Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,722
- 218,276
Mwamba wa siasa za eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ya Nchini Tanzania, Freeman Mbowe, atahutubia Dunia kwenye kilele cha siku ya Wanawake Duniani katika maadhimisho yatakayofanyika Dodoma Nchini Tanzania
Mbowe ambaye Hotuba zake mara zote hutoa Mwongozo na Dira ya Taifa Nchini Tanzania , haijulikani katika hafla hii ya kidunia atatoa Mwongozo gani kwa viongozi wa Dunia.
Usiondoke Jf kwa habari kamili.