Prof. Adelardus Kilangi aapishwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Rais Magufuli kutofanya mabadiliko watendaji wa Serikali, Mawaziri kubadilishwa

Naona watendaji wamepewa 'security' ya nafasi zao.
Ilikua wazi kwamba asingewabadili kwakua wametekeleza alicho waelekeza kuhakikisha wapinzani hawarudi Bungeni au kupata nafac za uwakilishi, kwahiyo ni vigumu kuwatupa walio shikilia siri nzito nyuma ya ushindi wake.

Tatizo ni sisi tulio kuwa tunafanya yote tuliyo yafanya tukitrajia uteuzi, hapo ndipo pana shida .Viti maalum vimetoka ,hakuna nafac ,uteuzi wa ma Dc na ma ded hakuna nafac, kazi itakua ni kupiga majungu tu!
 
Hii habari siyo nzuri kwa Pascal Mayala na Bashite
 
Baraza la Mawaziri pendwa ni hili hapa
1. Waziri Mkuu -Kasimu Majaliwa
2. Tamisemi-Jafo
3. Ujenzi na Mawasiliano-Nditiye
4. Fedha-Mpango
5. Uwekezaji-Kimei
6. Mambo ya Nje-Kabudi
7. Madini-Doto Biteko
8. Kilimo- Bashe
9. Elimu-Dr Ndalichako
10. Sheria-
11. Mambo ya Ndani-simbachawene
 
Afanye mabadiliko asifanye huo ni utashi wake ila tra, wizara ya fedha na biashara kuna tatizo; mainly communication issues.

Kuna malalamiko mengi sana ya watu kubambikiwa kodi not necessary huo ndio uhalisia. Ukiniuliza mimi nitakwambia asilimia kubwa ya malalamiko as to do with VAT.

Sheria ya mwongozo ipo ila kila mwaka kuna financial act ambayo inakuja na mabadiliko yake. Kinachoonekana asilimia kubwa ya walipa kodi hawapo up to date na sheria za kodi ya VAT wala awaelewi obligations zao.

Walipaji awajui muda wa kutunza record zao hizi ndio sababu TRA wakifika na kuwakadiria kodi za miaka mitatu nyuma pengine awajui kama wanajukumu la kutunza kumbukumbu labda kwa miaka sita just incase TRA ikiamua kwenda kukagua. Na kama hawana TRA itaawaamulia.

Wafanya biashara wengi awaelewi VAT accounting schemes za TRA na majukumu yao how often they have to pay their periodic advances.

In short hii TRA ni tatizo na wizara zinazo husika na hiyo sector hazina msaada kwenye kuwasaidia walipa kodi, technocrats ni makatibu wakuu wa wizara wakurugenzi wao na management za TRA.

There is a serious problem kwenye administration za VAT not necessary kwa sababu ya utendaji, bali uelewa wa wajibu wao kwa upande wa walipa kodi. Something needs to be done.
 
Rais magufuli hasisitiza kuwaacha baadhi ya mawaziri waliokuwemo kwenye baraza la mawaziri lillilopita, kutokana na spidi na perfomance kutoendana.



NB: mwananchi unapendekeza mawaziri gani, waachwe awamu hii kutokana na kutokuwa na spidi na perfomance mbovu
 
Naomba kujuzwa huyu mwanasheria aliyekula kiapo leo ni mzaliwa wa wapi? Au anatokea mkoa gani?: pia usiamini sana kauli za wanasiasa uapishaji ndo umeanza wengine waweza kuenguliwa tu.
 
Kadanganya kwa mfumo wa mind game kama kicha wa simba,but atawafukuza wengi sana
 
Mambo yote hayo hayana mvuto. Ngoja summons za ICC.
 
Tusitarajie kuona sura mpya sana itampasa kuwarudisha walewale sababu wameshiriki kusaidia kutenda dhambi ya dhuluma na udanganyifu.
 
Watendaji walikua matumbo joto...

Ila kwenye uapishaji sura za watendaji waliyokuwepo hapo zilikua kama hazina furaha kabisa...




Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…