Gaidi Hana Rafiki, Dunia Iungane

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,559
41,078
Kanuni kuu ya gaidi ni kuua yeyote. Hivyo ujue kuwa gaidi akitaka kuua tajiri, halafu maskini nao wakawepo hapo hapo, na maskini nao watauawa pamoja na huyo tajiri. Ndiyo maana yale magaidi ya September 11 kule US, hayakuuliza wala kuchunguza ndani ya zile ndege kulikuwa na wageni wangapi wala kwenye yale majengo kama kulikuwa na wageni au waislam.

Magaidi ya Hamas, hayajawaua watanzania, Waafrika Kusini, Wamalawi, Wamarekani, Waingereza na wengine wote kwa bahati mbaya. Wamefanya hivyo makusudi, na kwa kujua kabisa kuwa yanawaua watu wa Mataifa mbalimbali. Yaliwaua waafrika huku yakichukua video kwa lengo la kuhakikisha video hizo zinafika kwa Waafrika wenzao ili waogope kwenda Israel, na Israel ikose wafanyakazi wa mashambani.

Magaidi yaliyoshambulia ubalozi wa Kenya pale Nairobi, hayakuuliza humo ndanii kuna waislam wangapi au wakristo wangapi. Yaliua kila ambaye bomu liliweza kumfikia.

Magaidi ya Hamas yamewahi kuwaua wapalestina wenzao kwa madai kwa nini wanafanya mazungumzo na Wayahudi.

Magaidi ya Hizbollah yalimwua Waziri mkuu wao Rafiq Hariri kwa madai kuwa kwa nini alikuwa anawashirikisha wakristo wachache kwenye Serikali yake.

Magaidi ya Hamas, sasa yamefikia kutoa tamko kuwa yamewaua na kuwateka watu wa mataifa mbalimbali Duniani, siyo kwa bahati mbaya, bali kwa kukusudia, ili kuweka tishio kuwa ukienda Israel hupo salama. Yaani watu wote waogope kwenda Israel.

Na ndicho magaidi ya Houthi ya kule Yemen yanachofanya pia. Yanaziteka meli zinazopita kwenye ghuba ya Yemen. Lengo ni kuyafanya makampuni ya meli yaogope kupitisha meli zao eneo hilo; na kama meli hazitapita hapo, basi Israel ikose mizigo.

Ni punguani pekee anayeweza kuunga mkono ugaidi wa Hamas. Haya magaidi yanaweza kuondoa hata uhai wake yeye anayeuyaunga mkono. Chukulia unasafiri, umepanda ndege, ndani ya ndege kuna mtu ambaye haya magaidi yanamtafuta. Yakiamua kuilipua hiyo ndege, haya magaidi hayafikirii kabisa juu ya uhai wa wale abiria wengine nje ya yule wanayemtaka. Yatawaua ninyi nyote pamoja.

Urafiki qetu na mamlaka ya Palestina, haujasaidia chochote kuzuia magaidi haya yasiwaue vijana wetu. Huo ni ujumbe tosha kuwa gaidi hana rafiki, na kwamba tumekuwa wajinga kufanya urafiki na jamii hizi za magaidi.

Magaidi ya Hamas yametenda unyama wa kila aina siku ile ya tarehe 7 Octoba kule Israel. Yaliua bila ubaguzi. Na kuna uthibitisho yaliwabaka wasichama wa Israel maeneo ya mashambani, kisha kuwakata shingo. Na sasa yanajivunia kutekeleza unyama huu.

Dunia isipoungana kuyaangamiza haya magaidi ya Hamas, Hizbollah na mengine yaliyojazana hapo Mashariki ya Kati, kuna siku Dunia itajuta.

Tuombee kampeni ya Israel ya kuyaangamiza haya magaidi, ifanikiwe. La sivyo, Dunia nzima siyo salama. Angalia yalivyotusumbua kule Kibiti na Mkurunga. Fikiria huko jimbo la Cabo Delgado Msumbiji, Somalia, Nigeria, Mali, na maeneo mengine mengi.

