Very interesting!
UYou deserve the same fate!Kile kizee sijuwi kama hakikuwa kichawi...he should be burned to hell fire.
mkuu wanajitahidi kututoa kwenye kujadili yanayojiri kwenye kampeni hawa.I thought it was a new story. January 1999?
Exactly Msanii, wacha wabwabwaje wee, sie tunasonga mbele. Mwaka huu hakuna mtu wa kututoa kwenye track mpaka kieleweke. Tujihadhari nao maana wakishindwa kimaneno kututoa kwenye track,wanaweza kuja na suala la fujomkuu wanajitahidi kututoa kwenye kujadili yanayojiri kwenye kampeni hawa.
Nyerere did all he had to for the love of AFRICA na watu wake
Kwa kila mwanasiasa wa Tanzania anaetaka kuungwa mkono na wananchi wengi amekuwa akijitahidi kujionesha kuwa ni mfuasi wa Rais wa kwanza wa Tzania Mwl Nyerere. Anasifiwa kwa kila kitu lakini kwangu mimi simkubali kabisa Mwl Nyerere. Siamini kama alikuwa na kipaji cha uongozi. Alikuwa ni dikteta. Alifinya uhuru wa habari, aliwafunga wapinzani wake, alileta umasikini mkubwa kwa taifa na wananchi wa Tzania. Si kwamba alikuwa anapendwa bali alikuwa anaongoza wananchi wengi wasiojua dunia inakwendaje"wajinga".
Huyo ndio Nyerere. Kwa miwani yangu namuona kuwa ana mabaya mengi kuliko mazuri kama tunavyolazimishwa kuamini. Kutojilimbikizia mali au kutoa huduma za jamii bure si kigezo cha kutokuwa dikteta maana hata Pinnochet, Hitler na Mussolin walikuwa wanatoa huduma za jamii bora na bure kabisa kwa watu wao.
Kwa kila mwanasiasa wa Tanzania anaetaka kuungwa mkono na wananchi wengi amekuwa akijitahidi kujionesha kuwa ni mfuasi wa Rais wa kwanza wa Tzania Mwl Nyerere. Anasifiwa kwa kila kitu lakini kwangu mimi simkubali kabisa Mwl Nyerere. Siamini kama alikuwa na kipaji cha uongozi. Alikuwa ni dikteta. Alifinya uhuru wa habari, aliwafunga wapinzani wake, alileta umasikini mkubwa kwa taifa na wananchi wa Tzania. Si kwamba alikuwa anapendwa bali alikuwa anaongoza wananchi wengi wasiojua dunia inakwendaje"wajinga".
Huyo ndio Nyerere. Kwa miwani yangu namuona kuwa ana mabaya mengi kuliko mazuri kama tunavyolazimishwa kuamini. Kutojilimbikizia mali au kutoa huduma za jamii bure si kigezo cha kutokuwa dikteta maana hata Pinnochet, Hitler na Mussolin walikuwa wanatoa huduma za jamii bora na bure kabisa kwa watu wao.
Unaonyesha dhahiri umetumwa. Nyerere ndie aliesababisha madudu kama haya ya Dowans? Mmetoa ahadi kede kede zisizotekelezeka, sasa mnamtafuta mchawi. Wacha kutupotezea, tunataka suluhisho la matatizo yaliyopo sasa, umeme, elimu kushuka viwangob uchumi mbovu n.k. Mtaendelea kulia Nyerere kaleta matatizo mpaka lini? Robo karne imekwisha tangu Nyerere aondoke madarakani. Time to deliver, wacha porojo.
Umedandia treni kwa mbele. Kilichoongelewa hapa ni kuwa Nyerere hana sifa anazopewa. Ni dikteta na wala si mwanademokrasia
Unaonyesha dhahiri umetumwa. Nyerere ndie aliesababisha madudu kama haya ya Dowans? Mmetoa ahadi kede kede zisizotekelezeka, sasa mnamtafuta mchawi. Wacha kutupotezea, tunataka suluhisho la matatizo yaliyopo sasa, umeme, elimu kushuka viwangob uchumi mbovu n.k. Mtaendelea kulia Nyerere kaleta matatizo mpaka lini? Robo karne imekwisha tangu Nyerere aondoke madarakani. Time to deliver, wacha porojo.
Nakubaliana na wewe, Nyerere ameongoza wajinga na akaendelea kututia ujinga, kwani alihakikisha wa-Tz hawajui chochote kinachoendelea duniani, hebu angalia nchi gani duniani inapata uhuru baada ya miaka zaidi 30 haina TV yake ya taifa!, hata kinchi kidogo kama Zanzibar kimekuwa na TZ tangu 1972, hii Nyerere aliifanya kwa makusudi kuwanyima watanganyika elimu ili waendelee kumuona mtukufu asiyekosea. Wenye kutafakari tunajua mabaya ya Nyerere.