Ni ipi ilikuwa nafasi ya mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya kifo cha Hayati Magufuli? Kwanini aliacha vyombo vya dola vitafsiri katiba?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,106
Mshauri wa kisheria wa serikali ni mwanasheria Mkuu wa serikali. Ilipotokea kifo cha Hayati Magufuli alipaswa kutoa dira ya kikatiba na kisheria. Alipaswa kusimamia uandaaji wa tangazo la kifo kwenye vyombo vya habari kujielekeza katika vifungu vya sheria vya kutangaza kifo, maambolezo na kuapishwa Rais Mpya.

Kwa maelezo ya CDF ni kwamba huyu AG hakutekeleza wajibu wake au labda akishirikishwa. Kuachwa kwake nyuma ni kwa sababu ofisi hii imekuwa ya kisiasa kuliko ya kitaaluma. Angekuwa strong enough angeitwa at first place .

Mapungufu ya ofisi ya AG hata sasa yanaonekana wazi. Sikiliza tangazo la kifo cha JPM kama utasikia ikitamkwa kifungu cha katiba, fuatilia mchakato mzima wa mazishi hakuna tangazo lililozingatia mwongozo wa sheria na katiba.

Tuachane na hayo, tusome barua za uteuzi na utenguzi tuone kama kuna maneno
..Mhe. Rais wa JMT kwa mamlaka aliyopewa chini ya Ibaraa ya katiba au kwa mujibu wa kifungu ...cha sheria........ameteu au amevunja au ametengua uteuzi wa...

Nenda kwenye mashirika na taasisi nyingine nchni maaafisa habari hakuna Sehemu wanatoa tamko lao kwa kutaja sheria wala kanuni maana yake hakuna mwongozo wa AG kuwataka wazingatie sheria.

Nchi za wenzetu mfano Kenya kila tangazo la serikali lazima liwe na reference na backup ya sheria iliyohusika. Kwetu tunashindwa nini kuziweka sheria zetu kwenye practice? Mazoea ujenga kawaida.

Kwa kutotaka kuzingatia sheria ndiyo maana Jaji Mkuu ameongezewa muda kimya kimya na hakuna official report to public na hata mahitaji ya sheria kwamba inatakiwa kutangazwa kwenye GN limepuuzwa.

Let us operate professionally, fani ya sheria nchni kuweni na wivu na fani yeni. Wafanyeni watu wasome sheria serikalini kwa kufanya yafuatayo

1. Kila tangazo la serikali linalotolewa kwa mujibu wa sheria au katiba basi liwe na kifungu husika. Hii itawafanya wanaotoa taarifa kwa umma kusoma na kujieleimisha kuhusu matakwa ya sheria

2. Majibizano na maamuzi yote ndani ya serikali yaandikwe yakiwa na backup ya kifungu cha sheria.

3. Auditors wanapofanya ukaguzi wajiridhishe na maamuzi yaliyofanywa kama yalijielekeza kwenye citations za sheria husika au maamuzi yanatolewa kwa stori tu.

4. Viongozi wa kisiasa wanapotekeleza maelekezo yao lazima wazingatie sheria na waseme sheria iliyoguswa.

Sekta binafsi hawana sheria ila wana kanuni na miongozo ambayo usipoizingatia umefikuzwa kazi. Hii inasaidia kazi inayofanywa na bunge ya kutunga sheria iwe na tija. Kama tunatunga sheria na hakuna anayeona zina kazi gani?

Kila siku tunashindwa kesi za kimataifa kwa sababu watumishi wa umma na wanasiasa wazingatie sheria wanapooshauri serikali. Hii yote ni kwa sababu watu wamegoma kusoma na kuziishi instrument zao za kazi.

PGO ilipaswa kuifungua macho ofisi ya AG kwamba yanayofanywa serikalini ni mazoea na siyo sheria.
 
Mwanasheria mkuu mwenyewe alikuwa nani kipindi hicho ili tujue uwezo wake
 
Mshauri wa kisheria wa serikali ni mwanasheria Mkuu wa serikali. Ilipotokea kifo cha Hayati Magufuli alipaswa kutoa dira ya kikatiba na kisheria. Alipaswa kusimamia uandaaji wa tangazo la kifo kwenye vyombo vya habari kujielekeza katika vifungu vya sheria vya kutangaza kifo, maambolezo na kuapishwa Rais Mpya.

Kwa maelezo ya CDF ni kwamba huyu AG hakutekeleza wajibu wake au labda akishirikishwa. Kuachwa kwake nyuma ni kwa sababu ofisi hii imekuwa ya kisiasa kuliko ya kitaaluma. Angekuwa strong enough angeitwa at first place .