Haya magaidi yakipata ushindi ja yakizidi kujijenga, itafika mahali yatakuwa yanashambulia nchi yoyote au kiongozi yeyote kama hayaungi mkono.
 
Siamini kama haya magaidi ya Hamas na magaidi mengine kama yana dini. Kama yana dini basi itakuwa ni dini ya shetani, dini inayofurahia damu za watu na ubakaji. Yaani yanambaka binti, kisha yanmkata shingo!!
Mkuu naunga mkono kupinga magaidi dunia nzima ila mada ingekua balanced kama ungesema pia kuhusu IDF imeshaua raia wangapi wa kigeni na watoto wasio na hatia?

Maana ugaidi sio watu ila kitendo so hata jeshi rasmi likiua raia wasio na hatia basi ni magaidi vilevile. Hamas kama IDF wote wamefanya makosa yale yale sielewi why kunakua na double standards
 
Kwanza sisi hapa Afrika ya Mashariki tuko katika sehemu ambayo Magaidi yanaweza kupata wafuasi kwa haraka hebu fikiria Alshababu wana kundi kubwa la Vijana kutoka Mombasa Lamu Malindi na wengine kutoka Pwani ya Tanzania na Zanzibar.

Vijana wetu wengine walienda Msumbiji kijiunga na Magaidi ya ISIS kule.

Mimi huwa najiuliza au ni matokeo ya kukosekana kwa Ajira?
 
Kwanza sisi hapa Afrika ya Mashariki tuko katika sehemu ambayo Magaidi yanaweza kupata wafuasi kwa haraka hebu fikiria Alshababu wana kundi kubwa la Vijana kutoka Mombasa Lamu Malindi na wengine kutoka Pwani ya Tanzania na Zanzibar.

Vijana wetu wengine walienda Msumbiji kijiunga na Magaidi ya ISIS kule.

Mimi huwa najiuliza au ni matokeo ya kukosekana kwa Ajira?
sidhani ajira ndio inasababisha
ugaidi upo dunia nzima na haijalishi hali zao
Ila kwa upande flan naweza kukubiliana na wewe
hata israel kwenyewe ndio kuna magaidi ya kutosha kabisa na yanajua hakuna wa kumkoromea!
 
Kanuni kuu ya gaidi ni kuua yeyote. Hivyo ujue kuwa gaidi akitaka kuua tajiri, halafu maskini nao wakawepo hapo hapo, na maskini nao watauawa pamoja na huyo tajiri. Ndiyo maana yale magaidi ya September 11 kule US, hayakuuliza wala kuchunguza ndani ya zile ndege kulikuwa na wageni wangapi wala kwenye yale majengo kama kulikuwa na wageni au waislam.

Magaidi ya Hamas, hayajawaua watanzania, Waafrika Kusini, Wamalawi, Wamarekani, Waingereza na wengine wote kwa bahati mbaya. Wamefanya hivyo makusudi, na kwa kujua kabisa kuwa yanawaua watu wa Mataifa mbalimbali. Yaliwaua waafrika huku yakichukua video kwa lengo la kuhakikisha video hizo zinafika kwa Waafrika wenzao ili waogope kwenda Israel, na Israel ikose wafanyakazi wa mashambani.

Magaidi yaliyoshambulia ubalozi wa Kenya pale Nairobi, hayakuuliza humo ndanii kuna waislam wangapi au wakristo wangapi. Yaliua kila ambaye bomu liliweza kumfikia.

Magaidi ya Hamas yamewahi kuwaua wapalestina wenzao kwa madai kwa nini wanafanya mazungumzo na Wayahudi.

Magaidi ya Hizbollah yalimwua Waziri mkuu wao Rafiq Hariri kwa madai kuwa kwa nini alikuwa anawashirikisha wakristo wachache kwenye Serikali yake.

