Ladslaus Modest
JF-Expert Member
- Jun 27, 2008
- 635
- 20
Mchungaji kesha chukia, utachukia sana mwaka huu.
Nambari wani ni CCM.
Mchungaji kesha chukia, utachukia sana mwaka huu.
Mpendwa,
Mh. J.M. Kikwete bado ni chaguo la Mungu (Warumi 12:1-3)
By the way, sikushangai sana maana baadhi ya vyama vya siasa vya upinzani hapa Tanzania hawana sera zaidi ya Matusi na fujo.
Ukiona chama tawala kinafuata/kinaiga kitu kilichoanzishwa na chama cha upinzani, kwa hakika huu ndio mwanzo wa anguko la chama tawala. Ni ushahidi wa wazi wa kukosa mwelekeo au dira kwa CCM.
Wasomi walioko huko sisiemu hamkisaidii chama chenu? Au mpo huko kuganga njaa zenu tuu?