Tume haijawahi kulazimisha uwepo wa mdaharo huru. Siasa za bongo zina ujinga mtupu ndani yake. 2015 ni Chadema waliokimbia mdaharo coz walijua mgombea wao hawezi kujieleza hata kwa dakika 10 tu, this time ndio mnajifanya mko moto na midaharo.
Kila chama kifanye kampeni kwa style yake
Mwaka huu mgombea wenu yuko tayari pia? anaweza kumudu mpambano? Mdaharo ni platfom muhimu sana na hutumika duniani kote kupima uwezo kufikiri wa wagombea.
 
Tume haijawahi kulazimisha uwepo wa mdaharo huru. Siasa za bongo zina ujinga mtupu ndani yake. 2015 ni Chadema waliokimbia mdaharo coz walijua mgombea wao hawezi kujieleza hata kwa dakika 10 tu, this time ndio mnajifanya mko moto na midaharo.
Kila chama kifanye kampeni kwa style yake
Unaogopa nini?
 
2010 upinzani walitaka mdahalo,2015 Ukawa (CHADEMA,NCCR,CUF) na CCM walikukataa mdahalo,ACT walikubali (sijui kwa nini?),2020 wanataka tena mdahalo.Siasa za Tz hazina tofauti na komedi......walicho kikataa juzi wanakikubali leo,sasa unajiuliza kwa nini juzi walikataa.

Wagombea wa ccm ndio huogopa midahalo, hata hiyo 2015 mgombea wa ukawa alikuwa mwanaccm.
 
Wewe ndiyo comedian, kwani hujui mambo hubadirika?
Sasa ikiwa mnakosa misamamo ktk mambo madogo kama haya,je mambo makubwa ya nchi utayaweza.

Ukubwa wowote unaanza kupimwa na vitu vidogo vidogo.

Ila si shangai moja ya sifa ya mwanasiasa ni kujitoa ufahamu kwa kukataa alichoongea/kufanya jana,mabingwa wa kuzipinga kauli zao.Siasa 2015 zilinifundisha mengi moja wapo ni kuwa elewa wanasiasa walivyo kama sigara kali.
 
Kwanini kusiwepo na mdahalo wa saa 8 kwa wagombea wote wa kiti cha uraisi maana najua JPM anavitu vya kuongelea ndani ya miaka yake mitano kama Raisi, na wengine watasema wanataka kuchaguliwa ili iweje?.
 
2010 upinzani walitaka mdahalo,2015 Ukawa (CHADEMA,NCCR,CUF) na CCM walikukataa mdahalo,ACT walikubali (sijui kwa nini?),2020 wanataka tena mdahalo.Siasa za Tz hazina tofauti na komedi......walicho kikataa juzi wanakikubali leo,sasa unajiuliza kwa nini juzi walikataa.
 
Nashauri Rais Magufuli ndiye awe wa kwanza kuomba debate na Lissu. Mjadala huo ufanyike Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Hii itakuwa nafasi nzuri kueleza mafanikio yako, mipango yako na kulinganisha.

Lakini Siasa za wimbo wa Taifa. Kununua kuku, kununua mahindi na kusalimia kwa makabila tofauti haitoshi. Watanzania wamemsikiliza Lissu akiwaeleza watu Urais wa kifalme kwa umakini hata CCM walikuwa hawajui mengine.

Sasa Rais Magufuli uwe jasiri usiogope majadiliano na wewe ni mbishi mzuri tu. Huwezi kutegemea unyanyasaji pekee kwenye historia yako muhula wa mwisho huu. Una PhD na itakuwa kwa kiswahili uoga wa nini?

Lissu sio Lowassa ana nyota kweli kweli usije kituachia historia yako ikawa ni unyanyasaji pekee
 
Back
Top Bottom