Magaidi ya Hamas, sasa yamefikia kutoa tamko kuwa yamewaua na kuwateka watu wa mataifa mbalimbali Duniani, siyo kwa bahati mbaya, bali kwa kukusudia, ili kuweka tishio kuwa ukienda Israel hupo salama. Yaani watu wote waogope kwenda Israel.

Na ndicho magaidi ya Houthi ya kule Yemen yanachofanya pia. Yanaziteka meli zinazopita kwenye ghuba ya Yemen. Lengo ni kuyafanya makampuni ya meli yaogope kupitisha meli zao eneo hilo; na kama meli hazitapita hapo, basi Israel ikose mizigo.

Ni punguani pekee anayeweza kuunga mkono ugaidi wa Hamas. Haya magaidi yanaweza kuondoa hata uhai wake yeye anayeuyaunga mkono. Chukulia unasafiri, umepanda ndege, ndani ya ndege kuna mtu ambaye haya magaidi yanamtafuta. Yakiamua kuilipua hiyo ndege, haya magaidi hayafikirii kabisa juu ya uhai wa wale abiria wengine nje ya yule wanayemtaka. Yatawaua ninyi nyote pamoja.

Urafiki qetu na mamlaka ya Palestina, haujasaidia chochote kuzuia magaidi haya yasiwaue vijana wetu. Huo ni ujumbe tosha kuwa gaidi hana rafiki, na kwamba tumekuwa wajinga kufanya urafiki na jamii hizi za magaidi.

Magaidi ya Hamas yametenda unyama wa kila aina siku ile ya tarehe 7 Octoba kule Israel. Yaliua bila ubaguzi. Na kuna uthibitisho yaliwabaka wasichama wa Israel maeneo ya mashambani, kisha kuwakata shingo. Na sasa yanajivunia kutekeleza unyama huu.

Dunia isipoungana kuyaangamiza haya magaidi ya Hamas, Hizbollah na mengine yaliyojazana hapo Mashariki ya Kati, kuna siku Dunia itajuta.

Tuombee kampeni ya Israel ya kuyaangamiza haya magaidi, ifanikiwe. La sivyo, Dunia nzima siyo salama. Angalia yalivyotusumbua kule Kibiti na Mkurunga. Fikiria huko jimbo la Cabo Delgado Msumbiji, Somalia, Nigeria, Mali, na maeneo mengine mengi.

Haya magaidi yakipata ushindi ja yakizidi kujijenga, itafika mahali yatakuwa yanashambulia nchi yoyote au kiongozi yeyote kama hayaungi mkono.
Haya Magaidi Maislamu ISIS 2.0 aka HAMAS in hatari sana. Hadi Tanzania tumepoteza vijana wawili wasiyo na hatia inaonyesha jinsi dini yao ya kishetani inavyohalalisha maovu dhidi ya binadamu WOTE wa imani na hulka tofauti.
 
Kanuni kuu ya gaidi ni kuua yeyote. Hivyo ujue kuwa gaidi akitaka kuua tajiri, halafu maskini nao wakawepo hapo hapo, na maskini nao watauawa pamoja na huyo tajiri. Ndiyo maana yale magaidi ya September 11 kule US, hayakuuliza wala kuchunguza ndani ya zile ndege kulikuwa na wageni wangapi wala kwenye yale majengo kama kulikuwa na wageni au waislam.

Magaidi ya Hamas, hayajawaua watanzania, Waafrika Kusini, Wamalawi, Wamarekani, Waingereza na wengine wote kwa bahati mbaya. Wamefanya hivyo makusudi, na kwa kujua kabisa kuwa yanawaua watu wa Mataifa mbalimbali. Yaliwaua waafrika huku yakichukua video kwa lengo la kuhakikisha video hizo zinafika kwa Waafrika wenzao ili waogope kwenda Israel, na Israel ikose wafanyakazi wa mashambani.

Magaidi yaliyoshambulia ubalozi wa Kenya pale Nairobi, hayakuuliza humo ndanii kuna waislam wangapi au wakristo wangapi. Yaliua kila ambaye bomu liliweza kumfikia.