Mapungufu ya ofisi ya AG hata sasa yanaonekana wazi. Sikiliza tangazo la kifo cha JPM kama utasikia ikitamkwa kifungu cha katiba, fuatilia mchakato mzima wa mazishi hakuna tangazo lililozingatia mwongozo wa sheria na katiba.

Tuachane na hayo, tusome barua za uteuzi na utenguzi tuone kama kuna maneno
..Mhe. Rais wa JMT kwa mamlaka aliyopewa chini ya Ibaraa.....ya katiba au kwa mujibu wa kifungu ...cha sheria........ameteu au amevunja au ametengua uteuzi wa................

Nenda kwenye mashirika na taasisi nyingine nchni maaafisa habari hakuna Sehemu wanatoa tamko lao kwa kutaja sheria wala kanuni........maana yake hakuna mwongozo wa AG kuwataka wazingatie sheria.

Nchi za wenzetu mfano Kenya kila tangazo la serikali lazima liwe na reference na backup ya sheria iliyohusika. Kwetu tunashindwa nini kuziweka sheria zetu kwenye practice? Mazoea ujenga kawaida.

Kwa kutotaka kuzingatia sheria ndiyo maana Jaji Mkuu ameongezewa muda kimya kimya na hakuna official report to public na hata mahitaji ya sheria kwamba inatakiwa kutangazwa kwenye GN limepuuzwa.

Let us operate professionally, fani ya sheria nchni kuweni na wivu na fani yeni. Wafanyeni watu wasome sheria serikalini kwa kufanya yafuatayo

1. Kila tangazo la serikali linalotolewa kwa mujibu wa sheria au katiba basi liwe na kifungu husika. Hii itawafanya wanaotoa taarifa kwa umma kusoma na kujieleimisha kuhusu matakwa ya sheria

2. Majibizano na maamuzi yote ndani ya serikali yaandikwe yakiwa na backup ya kifungu cha sheria.

3. Auditors wanapofanya ukaguzi wajiridhishe na maamuzi yaliyofanywa kama yalijielekeza kwenye citations za sheria husika au maamuzi yanatolewa kwa stori tu.

4. Viongozi wa kisiasa wanapotekeleza maelekezo yao lazima wazingatie sheria na waseme sheria iliyoguswa.

Sekta binafsi hawana sheria ila wana kanuni na miongozo ambayo usipoizingatia umefikuzwa kazi. Hii inasaidia kazi inayofanywa na bunge ya kutunga sheria iwe na tija. Kama tunatunga sheria na hakuna anayeona zina kazi gani?

Kila siku tunashindwa kesi za kimataifa kwa sababu watumishi wa umma na wanasiasa wazingatie sheria wanapooshauri serikali. Hii yote ni kwa sababu watu wamegoma kusoma na kuziishi instrument zao za kazi.

PGO ilipaswa kuifungua macho ofisi ya AG kwamba yanayofanywa serikalini ni mazoea na siyo sheria.
Ni ushahuri mzuri lakini tukumbuke aina ya utawala wa kipindi hicho na mazoea ambayo yamejengeka baada ya hapo. Mara tu JPM alipoingia madarakani ni kama mambo yote yakawa nchini yake bila kujali katiba au sheria inasemaje juu ya jambo lenyewe. Pale alipohisi katiba au sheria itamubana kuhusu jambo fulani, basi kazi AG ilikuwa ni kuitafutia namna iwe bungeni au vifungu vya utetezi na namna ili matakwa ya mhe. yatimie. Kwa kifupi JPM mwenyewe alikuwa Rais, mahakama na bunge. Mihimili yote hii ilifanya kazi kwa maelekezo na walijitahidi kufanya kazi kwa jinsi watakavyomridhisha yeye, na si sheria inataka nini.

Uteuzi wa AG mwenyewe wa wakati huo ulilalamikiwa na baadhi ya wanasheria kwamba kulikuwa na ukiukwaji wa masharti fulanifulani kwenye uteuzi huo na ule wa Katibu mkuu kiongozi aliyeachwa madarakani. Kwa mazingira hayo sijuhi tuna la kujifunza!!!
 
Mshauri wa kisheria wa serikali ni mwanasheria Mkuu wa serikali. Ilipotokea kifo cha Hayati Magufuli alipaswa kutoa dira ya kikatiba na kisheria. Alipaswa kusimamia uandaaji wa tangazo la kifo kwenye vyombo vya habari kujielekeza katika vifungu vya sheria vya kutangaza kifo, maambolezo na kuapishwa Rais Mpya.

