Leo nimesikia kwenye mkutano wa viongozi wa TANESCO na waziri kwamba shirika lijiendeshe kibiashara.

Unajiuliza, tanesco msingi wa uanzilishwaji wake ilikua ni nini, quality service delivery ama profit oriented?

Kama waziri anataka Tanesco ijiendeshe kibiashara, itakuwa ngumu watu kuunganishiwa umeme. Ndio maana serikali ilikuja na hoja ya 27000 kwa kila mtu ili kuongeza uunganishwaji kwenye umeme.

Waziri kwa unafiki mkubwa anasema sasa shirika liko mikono salama, utafikiri waliokuwepo wote walikua wezi. Huu ni udhalilishaji.



Usiumize akili yako wee unganisha dots awamu ya nne, kashfa ya Dowans, Singasingaa na mzee Ruge na mwisho chambua kila mmoja upate background za kila Boss pale TANESCO finally utaniambia tujitayarishe kwa Dowans nyingine au maumivu poa kwenye uchaguzi wa 2025
 
Hao wanafiki wasubiri baada ya miaka 2 Kama hawajala matapishi yao, tatizo la watu wa Twitter wameelemea kwenye ushabiki wa kisiasa zaidi kuliko uhalisia wa mambo.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Kwanini mashirika ya serikali yanaendeshwa kwa hasara ie tanesco na ATCL ukizingatia ni Kama wamemonopolize hiyo biashara, na kwanini baadhi ya makampuni yamefanya vizuri baada ya kuanza kuendeshwa kibiashara ie NBC, CRDB
 
Leo nimesikia kwenye mkutano wa viongozi wa TANESCO na waziri kwamba shirika lijiendeshe kibiashara.

Unajiuliza, tanesco msingi wa uanzilishwaji wake ilikua ni nini, quality service delivery ama profit oriented?

Kama waziri anataka Tanesco ijiendeshe kibiashara, itakuwa ngumu watu kuunganishiwa umeme. Ndio maana serikali ilikuja na hoja ya 27000 kwa kila mtu ili kuongeza uunganishwaji kwenye umeme.

Waziri kwa unafiki mkubwa anasema sasa shirika liko mikono salama, utafikiri waliokuwepo wote walikua wezi. Huu ni udhalilishaji.


Kuna mtu unayemjua aliyeunganishiwa kwa elfu 27?
Afya na na sasa.kwenye reality stori ni k
Zingine kabisa
 
Atashangaa mengi kwenye awamu ya Marie Antoinette
Quoted from my book (1999) Impossibility of Gender Equality pages 164-165: "Women should never lead men in all spheres of Power, Politics and Authority because Men is a Superior Gender as a Gift of Nature"

Marie Antoniette was a kind of a French queen who had an extended arrogance to the extent that she directly necessitated the French revolution in 1789. Born in 1775, Marie was the beautiful queen of France who died on guillotine just after the French revolution. The way of her incompatible ruling behaviour coupled with bad advice to her husband, King Louis the XVI, led to the decline of King Louis’s regime in the great French revolution in 1789. The Word Book Encyclopaedia (1992) explains Marie Antoniette as uneasy kind of a queen who lost popularity completely, she was hated by almost every body.

As for her brief history-back-ground it is told that the young queen was witty, lively and extravagant. The stiff formalities of court life bored her to the extent that she entertained herself with such enjoyments like horse races, gambling and fancy balls.

As a matter of fact, Marie lacked good and proper education and cared very little for serious affairs. Her frivolity and plotting contributed to the undermining of the Monarchy as she contributed a lot to the takeoff of the French revolution. She did not hesitate to urge the dismissal of able French Ministers whose efforts to reduce royal spending threatened her pleasures. King Louis XVI gave her the château called the Petit Trianon, where the queen and her friends amused themselves.

Another nauseating story that was told about Marie is that, she exposed her arrogance to the extreme when she was asked to give categorical reasons officially as to why the Parisians were angry with her. The dialogue between her and the Parisian representatives went like this:

The representatives: Madame, can you tell us what might be
the reasons behind the Parisianis anger
on you together with the regime as a
whole?”
Marie Antoniette: It’s because they don’t have bread!
Marie Antoniette: ...and why don’t they eat cake?
The representatives: Ugh!

Sasa haya ndiyo ya huyo bibi aliyekwenda Beijin mwaka 1995 na sasa anatekeleza!
 
