Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,559
- 41,078
Kanuni kuu ya gaidi ni kuua yeyote. Hivyo ujue kuwa gaidi akitaka kuua tajiri, halafu maskini nao wakawepo hapo hapo, na maskini nao watauawa pamoja na huyo tajiri. Ndiyo maana yale magaidi ya September 11 kule US, hayakuuliza wala kuchunguza ndani ya zile ndege kulikuwa na wageni wangapi wala kwenye yale majengo kama kulikuwa na wageni au waislam.
Magaidi ya Hamas, hayajawaua watanzania, Waafrika Kusini, Wamalawi, Wamarekani, Waingereza na wengine wote kwa bahati mbaya. Wamefanya hivyo makusudi, na kwa kujua kabisa kuwa yanawaua watu wa Mataifa mbalimbali. Yaliwaua waafrika huku yakichukua video kwa lengo la kuhakikisha video hizo zinafika kwa Waafrika wenzao ili waogope kwenda Israel, na Israel ikose wafanyakazi wa mashambani.
Magaidi yaliyoshambulia ubalozi wa Kenya pale Nairobi, hayakuuliza humo ndanii kuna waislam wangapi au wakristo wangapi. Yaliua kila ambaye bomu liliweza kumfikia.
Magaidi ya Hamas yamewahi kuwaua wapalestina wenzao kwa madai kwa nini wanafanya mazungumzo na Wayahudi.
Magaidi ya Hizbollah yalimwua Waziri mkuu wao Rafiq Hariri kwa madai kuwa kwa nini alikuwa anawashirikisha wakristo wachache kwenye Serikali yake.
Magaidi ya Hamas, sasa yamefikia kutoa tamko kuwa yamewaua na kuwateka watu wa mataifa mbalimbali Duniani, siyo kwa bahati mbaya, bali kwa kukusudia, ili kuweka tishio kuwa ukienda Israel hupo salama. Yaani watu wote waogope kwenda Israel.
Na ndicho magaidi ya Houthi ya kule Yemen yanachofanya pia. Yanaziteka meli zinazopita kwenye ghuba ya Yemen. Lengo ni kuyafanya makampuni ya meli yaogope kupitisha meli zao eneo hilo; na kama meli hazitapita hapo, basi Israel ikose mizigo.
Ni punguani pekee anayeweza kuunga mkono ugaidi wa Hamas. Haya magaidi yanaweza kuondoa hata uhai wake yeye anayeuyaunga mkono. Chukulia unasafiri, umepanda ndege, ndani ya ndege kuna mtu ambaye haya magaidi yanamtafuta. Yakiamua kuilipua hiyo ndege, haya magaidi hayafikirii kabisa juu ya uhai wa wale abiria wengine nje ya yule wanayemtaka. Yatawaua ninyi nyote pamoja.
Urafiki qetu na mamlaka ya Palestina, haujasaidia chochote kuzuia magaidi haya yasiwaue vijana wetu. Huo ni ujumbe tosha kuwa gaidi hana rafiki, na kwamba tumekuwa wajinga kufanya urafiki na jamii hizi za magaidi.
Magaidi ya Hamas yametenda unyama wa kila aina siku ile ya tarehe 7 Octoba kule Israel. Yaliua bila ubaguzi. Na kuna uthibitisho yaliwabaka wasichama wa Israel maeneo ya mashambani, kisha kuwakata shingo. Na sasa yanajivunia kutekeleza unyama huu.
Dunia isipoungana kuyaangamiza haya magaidi ya Hamas, Hizbollah na mengine yaliyojazana hapo Mashariki ya Kati, kuna siku Dunia itajuta.
Tuombee kampeni ya Israel ya kuyaangamiza haya magaidi, ifanikiwe. La sivyo, Dunia nzima siyo salama. Angalia yalivyotusumbua kule Kibiti na Mkurunga. Fikiria huko jimbo la Cabo Delgado Msumbiji, Somalia, Nigeria, Mali, na maeneo mengine mengi.
