Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,081
- Thread starter
- #41
sheria ipo wazi ukibadili dini unauliwaEbu tuwekee mfano mmoja wapo wa mtu aliye katwa kichwa kwa sababu ya kubadili dini nchini Saudia arabia.
Hivyo, waarabu wakitaka kubadili dini wanaondoka Saudi Arabia kwenda nchi zinazoheshimu uhuru wa kiimani, nchi za ulaya utawakuta waarabu waliobadili dini.