Mkuu na wewe unashamirisha kauli za ujumla jumla za kimkakati kama “Watanzania hawaeleweki wanataka nini”? Tena kwa maoni yanayotolewa na “the privileged few” hapa JF? Unadiriki hadi kujustify matendo ya ujahili ya Magufuli kwa hili?

Hakuna mtu aliyeelimika asiyejua umuhimu wa mchango wa sekta binafsi. Lakini lazima tutizame hili katika context ya Tanzania, nchi ambayo haina wala haitilii maanani kanuni za kudhibiti migongano ya maslahi. Nchi ambayo sekta binafsi inategemea na inashindana kupata access kwenye rasilimali za umma ili kuneemeka. These are genuine concerns.

Shivji anaweza kutokuwa sahihi kupinga sekta binafsi kushiriki uongozi wa sekta ya umma in any context. Anajulikana kuwa bado ni muumini wa ujamaa wa enzi zile uliofeli.

Lakini uzoefu wetu umetuonyesha jinsi wajanja walioko sekta binafsi wanavyotumia ukaribu wao na sekta ya umma/serikali kujitengenezea mazingira ya kuneemesha mitaji na biashara zao ambayo ni pure conflict of interest. Je, teuzi zilizofanywa TANESCO hazina shaka kwenye hilo? Endapo litatokea au kwa lengo la kuzuia hali hiyo isijitokeze, nini kifanyike? Huo ndio uwe mjadala.
Mtu anakuja anatoa mfano wa nchi Kama marekani ambao wametuzidi Kila kitu na katiba ya nchi yao iko "well balanced" Kuna Mambo yanahitaji umakini mkubwa hasa kwenye Taifa Kama hili ambalo watu wengi wanapopata nafasi kwao ni fursa kupiga pesa kwa ajili ya matumbo yao .
 
Leo nimesikia kwenye mkutano wa viongozi wa TANESCO na waziri kwamba shirika lijiendeshe kibiashara.

Unajiuliza, tanesco msingi wa uanzilishwaji wake ilikua ni nini, quality service delivery ama profit oriented?

Kama waziri anataka Tanesco ijiendeshe kibiashara, itakuwa ngumu watu kuunganishiwa umeme. Ndio maana serikali ilikuja na hoja ya 27000 kwa kila mtu ili kuongeza uunganishwaji kwenye umeme.

Waziri kwa unafiki mkubwa anasema sasa shirika liko mikono salama, utafikiri waliokuwepo wote walikua wezi. Huu ni udhalilishaji.


Hii ya Tanesco ni Cha mtoto ...subirini Mambo mazito kwenye mikataba ya madini....subirini muone...
 
Mkuu kasome market structure na competition law/policy. Umeme ukiuzwa na private sector pekee kwa bei ya soko sidhani kama utakua una uwezo wa kulipa hizo bili.
Sielewi unachotaka kusema, Nani kasema umeme uuzwe na private sector ? Nimekwambia badala ya ku-privatize Tanesco kwanini hao watu wasitengeneze their business model and compete, mpaka sasa Tanesco ilikuwa inanunua umeme kutoka kwa private companies kina Dowans, Symbion n.k. hadi kupelekea bei kuzidi maradufu..., Umeme ni Service kwahio hapo kuna ruzuku inatumika na tumekuwa tukichangia kina REA n.k. katika kufanikisha hayo..., na iwapo tupo mbioni ku-double capacity ya power generation Tanesco Future looks bright
Hapo TANESCO yenyewe inauza umeme chini ya bei ya soko so bila kulindwa kwa monopoly yake then itabidi iende kibiashara zaidi ili ibaki sokoni so atakayeumia ni mteja unless iwe na business line pembeni inayoweza kuwa feeder ya kutoa pato la kucover gharama za uzalishaji!!
Monopoly katika nini Power Generation ? (Sio kweli hata wewe hukatazwi kuzalisha umeme) Distribution ??? Kwahio unataka tuwe na distributors kila kona ?, Au miundombinu hii iliyopo iwe privatized Kama vipi unashindwa kwenda vijijini ambapo hakuna miundombinu ukaweka huko au kuwapa watu solar ? Au hata hao wawekezaji wataona return on investment huko ni pagumu kwahio tuwape huku ambapo wananchi tumekuwa tukijichanga kwa kulipia matozo,
Btw mfano wako sio relevant maana wanasiasa 90% wanamiliki biashara hku uraiani mbona hawapigwi marufuku kuwa viongozi?
Conflict of interests popote pale kama inaweza kuzuilika lazima izuilike,
 
