Vile vikwazo vya bunge la ulaya havijaaza kufanya kazi?Mwenye gubu siku zote yupo upande wa shetani na shetani HAJAWAHI kumshinda Mungu!
Hongera sana Prof. Janabi!👍👍👍👍
Vile vikwazo vya bunge la ulaya havijaaza kufanya kazi?Mwenye gubu siku zote yupo upande wa shetani na shetani HAJAWAHI kumshinda Mungu!
Hongera sana Prof. Janabi!👍👍👍👍
Sasa mbona kwa Odinga ameshindwa kule AU?Rais Samia hajawahi shindwa kwenye Kampeni yake yeyote ya diplomasia ya Kimataifa
Wakati mnampinga Mbona hamkusema zimetumika pesa?Sasa taifa litarudishaje mabillion yaliyotumika kwenye kampeni na hongo?
Ahahahahaha! Labda!Vile vikwazo vya bunge la ulaya havijaaza kufanya kazi?
Odinga ni Mtanzania? Kenya ambayo ni kibaraka wa WEST kama Chadomo nani awachague?Sasa mbona kwa Odinga ameshindwa kule AU?
Chizi kabisa.
Mie nimecheka kuna memba kamwita Prof. Janabi Poor Brain 🤣🤣🤣Wale watu hovyo sana tena wakaanza kuongea kuhusu mambo ya sukari..
Yaani bongo kuna watu wana roho za ajabu sana an
Yaan kuna watu humu basi tuu..Mie nimecheka kuna memba kamwita Prof. Janabi Poor Brain 🤣🤣🤣
Bongo shida mzee, chuki, wivu na husda, wanatamani kila mtu awe masikini kama waoWale watu hovyo sana tena wakaanza kuongea kuhusu mambo ya sukari..
Yaani bongo kuna watu wana roho za ajabu sana an
Hovyo kabisa an we angalia wanamchukia mtu ambaye hawana uhusiano wowote sio systematically wala nn anBongo shida mzee, chuki, wivu na husda, wanatamani kila mtu awe masikini kama wao
Naona vimeshindwa 🤣🤣🤣🤣🤣 bunge la ulaya ni kama lilivyo bunge la Africa tuu, hata wanaochaguliwa mara nyingi hatuwajui ila Tanzania tunao wawakilishi wetu kuleVile vikwazo vya bunge la ulaya havijaaza kufanya kazi?
Kuna mmoja nilibishana nae hadi nikaamua nimwache aendelee kujifariji na maapizo yake! Ni nani yule? Au ni wewe Mkuu Stuxnet ndo ambae uliapiza kwa kusema hawezi kushinda kwa sababu hana sifa?!Wataficha wapi sura zao!!!!! Oooh janabi hawezi kushinda anagewa tu promo!!!
Ukiwasikiliza sana wapinzani unaweza sema nchi yetu ni kama afgan stan
Yaan kuna watu humu basi tuu..
😂😂😂😂😂😂
Sasa kweli kile kichwa cha kukiita poor brain..
Alafu hii mara ya pili nakumbuka kuna watu walisema Mimi ni pascal mayalla
Prof. Yupo vizuri. Naamini ataitendea haki hii nafasi.Nimemsikiliza Prof pia; yuko Vizuri sana
Mfano amesema; kila nchi ina changamoto zake tofauti na sio sawa kufikiri kuwa tunaweza kuwa na solution moja itakayofanya kazi kwa wote. Wewe unataka ufananishe matatizo ya Afya ya Burundi au Central Africa na south Africa and Egypt nk
Lakini pia kasema ata andaa data base ya kuonesha ni huduma gani za kibingwa zinapatika Africa kwa usahihi; na hii ni muhimu kwani itasaidia kupunguza gharama za kupeleka watu nje lakini pia kujua ni ukanda upi una changamoto zaidi....
Mfano watu wanakimbilia India na Ulaya kutibu Moyo wakati South Africa ina moja ya hospitali kubwa za kutibu moyo duniani na kwa hizi point mbili tu nilijua atashinda..Hongera Dr…Hongera Tanzania
Au itakuwa huko napo hakuna tume huru ya uchaguzi 😂Itakuwa ni bao la mkono 😂😂😂😂