Kwa maelezo ya CDF ni kwamba huyu AG hakutekeleza wajibu wake au labda akishirikishwa. Kuachwa kwake nyuma ni kwa sababu ofisi hii imekuwa ya kisiasa kuliko ya kitaaluma. Angekuwa strong enough angeitwa at first place .

Mapungufu ya ofisi ya AG hata sasa yanaonekana wazi. Sikiliza tangazo la kifo cha JPM kama utasikia ikitamkwa kifungu cha katiba, fuatilia mchakato mzima wa mazishi hakuna tangazo lililozingatia mwongozo wa sheria na katiba.

Tuachane na hayo, tusome barua za uteuzi na utenguzi tuone kama kuna maneno
..Mhe. Rais wa JMT kwa mamlaka aliyopewa chini ya Ibaraa ya katiba au kwa mujibu wa kifungu ...cha sheria........ameteu au amevunja au ametengua uteuzi wa...

Nenda kwenye mashirika na taasisi nyingine nchni maaafisa habari hakuna Sehemu wanatoa tamko lao kwa kutaja sheria wala kanuni maana yake hakuna mwongozo wa AG kuwataka wazingatie sheria.

Nchi za wenzetu mfano Kenya kila tangazo la serikali lazima liwe na reference na backup ya sheria iliyohusika. Kwetu tunashindwa nini kuziweka sheria zetu kwenye practice? Mazoea ujenga kawaida.

Kwa kutotaka kuzingatia sheria ndiyo maana Jaji Mkuu ameongezewa muda kimya kimya na hakuna official report to public na hata mahitaji ya sheria kwamba inatakiwa kutangazwa kwenye GN limepuuzwa.

Let us operate professionally, fani ya sheria nchni kuweni na wivu na fani yeni. Wafanyeni watu wasome sheria serikalini kwa kufanya yafuatayo

1. Kila tangazo la serikali linalotolewa kwa mujibu wa sheria au katiba basi liwe na kifungu husika. Hii itawafanya wanaotoa taarifa kwa umma kusoma na kujieleimisha kuhusu matakwa ya sheria

2. Majibizano na maamuzi yote ndani ya serikali yaandikwe yakiwa na backup ya kifungu cha sheria.

3. Auditors wanapofanya ukaguzi wajiridhishe na maamuzi yaliyofanywa kama yalijielekeza kwenye citations za sheria husika au maamuzi yanatolewa kwa stori tu.

4. Viongozi wa kisiasa wanapotekeleza maelekezo yao lazima wazingatie sheria na waseme sheria iliyoguswa.

Sekta binafsi hawana sheria ila wana kanuni na miongozo ambayo usipoizingatia umefikuzwa kazi. Hii inasaidia kazi inayofanywa na bunge ya kutunga sheria iwe na tija. Kama tunatunga sheria na hakuna anayeona zina kazi gani?

Kila siku tunashindwa kesi za kimataifa kwa sababu watumishi wa umma na wanasiasa wazingatie sheria wanapooshauri serikali. Hii yote ni kwa sababu watu wamegoma kusoma na kuziishi instrument zao za kazi.

PGO ilipaswa kuifungua macho ofisi ya AG kwamba yanayofanywa serikalini ni mazoea na siyo sheria.
You have the point
 
Kitu pekee ninachoweza kumlaumu Generali ni kutotekeleza ombi la JPM la kumrudisha nyumbani akafe akiwa amezungukwa na wapendwa wake.

Amefariki akiwa amezungukwa na strangers, yaani hata mke hakuwepo. What the fu*k was that for??

Kuhusu hao wengine kutopewa taarifa hauwezi jua yaliyo nyuma ya pazia, hauwezi jua nani na nani walikuwa wanaiwinda roho ya marehemu. Mambo ya ulinzi na usalama tuwaachie wenyewe wataalamu.
 
Kipindi cha Mzee Magu vyeo vyote vilikuwa ceremonial, ni majina tu lakini hawakuwa na mamlaka kamili ya wadhifa wao.

Kwa Magufuli ilikuwa una kauli kama kasema uwe na kauli. Rejea nguvu aliyowahi kuwa nayo Makonda akiwa mkuu mkoa tu dhidi ya watu ambao walimzidi kila kitu.