Magaidi ya Hamas yamewahi kuwaua wapalestina wenzao kwa madai kwa nini wanafanya mazungumzo na Wayahudi.

Magaidi ya Hizbollah yalimwua Waziri mkuu wao Rafiq Hariri kwa madai kuwa kwa nini alikuwa anawashirikisha wakristo wachache kwenye Serikali yake.

Magaidi ya Hamas, sasa yamefikia kutoa tamko kuwa yamewaua na kuwateka watu wa mataifa mbalimbali Duniani, siyo kwa bahati mbaya, bali kwa kukusudia, ili kuweka tishio kuwa ukienda Israel hupo salama. Yaani watu wote waogope kwenda Israel.

Na ndicho magaidi ya Houthi ya kule Yemen yanachofanya pia. Yanaziteka meli zinazopita kwenye ghuba ya Yemen. Lengo ni kuyafanya makampuni ya meli yaogope kupitisha meli zao eneo hilo; na kama meli hazitapita hapo, basi Israel ikose mizigo.

Ni punguani pekee anayeweza kuunga mkono ugaidi wa Hamas. Haya magaidi yanaweza kuondoa hata uhai wake yeye anayeuyaunga mkono. Chukulia unasafiri, umepanda ndege, ndani ya ndege kuna mtu ambaye haya magaidi yanamtafuta. Yakiamua kuilipua hiyo ndege, haya magaidi hayafikirii kabisa juu ya uhai wa wale abiria wengine nje ya yule wanayemtaka. Yatawaua ninyi nyote pamoja.

Urafiki qetu na mamlaka ya Palestina, haujasaidia chochote kuzuia magaidi haya yasiwaue vijana wetu. Huo ni ujumbe tosha kuwa gaidi hana rafiki, na kwamba tumekuwa wajinga kufanya urafiki na jamii hizi za magaidi.

Magaidi ya Hamas yametenda unyama wa kila aina siku ile ya tarehe 7 Octoba kule Israel. Yaliua bila ubaguzi. Na kuna uthibitisho yaliwabaka wasichama wa Israel maeneo ya mashambani, kisha kuwakata shingo. Na sasa yanajivunia kutekeleza unyama huu.

Dunia isipoungana kuyaangamiza haya magaidi ya Hamas, Hizbollah na mengine yaliyojazana hapo Mashariki ya Kati, kuna siku Dunia itajuta.

Tuombee kampeni ya Israel ya kuyaangamiza haya magaidi, ifanikiwe. La sivyo, Dunia nzima siyo salama. Angalia yalivyotusumbua kule Kibiti na Mkurunga. Fikiria huko jimbo la Cabo Delgado Msumbiji, Somalia, Nigeria, Mali, na maeneo mengine mengi.

Haya magaidi yakipata ushindi ja yakizidi kujijenga, itafika mahali yatakuwa yanashambulia nchi yoyote au kiongozi yeyote kama hayaungi mkono.
Daaaah
Kweli kabisa mkuu
 
Unaweza nambia hao HAMAS na hao wengine wana viwanda vya kutengeneza silaha hizo nzito nzito kama hizo roketi, n.k.?!...
Maelezo meeengi lkn hakuna cha maana ulichoandika
20121222_WOP901.png
 
Dini zingine ni laana tupu,yaani bila damu haziwezi kusonga mbele kwasababu majini hayawezi kuishi bila damu.
Watu wenye iq ndogo utawaona tu. Tz bado tuna walemavu wa fikra, utaona mapokeo yao ya habar kutafakar kwao majibu yao n.k sasa dini ya haki au isiyo ya haki inatoka wap hapo.... Na jamaa ameeleza vzr kbs khs magaid

Ila tz n nchi yenye watu wa ajabu sn


AKILI NDOGO MNAFAHAMU VTU JUU JUU SN. HAKUNA UDINI HAPO WATU WANAMASLAH YAO YAKISHENZ KW MATAIFA YOTE SIO ISRAEL PALESTINA NA MATAIFA Ya magharib

Chunguzen mambo paten maarfa msiwe wazungumzaj msio na maarfa yakutosha
 
Mkuu naunga mkono kupinga magaidi dunia nzima ila mada ingekua balanced kama ungesema pia kuhusu IDF imeshaua raia wangapi wa kigeni na watoto wasio na hatia?

