Weewe ndio hujui USA walikuwa na mpango gani behind the scene?
Nyerere aliwapinga kwa nguvu zote wala hakutaka kudharauliwa , na wao walimjua ndio maana walimchukia sana mwanzo ingawa baaday walikuaj kumkubali.
Kiindi kile kulikwa na COLD WAR ambapo ilikuwa either uwe upande wao au upande wa USSSR/CHINA
Nyerere pamoja na Kahunda baada ya kuomba wajengewe TAZARA, wale wazungu alikataa, Ndipo nYEREE alipokwenda China kuongea na MAO, bahati nzuriChina walikubali
Tokea hapo Taz ikawa katka Ujamaa na kuukataa Ubepali, maana yake mojakwa moja walikuwa ni maadui wa USA.
Acha kuwa mtumwa wa fikra kwa wazungu
ni wabaya sana hao watu wala usiwaone wanapojifanya wanatoa misaaada kumbe ni wanafiki tu
Nyerere alikuwa ni mtu anayesimamia msimamo wake, hakutetereka hata siku moja.