Mwanasheria mkuu asingeweza sema lolote bila ya idhini ya wateule wa Magu. Kipindi cha mauti yake ilikuwa Bashiru na asingepigwa tero na vyombo vya usalama, Hangaya angekuwa anazindua vyoo vya majengo saa hizi kwa kukata tepe kama Makamo.
 
Mshauri wa kisheria wa serikali ni mwanasheria Mkuu wa serikali. Ilipotokea kifo cha Hayati Magufuli alipaswa kutoa dira ya kikatiba na kisheria. Alipaswa kusimamia uandaaji wa tangazo la kifo kwenye vyombo vya habari kujielekeza katika vifungu vya sheria vya kutangaza kifo, maambolezo na kuapishwa Rais Mpya.

Kwa maelezo ya CDF ni kwamba huyu AG hakutekeleza wajibu wake au labda akishirikishwa. Kuachwa kwake nyuma ni kwa sababu ofisi hii imekuwa ya kisiasa kuliko ya kitaaluma. Angekuwa strong enough angeitwa at first place .

Mapungufu ya ofisi ya AG hata sasa yanaonekana wazi. Sikiliza tangazo la kifo cha JPM kama utasikia ikitamkwa kifungu cha katiba, fuatilia mchakato mzima wa mazishi hakuna tangazo lililozingatia mwongozo wa sheria na katiba.

Tuachane na hayo, tusome barua za uteuzi na utenguzi tuone kama kuna maneno
..Mhe. Rais wa JMT kwa mamlaka aliyopewa chini ya Ibaraa ya katiba au kwa mujibu wa kifungu ...cha sheria........ameteu au amevunja au ametengua uteuzi wa...

Nenda kwenye mashirika na taasisi nyingine nchni maaafisa habari hakuna Sehemu wanatoa tamko lao kwa kutaja sheria wala kanuni maana yake hakuna mwongozo wa AG kuwataka wazingatie sheria.

Nchi za wenzetu mfano Kenya kila tangazo la serikali lazima liwe na reference na backup ya sheria iliyohusika. Kwetu tunashindwa nini kuziweka sheria zetu kwenye practice? Mazoea ujenga kawaida.

Kwa kutotaka kuzingatia sheria ndiyo maana Jaji Mkuu ameongezewa muda kimya kimya na hakuna official report to public na hata mahitaji ya sheria kwamba inatakiwa kutangazwa kwenye GN limepuuzwa.

Let us operate professionally, fani ya sheria nchni kuweni na wivu na fani yeni. Wafanyeni watu wasome sheria serikalini kwa kufanya yafuatayo

1. Kila tangazo la serikali linalotolewa kwa mujibu wa sheria au katiba basi liwe na kifungu husika. Hii itawafanya wanaotoa taarifa kwa umma kusoma na kujieleimisha kuhusu matakwa ya sheria

2. Majibizano na maamuzi yote ndani ya serikali yaandikwe yakiwa na backup ya kifungu cha sheria.

3. Auditors wanapofanya ukaguzi wajiridhishe na maamuzi yaliyofanywa kama yalijielekeza kwenye citations za sheria husika au maamuzi yanatolewa kwa stori tu.

4. Viongozi wa kisiasa wanapotekeleza maelekezo yao lazima wazingatie sheria na waseme sheria iliyoguswa.

Sekta binafsi hawana sheria ila wana kanuni na miongozo ambayo usipoizingatia umefikuzwa kazi. Hii inasaidia kazi inayofanywa na bunge ya kutunga sheria iwe na tija. Kama tunatunga sheria na hakuna anayeona zina kazi gani?

Kila siku tunashindwa kesi za kimataifa kwa sababu watumishi wa umma na wanasiasa wazingatie sheria wanapooshauri serikali. Hii yote ni kwa sababu watu wamegoma kusoma na kuziishi instrument zao za kazi.

PGO ilipaswa kuifungua macho ofisi ya AG kwamba yanayofanywa serikalini ni mazoea na siyo sheria.
""Katiba ni kijitabu tu"" Nimemukuu
 
Mshauri wa kisheria wa serikali ni mwanasheria Mkuu wa serikali. Ilipotokea kifo cha Hayati Magufuli alipaswa kutoa dira ya kikatiba na kisheria. Alipaswa kusimamia uandaaji wa tangazo la kifo kwenye vyombo vya habari kujielekeza katika vifungu vya sheria vya kutangaza kifo, maambolezo na kuapishwa Rais Mpya.

Kwa maelezo ya CDF ni kwamba huyu AG hakutekeleza wajibu wake au labda akishirikishwa. Kuachwa kwake nyuma ni kwa sababu ofisi hii imekuwa ya kisiasa kuliko ya kitaaluma. Angekuwa strong enough angeitwa at first place .