Maana ugaidi sio watu ila kitendo so hata jeshi rasmi likiua raia wasio na hatia basi ni magaidi vilevile. Hamas kama IDF wote wamefanya makosa yale yale sielewi why kunakua na double standards
Afadhali Israel hutoa ultimatum kwa raia kuondoka maeneo watakayoshambulia, lakini sio kama hao magaidi wanao select watu individually, na kuwapiga risasi huku wakichekelea.

Sijui kwanini unalazimisha IDF wawekwe kwenye kundi moja na hao magaidi, lile ni jeshi kamili linalotambulika kote ulimwenguni, lenye mafunzo ndio maana halina muda wa kuvizia raia mitaani, wakati Hamas ni kundi la wahuni wasio hata na sare, wanaoua watu hovyo kwa kuwateka mitaani.

- Magaidi mengi huwa hayana sare,hata yale ya kule Somalia yako hivyo hivyo.

Tabia za gaidi umeshaambiwa na mleta mada ni kuua watu hovyo bila kujali uraia wao, magaidi ni sawa na wendawazimu wenye silaha za moto, hawatumii akili zao kwenye kutenda uhalifu wao, narudia tena; afadhali ya hao IDF huua pale ambapo wameshatoa ultimatum huku wahanga wakiwa tayari na taarifa.

Siioni double standard yoyote hapo.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Nimewaza tu, eti Mandela naye alikuwa Gaidi na wale ANC, hata wale wamakonde wa msumbiji waliitwa Magaidi.

Talebani ni magaidi lakini USA kaondoka kawaachia nchi Magaidi.

Njia ileile anayoitumia Hamas ndio ileile anayoitumia Israel lakini tunamlaani Hamas na kumuona Israel ni mwema, Israel na Palestina zote zimeshakuwa battle ground na lolote hutokea wakati wowote tena tukumbuke mwenye nguvu na mamlaka anapigana na mnyonge asiye nachochote.

Wote tunauchungu kijana wetu Mtanzania mwenzetu ameuwawa, lakini tuangalie intention ya Hamas kuingia Israel ilikuwa ni nini? kuja kumuua huyu kijana na kuondoka? Hapana, bali dhamira ilikuwa kuua na kuteka kila ajaye mbele yao, ndio maana haikuua na kumteka Mtanzania tu bali watu wa mataifa mbalimbali.

Kwanini tunailaani Hamas na si Israeli inayotumia mbinu zilezile za Hamas kutimiza dhamira yake?..,, Ugomvi wa hawa watu wawili ni ardhi na imani, Palestina akidai pale ni kwao na Israel akidai pale ni kwao, Ushahidi wa Israeli ni Bible na ushahidi wa Palestina ni uwepo wao pale na dunia imeshindwa kuprove zaidi ya kumtaka mmoja awe mnyonge na kukubaliana huku yeye akiamini si sawa..

tutafakari sana kabla ya kuandika.
 
Kanuni kuu ya gaidi ni kuua yeyote. Hivyo ujue kuwa gaidi akitaka kuua tajiri, halafu maskini nao wakawepo hapo hapo, na maskini nao watauawa pamoja na huyo tajiri. Ndiyo maana yale magaidi ya September 11 kule US, hayakuuliza wala kuchunguza ndani ya zile ndege kulikuwa na wageni wangapi wala kwenye yale majengo kama kulikuwa na wageni au waislam.

