Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
MUHIMU: Kama kuna nchi katika hii orodha haiui wanaobadili dini naombeni tuelimishane nifanye marekebisho
Kosa la kuhama dini katika nchi hizi linaitwa APOSTASY, Hukumu ni KIFO
Wanaobadili dini wengi wao huchukua maamuzi hayo pindi wakiwa watu wazima wenye utimamu baada ya kuzichambua dini zingine, dini zao za mwanzoni huziona walichaguliwa na wazazi / walezi wao wakiwa hawajitambui.
Ila sio kila sehem uhuru huu upo, katika nchi hizi ukiwa muislam ni kosa kubadili dini, ukijaribu UTAUWAWA !!
Kwa sheria hizi inakuwa ngumu kubadili dini maana ukibadili dini hadharani hutaweza hata kuitumikia, Hivyo mbinu rahisi huwa ni kuhama nchi au kuabudu kwa siri, Mfano ukienda nchi kama za Ulaya utawakuta waarabu wakristo waliouhama uislam
Ni ajira rasmi na kuna watu maalum wanalipwa na serikali kutoa hukumu kwa wanaobadili dini
Kosa la kuhama dini katika nchi hizi linaitwa APOSTASY, Hukumu ni KIFO
Wanaobadili dini wengi wao huchukua maamuzi hayo pindi wakiwa watu wazima wenye utimamu baada ya kuzichambua dini zingine, dini zao za mwanzoni huziona walichaguliwa na wazazi / walezi wao wakiwa hawajitambui.
Ila sio kila sehem uhuru huu upo, katika nchi hizi ukiwa muislam ni kosa kubadili dini, ukijaribu UTAUWAWA !!
- Afghanistan
- Saudi Arabia
- Brunei / Darussalam
- Iran
- Malaysia
- Maldives
- Mauritania
- Qatar
- United Arab Emirates
- Yemen.
Kwa sheria hizi inakuwa ngumu kubadili dini maana ukibadili dini hadharani hutaweza hata kuitumikia, Hivyo mbinu rahisi huwa ni kuhama nchi au kuabudu kwa siri, Mfano ukienda nchi kama za Ulaya utawakuta waarabu wakristo waliouhama uislam
Ni ajira rasmi na kuna watu maalum wanalipwa na serikali kutoa hukumu kwa wanaobadili dini