ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,714
- 28,269
Ushuzi tupuHalafu hichi kiprofessa juzi juzi kilikuwa kinapayuka eti Tanzania haihitaji katiba mpya kwa sasa. Sijui bado kitaendelea kuamini hivyo?
Ngoja tuendelee kupigwa mpaka akili ziwakae makada wa kijani wajinga wajinga ndio waamke.
Mama Samia, January Makamba na Msoga gang endeleeni hivyo hivyo kuupiga mwingi, pigeni pesa haswaa, msirudi nyuma, mpaka makada walie.