Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
WanaJF;
Naomba tujadili hii kitu inayoitwa Operation Sangara. Hata kama imeanza but i think some of comments can be implemented.
Ijapokuwa sijui content ya hii operation but all in all ni kuamsha wananchi ili wadali mabadiliko yenye tija kwa kila raia. Kwa watakaopenda watajiunga na CHADEMA na wengine watadai mabadiliko either CHADEMA kwenye, JAMIIFORUMS, CCM, DP, CUF n.k. Yaani kuimarisha.
Kwa kuwa mimi ni mshabiki wa CHADEMA na pia mkazi wa kanda ya ziwa, napenda kuungana na CHADEMA kwenye hii operation kwa kuwa naamini ina maslahi kwa taifa langu.
Kwa kuwa hapa JF tupo watu tofauti na tunaamini kuwa vyama vyetu havijakuwa tokea kwenye shina na kwa kuwa sijui kwa undani wa hii project na kwa kuwa wananchi sasa wanataka mabadiliko yaani wamekata tamaa, na kwa kuwa kuna watu wanaipenda sana hii nchi hata kama wapo ccm kama FMES. Sasa naomba tutoe mapendekezo yetu jinsi ambavyo hii operation ingefanyika na ikaleta tija.
Nafikiri mikutano ya hadhara kwenye miji mikuu ya mikoa haifai. Ila ikiwezekana wanaCHADEMA nendeni kama mwenge yaani kijiji hata kijiji na ikiwezekana tembeeni na kapu kuomba muwezeshwe ili ujumbe ufike kwa kila mtu.
Chocheeni uhasama kwa watu against mabaya yote yafanywayo na CCM na govt yake. Tumieni mifano ya sehemu husika.
Mwiko: usizungumzie ufisad ya RA na timu yake kwa wananchi wa kawaida hasa kule alikopita na kumwaga pesa mana bado wengi hawajui impact yake.
Makongamano ya ndani na watu wa rika mbalimbali ni muhimu ili kujau shida na matamanio ya watu.
Nitafikiria tena, nikipata nitaweka hapa,
Asanteni
Naomba tujadili hii kitu inayoitwa Operation Sangara. Hata kama imeanza but i think some of comments can be implemented.
Ijapokuwa sijui content ya hii operation but all in all ni kuamsha wananchi ili wadali mabadiliko yenye tija kwa kila raia. Kwa watakaopenda watajiunga na CHADEMA na wengine watadai mabadiliko either CHADEMA kwenye, JAMIIFORUMS, CCM, DP, CUF n.k. Yaani kuimarisha.
Kwa kuwa mimi ni mshabiki wa CHADEMA na pia mkazi wa kanda ya ziwa, napenda kuungana na CHADEMA kwenye hii operation kwa kuwa naamini ina maslahi kwa taifa langu.
Kwa kuwa hapa JF tupo watu tofauti na tunaamini kuwa vyama vyetu havijakuwa tokea kwenye shina na kwa kuwa sijui kwa undani wa hii project na kwa kuwa wananchi sasa wanataka mabadiliko yaani wamekata tamaa, na kwa kuwa kuna watu wanaipenda sana hii nchi hata kama wapo ccm kama FMES. Sasa naomba tutoe mapendekezo yetu jinsi ambavyo hii operation ingefanyika na ikaleta tija.
Nafikiri mikutano ya hadhara kwenye miji mikuu ya mikoa haifai. Ila ikiwezekana wanaCHADEMA nendeni kama mwenge yaani kijiji hata kijiji na ikiwezekana tembeeni na kapu kuomba muwezeshwe ili ujumbe ufike kwa kila mtu.
Chocheeni uhasama kwa watu against mabaya yote yafanywayo na CCM na govt yake. Tumieni mifano ya sehemu husika.
Mwiko: usizungumzie ufisad ya RA na timu yake kwa wananchi wa kawaida hasa kule alikopita na kumwaga pesa mana bado wengi hawajui impact yake.
Makongamano ya ndani na watu wa rika mbalimbali ni muhimu ili kujau shida na matamanio ya watu.
Nitafikiria tena, nikipata nitaweka hapa,
Asanteni