Ladslaus Modest
JF-Expert Member
- Jun 27, 2008
- 635
- 20
Hii ya Helikopta nadhani CHADEMA walishaelezea fedha za matumizi yake.
Mimi nilikuwa nazungumzia Operesheni Sangara. Unakumbuka hata enzi za Mwalimu Nyerere alipokuwa anapigania uhuru alitegemea michango na misaada ya raia. Hakulala hotelini alipokuwa anatembelea Watanganyika. Viongozi wa CHADEMA naona wameamua kuiga ukurasa huo.
Mkuu Jasusi,
Kumbuka kuwa Mwalimu Nyerere hadi Mungu alipomuita mbele ya haki alikuwa mwana CCM. Hivyo kumwiga Nyerere ni sawa na kuiiga CCM.
Ila karibuni mjifunze.