toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
I don't know why US is hesitating to attack Iran wanataka ushahid gani kudhibitisha kuwa ni magaidi? Irani ni tatizo sana wanafadhili vikundi kila mahali dunian wanagawa pesa na kila silaha.
Kuangushwa kwa iran kutakua na faida tena zaidi kwa waislam wenyewe huu ndo ukweli ambao hata Saudia na waarab wengine washaujua sasa hivi Ukiangalia hapa nchini Iran anatoa ufadhiri wa masomo ya dini tu na kusambaza itikadi ya kuichukia Marekani na Israel serikali ipo tu.
Iran inatengeneza sumu ya ugaidi na chuki angalia Naijeria fujo haziishi kumbe Iran ndio awafadhiri wale mashehe wa kidini.
Adui wa waarab sio Israel, adui wa waarab ni Iran anafadhiri ugaidi
Nashindwa kuelewa jamii ya kimataifa inasubiri nini kumponda huyu gaidi Ayatollah huyo babu ni gaidi mbaya sana ana chuki na ndevu nyingi.
Dunia itakuwa salama kukiwa na amani na waarab na Israel wakiishi kwa pamoja kwa amani bila Iran kuwepo.
Afrika haipo salama tena, Tanzania hatupo salama kwasababu huyu Iran anafadhili harakati za kidini kwa kasi wanagawa misaada na masolar huko vijijini kwa sharti watu wabadili dini kisha wanafundishwa chuki kali dhidi ya Marekani na Israel.
Dunia haitokuwa salama hadi Iran amalizwe.
Kuangushwa kwa iran kutakua na faida tena zaidi kwa waislam wenyewe huu ndo ukweli ambao hata Saudia na waarab wengine washaujua sasa hivi Ukiangalia hapa nchini Iran anatoa ufadhiri wa masomo ya dini tu na kusambaza itikadi ya kuichukia Marekani na Israel serikali ipo tu.
Iran inatengeneza sumu ya ugaidi na chuki angalia Naijeria fujo haziishi kumbe Iran ndio awafadhiri wale mashehe wa kidini.
Adui wa waarab sio Israel, adui wa waarab ni Iran anafadhiri ugaidi
Nashindwa kuelewa jamii ya kimataifa inasubiri nini kumponda huyu gaidi Ayatollah huyo babu ni gaidi mbaya sana ana chuki na ndevu nyingi.
Dunia itakuwa salama kukiwa na amani na waarab na Israel wakiishi kwa pamoja kwa amani bila Iran kuwepo.
Afrika haipo salama tena, Tanzania hatupo salama kwasababu huyu Iran anafadhili harakati za kidini kwa kasi wanagawa misaada na masolar huko vijijini kwa sharti watu wabadili dini kisha wanafundishwa chuki kali dhidi ya Marekani na Israel.
Dunia haitokuwa salama hadi Iran amalizwe.