CCM wameamua kufunika hiyo op Sangara kwa kuwatuma Tambwe na Akwilombe. Wamefanya mkutano eneo la bus stop mjini Musoma jioni hii. Katika hali ya kushangaza, katibu wa chama hicho mkoa amesema kesho kutakuwa na msako nyumba hadi nyumba kubaini watu wa Tarime warudishwe kwao. Hiyo ni baada ya zomea zomea. Huyu bwana haamini kuwa wakazi wa Musoma wanaweza kuzomea.