Quoted from my book (1999) Impossibility of Gender Equality pages 164-165: "Women should never lead men in all spheres of Power, Politics and Authority because Men is a Superior Gender as a Gift of Nature"

Marie Antoniette was a kind of a French queen who had an extended arrogance to the extent that she directly necessitated the French revolution in 1789. Born in 1775, Marie was the beautiful queen of France who died on guillotine just after the French revolution. The way of her incompatible ruling behaviour coupled with bad advice to her husband, King Louis the XVI, led to the decline of King Louis’s regime in the great French revolution in 1789. The Word Book Encyclopaedia (1992) explains Marie Antoniette as uneasy kind of a queen who lost popularity completely, she was hated by almost every body.

As for her brief history-back-ground it is told that the young queen was witty, lively and extravagant. The stiff formalities of court life bored her to the extent that she entertained herself with such enjoyments like horse races, gambling and fancy balls.

As a matter of fact, Marie lacked good and proper education and cared very little for serious affairs. Her frivolity and plotting contributed to the undermining of the Monarchy as she contributed a lot to the takeoff of the French revolution. She did not hesitate to urge the dismissal of able French Ministers whose efforts to reduce royal spending threatened her pleasures. King Louis XVI gave her the château called the Petit Trianon, where the queen and her friends amused themselves.

Another nauseating story that was told about Marie is that, she exposed her arrogance to the extreme when she was asked to give categorical reasons officially as to why the Parisians were angry with her. The dialogue between her and the Parisian representatives went like this:

The representatives: Madame, can you tell us what might be
the reasons behind the Parisianis anger
on you together with the regime as a
whole?”
Marie Antoniette: It’s because they don’t have bread!
Marie Antoniette: ...and why don’t they eat cake?
The representatives: Ugh!

Sasa haya ndiyo ya huyo bibi aliyekwenda Beijin mwaka 1995 na sasa anatekeleza!
Kumbe mambo Duniani ni marudio
 
Naomba nielimishwe kidogo, hilo lipo katika katiba au ni mawazo binafsi ya Shivji? Yule Trump aliyekuwa Rais wa Marekani ana biashara dunia nzima, Vipi nchi iliathirika na ubiashara wake au ya kule nisiyahusishe na huku kwetu wenye nyeusi ngozi?

Mbowe ni mfanyabiashara na aliwahi kugombea uraisi, vipi km angepata Prof Shivji angekuja na maoni haya pia?!!
Umefika darasa la ngapi Ndugu?
 
Hiyo ya Rex Attorney kuwa ni wanasheria wa Dowans na Symbio ktk kesi dhidi ya Tanesco. Hapa kuna shida sana kwenye vetting ya board members kabla ya kuteuliwa
Hahahaha nchi imechukuliwa na wenyewe..na bado kwenye madini...
 
Duuh Acha tuendelee tutaelewana baadaye wakianza kuuza majenerator badala ya kuhakikisha umeme unapatikana
 
Tanesco haijawahi kujiendesha kibiashara
Ndiyo maana ukinunua umeme kuna 3% ya REA
3% ya REA haiusihani na kujiendesha kwa faida au hasara kwa Tanesco,wao ni mawakala wa kukusanya na kupelekwa kwa wahusika kama wanavyokusanya VAT na sasa kodi ya jengo.
N.b:REA ni taasisi inayojitegemea iliyopewa jukumu la kusambaza umeme vijijini japo inashirikiana kwa karibu na Tanesco katika utekelezaji wa majukumu yake.
 
Jiulize alikua marekani muda mrefu halafu kaja jana wanasema ameteua, tena majina yametoka bado akiwa uwanja wa ndege anashangilia kurudi kwake.

Mbaya zaidi wanasema aliteua alhamisi siku ambayo alikua anahutubia UN.

Yule wanampa tu anasaini basi.
Ni akina Nani hao wanampa na yeye anasaini tu?!
 
Wewe pia hapa na ujinga wako! Balozi ana law firm ambayo inatetea kampuni zinazoishitaki Tanesco, huyo mama huoni kuwa katika Bodi ya tanesco si sahihi? Je, vetting imefanyika Sawa? Au kwa vile walimwajiri Ridiwani Kikwete wakati huo
Usibishane na viazi mkuu,acha viendelee kuchemka
 
Back
Top Bottom