Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 9,413
- 6,010
Kuna waungwana walikuja na uzi kabisa wakiupinga uprofesa wake wakisema hana hadhi ya kujiita mtaalam wa moyo wakaiponda elimu yake.
Leo kalamba cheo kikubwa tu. Wabongo tuna umahiri mkubwa wa kuharibiana riziki lakini anayeandikwa na Mungu huwa hapingwi kwa kutumia nguvu za kibinadamu.
Leo kalamba cheo kikubwa tu. Wabongo tuna umahiri mkubwa wa kuharibiana riziki lakini anayeandikwa na Mungu huwa hapingwi kwa kutumia nguvu za kibinadamu.