Magaidi ya Hamas, hayajawaua watanzania, Waafrika Kusini, Wamalawi, Wamarekani, Waingereza na wengine wote kwa bahati mbaya. Wamefanya hivyo makusudi, na kwa kujua kabisa kuwa yanawaua watu wa Mataifa mbalimbali. Yaliwaua waafrika huku yakichukua video kwa lengo la kuhakikisha video hizo zinafika kwa Waafrika wenzao ili waogope kwenda Israel, na Israel ikose wafanyakazi wa mashambani.

Magaidi yaliyoshambulia ubalozi wa Kenya pale Nairobi, hayakuuliza humo ndanii kuna waislam wangapi au wakristo wangapi. Yaliua kila ambaye bomu liliweza kumfikia.

Magaidi ya Hamas yamewahi kuwaua wapalestina wenzao kwa madai kwa nini wanafanya mazungumzo na Wayahudi.

Magaidi ya Hizbollah yalimwua Waziri mkuu wao Rafiq Hariri kwa madai kuwa kwa nini alikuwa anawashirikisha wakristo wachache kwenye Serikali yake.

Magaidi ya Hamas, sasa yamefikia kutoa tamko kuwa yamewaua na kuwateka watu wa mataifa mbalimbali Duniani, siyo kwa bahati mbaya, bali kwa kukusudia, ili kuweka tishio kuwa ukienda Israel hupo salama. Yaani watu wote waogope kwenda Israel.

Na ndicho magaidi ya Houthi ya kule Yemen yanachofanya pia. Yanaziteka meli zinazopita kwenye ghuba ya Yemen. Lengo ni kuyafanya makampuni ya meli yaogope kupitisha meli zao eneo hilo; na kama meli hazitapita hapo, basi Israel ikose mizigo.

Ni punguani pekee anayeweza kuunga mkono ugaidi wa Hamas. Haya magaidi yanaweza kuondoa hata uhai wake yeye anayeuyaunga mkono. Chukulia unasafiri, umepanda ndege, ndani ya ndege kuna mtu ambaye haya magaidi yanamtafuta. Yakiamua kuilipua hiyo ndege, haya magaidi hayafikirii kabisa juu ya uhai wa wale abiria wengine nje ya yule wanayemtaka. Yatawaua ninyi nyote pamoja.

Urafiki qetu na mamlaka ya Palestina, haujasaidia chochote kuzuia magaidi haya yasiwaue vijana wetu. Huo ni ujumbe tosha kuwa gaidi hana rafiki, na kwamba tumekuwa wajinga kufanya urafiki na jamii hizi za magaidi.

Magaidi ya Hamas yametenda unyama wa kila aina siku ile ya tarehe 7 Octoba kule Israel. Yaliua bila ubaguzi. Na kuna uthibitisho yaliwabaka wasichama wa Israel maeneo ya mashambani, kisha kuwakata shingo. Na sasa yanajivunia kutekeleza unyama huu.

Dunia isipoungana kuyaangamiza haya magaidi ya Hamas, Hizbollah na mengine yaliyojazana hapo Mashariki ya Kati, kuna siku Dunia itajuta.

Tuombee kampeni ya Israel ya kuyaangamiza haya magaidi, ifanikiwe. La sivyo, Dunia nzima siyo salama. Angalia yalivyotusumbua kule Kibiti na Mkurunga. Fikiria huko jimbo la Cabo Delgado Msumbiji, Somalia, Nigeria, Mali, na maeneo mengine mengi.

Haya magaidi yakipata ushindi ja yakizidi kujijenga, itafika mahali yatakuwa yanashambulia nchi yoyote au kiongozi yeyote kama hayaungi mkono.
Hata mauaji yanayoendelea kule Gaza ni UGAIDI
 
Nimewaza tu, eti Mandela naye alikuwa Gaidi na wale ANC, hata wale wamakonde wa msumbiji waliitwa Magaidi.

Talebani ni magaidi lakini USA kaondoka kawaachia nchi Magaidi.

