Prof. Mohamed Janabi achaguliwa kuongoza WHO AFRO
Yani ashinde Dr Ndugulile ndio ashindwe Profesa Janabi?

Dr Ndugulile ana sifa zipi za kumzidi Janabi na alishinda bila kufanyiwa kampeni nzito kama alizofanyiwa Janabi na Rais.
Ndugulile alifanyiwa kampeni kubwa tu... Utofauti kwa Janabi lilitokea kundi la madaktari na wanasiasa kupinga. Rais Samia alipiga kampeni sana kwa Ndugulile pamoja na Jakaya.
 
Ushindi wake ungekuwa hauisadii chochote Tanzania baadhi yetu tusingepandisha uzi jukwaani kupinga CV yake, tena aibu yenyewe ni ukweli kwamba wale jamaa walikuwa ni madaktari wenzake!.

Riziki ni masuala ya msimu, huu muda ni wa waislam hivyo kelele zinazojificha nyuma ya udini ni upotezaji wa nguvu binafsi. Utakuja tena muda wetu wakristo kula bata.
A source of any rohombaya inanzia hapa aana waliona kila kitu wana deserve waoʻ dH washakosa fungu la arobaini si ndo hawa haw walimpamba dak wao feki wa open university kama ohh tz itafaidika ohhh atapana hiki leo wanageuka dah ile aya ya kuwa hawatokua radhi mayahudi na manaswara mpak....eti wanahoji pesa za kumkampenia zimetoka wapi lakin kule mwanzo walikua wanafurah kutumika hzo hela pumnavu zao
 
Ndugulile alifanyiwa kampeni kubwa tu... Utofauti kwa Janabi lilitokea kundi la madaktari na wanasiasa kupinga. Rais Samia alipiga kampeni sana kwa Ndugulile pamoja na Jakaya.
Janabi hatudishi fungu lao la kumi ndio hao waliompinga includes his allies in prof hv janabi asiwe bora awe bora yule alikua kakaa tu home baada ya kukosa teuz na kisomo chake cha ku over take na walikaa kimya dah hawa watu
 
Ndugulile ndo zilitumika sana nguvu na hela muulize ummy mwalimu ndglile kwanza aliwa low key profile ukumbuke alikua tu mbunge kipindi kile ndglile hakua proff by then so ilitumuka nguv sana watu kuonesh anaweza kwake
Nafasi alikua anaenda kujaribu huyu pitia outcome kwa kila alipo pitia out ya haya ni chuk zenu za familia
 
Hongera zake,akafanye kazi sasa aachane na habari ya kukataza watu kula pilau na soda siku za sikukuu
 
Kuna mmoja nilibishana nae hadi nikaamua nimwache aendelee kujifariji na maapizo yake! Ni nani yule? Au ni wewe Mkuu Stuxnet ndo ambae uliapiza kwa kusema hawezi kushinda kwa sababu hana sifa?!
Wametuonea huruma ya kufiwa na Dr Faustine Ndugulile, halafu Rais mwenyewe na Rais Mstaafu JK webembeleza sana. Wale wengine walipeleka application zao na CV tu
 
Janabi hatudishi fungu lao la kumi ndio hao waliompinga includes his allies in prof hv janabi asiwe bora awe bora yule alikua kakaa tu home baada ya kukosa teuz na kisomo chake cha ku over take na walikaa kimya dah hawa watu
Watu hawafuatilii wanaeneza chuki zao tu. Ummy na Jakaya walipiga sana kampeni kwa ajili ya Ndugulile Then mama Samia alimnadi sana ikiwemo kuwajulisha viongozi wa EAC na wale wa kusini mwa Afrika.
 
Wametuonea huruma ya kufiwa na Dr Faustine Ndugulile, halafu Rais mwenyewe na Rais Mstaafu JK webembeleza sana. Wale wengine walipeleka application zao na CV tu
Kile wanachokitaka WHO anacho Janabi hayo mengine ni kelele tu za watu wa Gambia na Ivory coast mnasumbuka nayo
 
1747627449626.png
 
Akikujibu nitagi.....
Ushabiki maadazi ni mwingi humu...
Hizi hapa kuna ya page 10 na ya page 6.........
Wewe ndio shabiki maandazi nyadhifa alizoshika Ndugulile ni kubwa kuliko huyo za janabi, pili Janabi Kuna vitu kadanganya kwenye CV, vimesemwa sana humu sitaki kurudia. Ndugulile alikuwa na education background inayotakiwa. Wewe umeangalia wingi wa pages tu 😁😁

Sio kwamba nimebeza ushindi wa Janabi.
 
Wakenya wameanza kuangazia jinsi watakavyonufaika na uwepo wa Janabi ambaye ni mwanaafrika mashariki mwenzao kuhakikisha mpango wa WHO kuendelea kuitumia Kenya kama moja ya eneo la kufanyia tafiti za dawa na tiba na mengine mengi.

Kenyans wanaona Janabi ni fursa kwao kumtumia wakati sisi bongo baadhi yetu wanaona haina faida. Rais sio mjinga kumpigia kampeni mtanzania aipate hiyo nafasi. Ukitaka kuelewa faida Regional Director wa who elewa duties and responsibilities zake then elewa malengo ya who kwa ujumla. Leo mtu akisema haina faida ni kukosa akili kabisa. Kuna faida za moja kwa moja na faida mtambuka. Sera kuhusu Africa kwenye maswala ya kiafya ni shida sana.
 
Back
Top Bottom