Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,462
- 4,365
nadhani tuanakoelekea CCM kitaitwa chama cha Waislamu. Hivi CHADEMA ina asilimia ngapi ya Waislamu katika safu ya viongozi wao wa kitaifa na CCM ina asilimia ngapi ya Wakristo? Jamani mambo ya kumtetea mtu hata anapokosea eti kwa kuwa ni dini yako ni mbegu mbaya sana kwa taifa letu. Ni aibu kabisa dini kujiingiza kwenye mambo ya kisiasa. Believe me endapo Mramba, Yona, Chenge, Mgonja wangekuwa ni Waislam, tusingekuwa hapa tulipo. Ni aibu kabisa. Nimesikiliza bbc ya leo asubuhi, ni aibu kwa kweli.