Mapungufu ya ofisi ya AG hata sasa yanaonekana wazi. Sikiliza tangazo la kifo cha JPM kama utasikia ikitamkwa kifungu cha katiba, fuatilia mchakato mzima wa mazishi hakuna tangazo lililozingatia mwongozo wa sheria na katiba.

Tuachane na hayo, tusome barua za uteuzi na utenguzi tuone kama kuna maneno
..Mhe. Rais wa JMT kwa mamlaka aliyopewa chini ya Ibaraa ya katiba au kwa mujibu wa kifungu ...cha sheria........ameteu au amevunja au ametengua uteuzi wa...

Nenda kwenye mashirika na taasisi nyingine nchni maaafisa habari hakuna Sehemu wanatoa tamko lao kwa kutaja sheria wala kanuni maana yake hakuna mwongozo wa AG kuwataka wazingatie sheria.

Nchi za wenzetu mfano Kenya kila tangazo la serikali lazima liwe na reference na backup ya sheria iliyohusika. Kwetu tunashindwa nini kuziweka sheria zetu kwenye practice? Mazoea ujenga kawaida.

Kwa kutotaka kuzingatia sheria ndiyo maana Jaji Mkuu ameongezewa muda kimya kimya na hakuna official report to public na hata mahitaji ya sheria kwamba inatakiwa kutangazwa kwenye GN limepuuzwa.

Let us operate professionally, fani ya sheria nchni kuweni na wivu na fani yeni. Wafanyeni watu wasome sheria serikalini kwa kufanya yafuatayo

1. Kila tangazo la serikali linalotolewa kwa mujibu wa sheria au katiba basi liwe na kifungu husika. Hii itawafanya wanaotoa taarifa kwa umma kusoma na kujieleimisha kuhusu matakwa ya sheria

2. Majibizano na maamuzi yote ndani ya serikali yaandikwe yakiwa na backup ya kifungu cha sheria.

3. Auditors wanapofanya ukaguzi wajiridhishe na maamuzi yaliyofanywa kama yalijielekeza kwenye citations za sheria husika au maamuzi yanatolewa kwa stori tu.

4. Viongozi wa kisiasa wanapotekeleza maelekezo yao lazima wazingatie sheria na waseme sheria iliyoguswa.

Sekta binafsi hawana sheria ila wana kanuni na miongozo ambayo usipoizingatia umefikuzwa kazi. Hii inasaidia kazi inayofanywa na bunge ya kutunga sheria iwe na tija. Kama tunatunga sheria na hakuna anayeona zina kazi gani?

Kila siku tunashindwa kesi za kimataifa kwa sababu watumishi wa umma na wanasiasa wazingatie sheria wanapooshauri serikali. Hii yote ni kwa sababu watu wamegoma kusoma na kuziishi instrument zao za kazi.

PGO ilipaswa kuifungua macho ofisi ya AG kwamba yanayofanywa serikalini ni mazoea na siyo sheria.
Acha kutuchosha,mfumuko wa bei unatumaliza,ofisi za umma,rushwa na ubadhirifu wa fedha za umma umetamalaki,wewe unaleta za AG,ulikuwa wapi siku zote?
 
Hili swala linaweza kuja kumpa hata Samia au wapambe wake hata CCM yote kesi ya uhaini.

Visasi ya Siasa haviishagi.

Mfano Burkina Faso, Ethiopia baada ya mapinduzi zilifunguliwa kesi za uhaini kuwa Watu waliotolewa madarakani walishiriki kwenye hujuma dhidi uhai wa viongozi wakuu wa nchi, na ilikuwa imepita Miaka zaidi ya 30.

Ndani ya CCM Nina uhakika wanajuana kabisa kwenye Makundi yaliyopo, it is very very important zile reconciliation wanazosema nje wakaanza Nazo ndani.

Yaani General mabeyo aliongea mambo makubwa, ila yanachukuliwa kirahisi.

Tuna technical errors nyingi sana kwenye namna tunavosimamia katiba yetu
 
Mtoa mada soma hii ,President yupo ICU fighting for his life,VP yupo ziarani Tanga,PM ziarani pia...President anafariki akizungukwa na strangers na sio familia yake,taarifa ya kifo inatolewa kwanza kwa speaker,PM na wapuuzi wengine na mwishoni oops VP tumemsahau kumpa taarifa!nchi ya kusadikika hii
 
Back
Top Bottom