Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,564
- 109,103
Huu upumbavu unakusaidia nini? Hata hiyo nafasi angepewa Paroko wako inakusaidia nini?Ushindi wake ungekuwa hauisadii chochote Tanzania baadhi yetu tusingepandisha uzi jukwaani kupinga CV yake, tena aibu yenyewe ni ukweli kwamba wale jamaa walikuwa ni madaktari wenzake!.
Riziki ni masuala ya msimu, huu muda ni wa waislam hivyo kelele zinazojificha nyuma ya udini ni upotezaji wa nguvu binafsi. Utakuja tena muda wetu wakristo kula bata.
Hao kina JK si waislamu? Wanawasaidia nini Waislamu zaidi ya ulafi tu na roho mbaya.