Njia ileile anayoitumia Hamas ndio ileile anayoitumia Israel lakini tunamlaani Hamas na kumuona Israel ni mwema, Israel na Palestina zote zimeshakuwa battle ground na lolote hutokea wakati wowote tena tukumbuke mwenye nguvu na mamlaka anapigana na mnyonge asiye nachochote.

Wote tunauchungu kijana wetu Mtanzania mwenzetu ameuwawa, lakini tuangalie intention ya Hamas kuingia Israel ilikuwa ni nini? kuja kumuua huyu kijana na kuondoka? Hapana, bali dhamira ilikuwa kuua na kuteka kila ajaye mbele yao, ndio maana haikuua na kumteka Mtanzania tu bali watu wa mataifa mbalimbali.

Kwanini tunailaani Hamas na si Israeli inayotumia mbinu zilezile za Hamas kutimiza dhamira yake?..,, Ugomvi wa hawa watu wawili ni ardhi na imani, Palestina akidai pale ni kwao na Israel akidai pale ni kwao, Ushahidi wa Israeli ni Bible na ushahidi wa Palestina ni uwepo wao pale na dunia imeshindwa kuprove zaidi ya kumtaka mmoja awe mnyonge na kukubaliana huku yeye akiamini si sawa..

tutafakari sana kabla ya kuandika.
- USA hakuwaachia nchi magaidi, alitoa mafunzo ya kijeshi kwa jeshi la Afghanistan kwa karibia miaka kumi, ajabu wale jamaa bado wakashindwa kujilinda, ndipo USA akaona ujinga huu, akaondoka.

- Sio kweli unavyosema njia anayotumia Hamas ndio hiyo hiyo anayotumia Israel, ni wapi jeshi la Israel limewateka na kuwaua raia wa nchi zisizohusika na ile vita?

- Hamas kuwa mnyonge hakuhalalishi kwao kuua raia wasio na hatia kwa kuwachinja, na wengine kuwapiga risasi individually huku wakiwarekodi kwa video, wale ni wahuni na wendawazimu walioamua kuhamishia stress za vita yaoa na Israel kwa wasiohusika.

- Hiyo intention ya Hamas uliyoandika hapo ndio umethibitisha mwenyewe hao Hamas walivyo wapuuzi, kama wamefanikiwa kuingia Israel, kwanini wasi target maeneo waliyopo/kumilikiwa na waisrael, badala yake wanageuza vita kama mchezo wa kamari?

- Tunawalaani Hamas kwasababu ni wahuni wasiotoa ultimatum ili kuanza mashambulizi yao, badala yake wamejigeuza mashetani watoa roho zisizo na hatia kwa kuzichambua individually na kuwapiga risasi huku wakishangilia, pure lunatics.

Jitahidi utafakari sana kabla ya kuandika.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Afadhali Israel hutoa ultimatum kwa raia kuondoka maeneo watakayoshambulia, lakini sio kama hao magaidi wanao select watu individually, na kuwapiga risasi huku wakichekelea.

Sijui kwanini unalazimisha IDF wawekwe kwenye kundi moja na hao magaidi, lile ni jeshi kamili linalotambulika kote ulimwenguni, lenye mafunzo ndio maana halina muda wa kuvizia raia mitaani, wakati Hamas ni kundi la wahuni wasio hata na sare, wanaoua watu hovyo kwa kuwateka mitaani.

- Magaidi mengi huwa hayana sare,hata yale ya kule Somalia yako hivyo hivyo.

Tabia za gaidi umeshaambiwa na mleta mada ni kuua watu hovyo bila kujali uraia wao, magaidi ni sawa na wendawazimu wenye silaha za moto, hawatumii akili zao kwenye kutenda uhalifu wao, narudia tena; afadhali ya hao IDF huua pale ambapo wameshatoa ultimatum huku wahanga wakiwa tayari na taarifa.

Siioni double standard yoyote hapo.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

..Magaidi wa hapa Tz wa genge la " watu wasiojulikana " nao wapigwe vita.
 
Back
Top Bottom