Jerry Ekky
JF-Expert Member
- May 6, 2018
- 1,682
- 5,061
Kwani gaidi ana sura gani? au utambulisho wake?
Wanafadhili kundi gani la kigaidi Kati ya haya?Wafadhili wakubwa wa magaidi duniani ni nchi za Magharibi wakiongozwa na Marekani
Mkuu kubali tu hapa umepuyanga mbaya kabisa!!!Weka na picha za magaidi wanaoua wanawake na watoto huko Palestina,weka picha za magaidi walioua watu huko Iraq,Afghanistan,Libya,Syria na kwingineko,weka picha ya yule nesi mzungu aliyewachoma sindano ya ukimwi watoto wadogo huko Libya,
Mmelishwa matango pori na kuaminishwa na mzungu kua magaidi ni watu wa aina fulani tu au wa dini fulani tu,ugaidi upo wa aina nyingi na sio kila gaidi hujiweka wazi.
Inahitaji mtu mwenye kufikiri ndio ataelewa nilichokiandika,wewe hata sikushangai kwa kutokuona lengo la comment yangu,ila unao muda wa kuendelea kujifunza,siku nyingine usirudie kunipangia cha kuandika.Mkuu kubali tu hapa umepuyanga mbaya kabisa!!!
Ulichoandika hapa na kinachojadiliwa ni mbingu na nchi umewaza nini hadi kuandika hivi?
Sent from my M2012K11AC using JamiiForums mobile app
Sasa kwani Waislam wote ni Magaidi?Ndio ulivyokaririshwa
Ilishaanza kukuingia na kutokaComment yangu moja umeiquote mara mbili,hii inaonyesha ni jinsi gani dawa ilivyokuingia.
Naona Wana hamu Sana na Magaidi.Gaidi anae tabasamuserikali ya ccm mangese kweli.
Lunatic
Mmasai kavamia disco.Sasa Mbona unaingiza ishu za Udini??.Weka na picha za magaidi wanaoua wanawake na watoto huko Palestina,weka picha za magaidi walioua watu huko Iraq,Afghanistan,Libya,Syria na kwingineko,weka picha ya yule nesi mzungu aliyewachoma sindano ya ukimwi watoto wadogo huko Libya,
Mmelishwa matango pori na kuaminishwa na mzungu kua magaidi ni watu wa aina fulani tu au wa dini fulani tu,ugaidi upo wa aina nyingi na sio kila gaidi hujiweka wazi.
Kuna dini nimeitaja hapo?Mmasai kavamia disco.Sasa Mbona unaingiza ishu za Udini??.
Ukiwewaka wewe inatosha.. yeye kaweka haoWeka na picha za magaidi wanaoua wanawake na watoto huko Palestina,weka picha za magaidi walioua watu huko Iraq,Afghanistan,Libya,Syria na kwingineko,weka picha ya yule nesi mzungu aliyewachoma sindano ya ukimwi watoto wadogo huko Libya,
Mmelishwa matango pori na kuaminishwa na mzungu kua magaidi ni watu wa aina fulani tu au wa dini fulani tu,ugaidi upo wa aina nyingi na sio kila gaidi hujiweka wazi.
Punguza kujitia kimbele mbele.Ukiwewaka wewe inatosha.. yeye kaweka hao
Kwa mfano alqaeda, al shabaab , hamza e.t.c ni magaidiPunguza kujitia kimbele mbele.
Ichunguze vizuri comment Yako.Kuna dini nimeitaja hapo?
Au umeamua tu kucomment ili usisahaulike kua na wewe umo humu JF?
SimjuiNa huyu vipi
Timothy James McVeigh
Ninunulie bundleGugo
Hana pesa yote amemuonga mama yako pale buguruni umesahau?Mumeo hana pesa?