Haya magaidi yakipata ushindi ja yakizidi kujijenga, itafika mahali yatakuwa yanashambulia nchi yoyote au kiongozi yeyote kama hayaungi mkono.
Magaidi ya Hamas, hayajawaua watanzania, Waafrika Kusini, Wamalawi, Wamarekani, Waingereza na wengine wote kwa bahati mbaya. Wamefanya hivyo makusudi, na kwa kujua kabisa kuwa yanawaua watu wa Mataifa mbalimbali. Yaliwaua waafrika huku yakichukua video kwa lengo la kuhakikisha video hizo zinafika kwa Waafrika wenzao ili waogope kwenda Israel, na Israel ikose wafanyakazi wa mashambani.
Magaidi yaliyoshambulia ubalozi wa Kenya pale Nairobi, hayakuuliza humo ndanii kuna waislam wangapi au wakristo wangapi. Yaliua kila ambaye bomu liliweza kumfikia.
Magaidi ya Hamas yamewahi kuwaua wapalestina wenzao kwa madai kwa nini wanafanya mazungumzo na Wayahudi.
Magaidi ya Hizbollah yalimwua Waziri mkuu wao Rafiq Hariri kwa madai kuwa kwa nini alikuwa anawashirikisha wakristo wachache kwenye Serikali yake.
Magaidi ya Hamas, sasa yamefikia kutoa tamko kuwa yamewaua na kuwateka watu wa mataifa mbalimbali Duniani, siyo kwa bahati mbaya, bali kwa kukusudia, ili kuweka tishio kuwa ukienda Israel hupo salama. Yaani watu wote waogope kwenda Israel.
Na ndicho magaidi ya Houthi ya kule Yemen yanachofanya pia. Yanaziteka meli zinazopita kwenye ghuba ya Yemen. Lengo ni kuyafanya makampuni ya meli yaogope kupitisha meli zao eneo hilo; na kama meli hazitapita hapo, basi Israel ikose mizigo.
Ni punguani pekee anayeweza kuunga mkono ugaidi wa Hamas. Haya magaidi yanaweza kuondoa hata uhai wake yeye anayeuyaunga mkono. Chukulia unasafiri, umepanda ndege, ndani ya ndege kuna mtu ambaye haya magaidi yanamtafuta. Yakiamua kuilipua hiyo ndege, haya magaidi hayafikirii kabisa juu ya uhai wa wale abiria wengine nje ya yule wanayemtaka. Yatawaua ninyi nyote pamoja.
Urafiki qetu na mamlaka ya Palestina, haujasaidia chochote kuzuia magaidi haya yasiwaue vijana wetu. Huo ni ujumbe tosha kuwa gaidi hana rafiki, na kwamba tumekuwa wajinga kufanya urafiki na jamii hizi za magaidi.
Magaidi ya Hamas yametenda unyama wa kila aina siku ile ya tarehe 7 Octoba kule Israel. Yaliua bila ubaguzi. Na kuna uthibitisho yaliwabaka wasichama wa Israel maeneo ya mashambani, kisha kuwakata shingo. Na sasa yanajivunia kutekeleza unyama huu.
Dunia isipoungana kuyaangamiza haya magaidi ya Hamas, Hizbollah na mengine yaliyojazana hapo Mashariki ya Kati, kuna siku Dunia itajuta.
Tuombee kampeni ya Israel ya kuyaangamiza haya magaidi, ifanikiwe. La sivyo, Dunia nzima siyo salama. Angalia yalivyotusumbua kule Kibiti na Mkurunga. Fikiria huko jimbo la Cabo Delgado Msumbiji, Somalia, Nigeria, Mali, na maeneo mengine mengi.
Haya magaidi yakipata ushindi ja yakizidi kujijenga, itafika mahali yatakuwa yanashambulia nchi yoyote au kiongozi yeyote kama hayaungi mkono.