Hawa maigaidi wengine wameishia kumshangaa

View attachment 1875185
Kwani gaidi ana sura gani? au utambulisho wake?

Au gaidi ni mtu wa aina gani hata atofautiane na mbowe?



Gaidi anaweza kuwa mtu yeyote bila kujali rangi, sura, muonekano wala dini.



Hapo ni mwendo wa kucheza na coin tuu, wakati upande mmoja ni HEAD upande mwingine ni TAIL. Nyumbani kwenu ni freedom fighter, ila ugenini ni gaidi.
 
Wafadhili wakubwa wa magaidi duniani ni nchi za Magharibi wakiongozwa na Marekani
Wanafadhili kundi gani la kigaidi Kati ya haya?
JamiiForums-447433985.jpg
 
Weka na picha za magaidi wanaoua wanawake na watoto huko Palestina,weka picha za magaidi walioua watu huko Iraq,Afghanistan,Libya,Syria na kwingineko,weka picha ya yule nesi mzungu aliyewachoma sindano ya ukimwi watoto wadogo huko Libya,

Mmelishwa matango pori na kuaminishwa na mzungu kua magaidi ni watu wa aina fulani tu au wa dini fulani tu,ugaidi upo wa aina nyingi na sio kila gaidi hujiweka wazi.
Mkuu kubali tu hapa umepuyanga mbaya kabisa!!!

Ulichoandika hapa na kinachojadiliwa ni mbingu na nchi umewaza nini hadi kuandika hivi?

Sent from my M2012K11AC using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kubali tu hapa umepuyanga mbaya kabisa!!!

Ulichoandika hapa na kinachojadiliwa ni mbingu na nchi umewaza nini hadi kuandika hivi?

Sent from my M2012K11AC using JamiiForums mobile app
Inahitaji mtu mwenye kufikiri ndio ataelewa nilichokiandika,wewe hata sikushangai kwa kutokuona lengo la comment yangu,ila unao muda wa kuendelea kujifunza,siku nyingine usirudie kunipangia cha kuandika.
 
Weka na picha za magaidi wanaoua wanawake na watoto huko Palestina,weka picha za magaidi walioua watu huko Iraq,Afghanistan,Libya,Syria na kwingineko,weka picha ya yule nesi mzungu aliyewachoma sindano ya ukimwi watoto wadogo huko Libya,

Mmelishwa matango pori na kuaminishwa na mzungu kua magaidi ni watu wa aina fulani tu au wa dini fulani tu,ugaidi upo wa aina nyingi na sio kila gaidi hujiweka wazi.
Mmasai kavamia disco.Sasa Mbona unaingiza ishu za Udini??.
 
Weka na picha za magaidi wanaoua wanawake na watoto huko Palestina,weka picha za magaidi walioua watu huko Iraq,Afghanistan,Libya,Syria na kwingineko,weka picha ya yule nesi mzungu aliyewachoma sindano ya ukimwi watoto wadogo huko Libya,

Mmelishwa matango pori na kuaminishwa na mzungu kua magaidi ni watu wa aina fulani tu au wa dini fulani tu,ugaidi upo wa aina nyingi na sio kila gaidi hujiweka wazi.
Ukiwewaka wewe inatosha.. yeye kaweka hao
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom