimili mwingine.

Tunachojiuliza wananchi, hivi kama tumemsikia wenyewe wakati akilihutubia Taifa, akiuingilia mhimili wa Bunge, tutajuaje kama hauingilii pia katika utendaji wake, mhimili wa mahakama?

Ndipo hapo ninapojiuliza, hivi Rais Magufuli amepata wapi mamlaka, hadi kumpa kiburi cha kuongea hadharani kuwa atauagiza mhimili wa Bunge, upige STOP malipo yoyote ya posho, ambayo wabunge wa Chadema walistahili kupewa_ wakati akijua fika kuwa mamlaka hayo anayo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania?

Ninawakaribisha wachangiaji wa aina yoyote ile, ili tuidadavue mada hii muhimu mno kwa mustakabali wa Taifa letu
Mpuuzi kabisa ulichosikia ni hicho tu hotuba nzima?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom