Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

kwa kweli chuo kikuu cha waislamu morogoro ,ni challange kwa waislamu na wasiokua waislamu kukichangia,kupewa majengo na ardhi ni hatua kubwa sana ,kuna vyuo vingi vimeshindwa kwa sababu ya kukosa facilities hapa nadhani watu wa bukoba wananielewa ..
hata hivyo kuna malalamiko kama ,jina la chuo linawakwaza watu kuingia pale ,hata waislamu wenye uwezo hawapendi kuwapeleka watoto wao pale au hata shule za misimamo mikale[ie al haramain],nafikiri MDF wangefikiria hili kwani hata ukikiita MOROGORO UNIVERSITY,bado wamiliki watabaki kuwa waislamu,na hii itawapa fursa wanafunzi wanaomaliza pale kutonyimwa ajira kwa sababu tu ya kuonekana wanatoka kwenye chou kinachoweza kufundisha propaganda ets waajiri wengi wa nchi za magharibi au wabaguzi wanaogopa sana neno ISLAMIC.pia hii ndio inafanya pia wakiristo wengi wanapofungua vyuo vya umma huviita majina ya kawaida kabisa sio CHRISTIAN UNIVERSITY,angalia IRINGA UNIVERSITY.,MAKUMIRA,,TUMAINI,,ST AUGUSTINO,,na huwa naangalia vyuo hivi vinachukua dini zote ,juzi pale st augustino njegezi wanachuo waislamu wamechagua viongozi wao ,they are free to religion na wana sehemu saafi ya kuswalia.
pale morogoro hawajaweza kuwavutia sana wakiristo kujiunga ,,,...


Mimi nimetoa mchango wangu nikitoa mifano kuongezea hayo hapo juu. Na mifano niliyotoa ni ya kweli. Na hata huku niliko watu wengi (wengi si waislamu) wakisikia kitu ni cha kiislamu wanashituka na kukichukulia tahadhari kubwa. Wiki iliyopita kulikuwa na mjadala kwenye TV jumapili mchana unaouliza "ni sawa kutowaamini waislamu?". Na watu walijadili na kutoa mawazo yao na ushauri mbalimbali. Nilichochangia mimi katika mjadala huu tunaoendelea nao hapa kinapaswa kichukuliwe kumaanisha kwamba chuo kikuu cha kiislamu kina wajibu wa kutumia njia za kisomi kuondoa dhana kama hizo zinazofanana na hiyo mifano niliyoitoa. Na ni ya ukweli, wala sikutunga hata mmoja. Nataka nikuhakikishie kwamba wapo waislamu wengi tu ambao hawana imani na taasisi zao wenyewe. Sasa jukumu la kurejesha imani hiyo ni la waislamu wenyewe. Na mtu yeyote mwenye nia njema (tukiwamo sisi ambao si waislamu) anaweza akasaidia kwa kutamka mawazo yake kuhusu pale anapoona tatizo lilipo, ili kuwaunga mkono wanaotafuta suluhisho. Na taasisi zote zikiwa sawa katika ubora na kuaminiwa, tunafaidika sote watanzania kwani tunapata choices nyingi zaidi. Na ninaamini ndio maana Mkapa akaamua kuwapa MDF hayo majengo yaliyokuwa mali ya umma, kwa imani kwamba yataufaidisha umma mzima wa watanzania na si waislamu peke yao. Changamoto zinazotolewa na wadau mbalimbali (kama niliyotoa mimi na wengine) ndizo zinazotakiwa zifanyiwe kazi ili kweli sote tufaidike. Tunatoa changamoto. Ndicho nilichofanya.
 
Kithuku changamoto yako ni kufananisha Digrii ya MUM na kutokuwa na digrii? if thats the case keep it 2 urself nowbody need it.

Kwa akili yako ili kuondoa dhana mbaya juu ya uislam ni pamoja na kufuta jina la kiislam kwenye chuo kikuu? then baada ya hapo nini kifuate..

Ikiwa jina la Islam linawatia kichefu chefu Im sory u will have to live with it... kile ni chuo kikuu cha kiislam na kitabaki kuwa vivyo hivyo whether u like it or not hizo hoja za kunyimwa ajira hazina mashiko hao waislam waliosoma vyuo vya secular wananyimwa ajira seuze hao wa MUM.

Nyie endeleeni kula matunda ya baba wa Taifa, hilo kwa waislamu wala si geni, no wonder mnapata jeuri ya kudai kuwa hamuwezi kupata ajira ya kwa sababu ya jina la chuo kuwa na neno islam. Ujumbe hapo upo loud and clear waaajiri ndio ninyi sisi ni waajiriwa na tutaendelea kuwa hivyo... huu ndio umoja wa taifa aliotuachia Mwalimu!
 
Phillemon unayosema ya kweli. Mbunge mmoja wa jimbo jirani na kwetu ambaye ni mwislamu na ni profesa (siku hizi nasikia wakimwita "alhaji profesa"),

sasa mbona unaona taabu KUMTAJA wewe mtaje au kuna dhambi kumtaja kwa jina? Huoni kama huko ni kupoteza Mwelekeo wa Mjadala?

Kwani kuna sehemu gani imeandikwa eti ni DHAMBI mtu kuitwa Alhaji Profesa? hiyo wewe inakuuma nini? na inaumuhimu gani kwako au katika mjaladala huuu?

Wewe ungemtaja MBUNGE FULANI..that simple sasa umeanza kujibu hoja kwa connotation za kikejeli unategemea nanai atakuchulia serious?


aliposikia habari za awali za chuo hicho (kabla ya Mkapa kukizindua), alikuwa anawakejeli wenzake wanaounga mkono wazo hilo.


Aliwakejeli wenzake ambao ni akina nani?

Lini?

ushahidi uko wapi?

Niliwahi kumsikia akimwambia mwenzie mmoja "na wewe na elimu yako unashabikia university ya wajahidina? nitashangaa sana nikiona unapeleka mwanao huko!". Kumbe si peke yangu niliyemsikia, ijumaa iliyofuata maneno yake yakakemewa vikali katika tahariri ya gazeti la Annuur, bila kumtaja jina.



Bado tuko kule kule kwenye maswali ya hapo awali.

Ajabu huyu tu asiye na na JINA anaendelea kumuongelea na sasa hivi umejitahidi kulitaja gazeti la Annur lakini naona bado una matatizo katika kuthibitisha ushahidi wako at least ungeweka:

TOLEO LIPI NA ANNUR:

LA LINI?

NA KICHWA CHA HIYO TAHARIRI KILIKUWA KINASEMAJE?


Hiki ni chuo kikuu cha waislamu au cha kiislamu? Swali hili bado gumu kulijibu practically. Wengi wanaona kama ni cha waislamu na pa ni cha kiislamu. Uongozi wote ni wa waislamu na ni wa kiislamu. Wanafunzi karibu wote ni waislamu. Wapo wachache wenye majina ya kikristo na yasiyo ya kidini.


Unaonekana ni mtu makini sana katika kutengeneza hoja lakini vile vile haiondoi ukweli kuwa unaonekana kuwa hoja zako hazipangiki kwani umeshindwa kufanya simple research kujua:

CHUO KIKO CHINI YA NANI?

UONGOZI WAKE NI AKINA NANI?

JE CHUO NI CHA KIISLAM AU CHA WAISLAM

unaposema wengi wanaona ni cha kiislam na cha waislam , je kwa research gani iliyofanyia au kura ipi ya maoni au hata ushahidi wa KIIMANDISHI

mwisho unasema wapo "wanafunzi wachache wakikristo" sasa kama umeweza kujua hilo umeshindwa vipi kupata majibu ya maswali hayo hapo juu?

Unaposema swali Gumu kulijibu Politically unamaana gani tafadhali FAFANUA hilo



Majuzi nilikuwa Dar nikasikia jinsi hao wachache walivyojiunga huko. Ilikuwa mjadala miongoni mwa waliomaliza form six, na walikuwa wanajadili swali hili: ati "kipi bora kati ya kutokwenda chuo kikuu kabisa na kwenda chuo kikuu cha waislamu Morogoro?" Wapo waliodai kuwa kuliko kukosa kabisa cheti cha degree, bora kwenda huko MUM. Wengine wakasema wako radhi waanze na diploma mahali pengine kuliko kwenda huko MUM. Sikubahatika kujua dini zao. Mtu mmoja aliyekuwa anafuatilia mazungumzo ya wale vijana akawauliza huko MUM kuna ubaya gani? Wakajibu kwa pamoja "tutaajiriwa wapi, Afghanistan?"




Mwenzetu inaelekea masikio yako yanafanya kazi maradufu...kwani harari zako zinakuwa za "KUSIKIA" ambayo haikatazwi lakini matumizi yake katika kujenga hoja zako yanakuharibia kwani huwezi kujenga hoja based on hearsay.

Vile vile je Mazungumzo hayo yangekuwa yana husu CHUO CHA KIKRISTO kama LOYOLA au ST XAVIER wewe binafsi ungekuwa na maoni gani?


Na mwisho kabisa huwezi kuwakataza watu wasiwe na maoni sasa sioni shida yako wewe iko wapi na hao jamaa kutoa maoni yao



Kwenye prospectus yao (inapatikana kwenye mtandao),


HUREEEEE!!!!!!!!!!!!!!
Kumbe wewe unaweza kufanya utafiti mdogo mdogo kama huuu sasa ulishindwa vipi kutoa majibu niliyokuuliza hapo juu?

ohhh by the way TUNAOMBA LINK ya hiyo PROSPECTUS tafadhali

wanasema ndani ya chuo kuna msikiti (ninavyofahamu yale majengo ya TANESCO hayakuwa na msikiti ndani), lakini watu wa dini nyingine wanashauriwa wafuate ibada nje ya campus.

TUNAOMBA EVIDENCE YA MANENO HAYO HAPO JUU

KAMA UNAYOPICHA TUTASHUKURU ZAIDI.

Je ni wapi wanafunzi wa KIKRISTO ambao so far hujatutajia idadi yao wamelalamika kuhusu KANISA ndani ya chuo cha morogoro...mheshimiwa kwenye karne hii huwezi kuniambia kuwa hakuna aliyesikia malalamiko hivyo nakuomba ufanye utafiti wako na ikiwezekana waulize hao vijana wa kikristo wanaosoma pale wakupe majibu

Lakini mimi niliwahi kwenda Uholanzi nikakuta msikiti ndani ya chuo kikuu cha kikatoliki (kulikuwapo pia na chapel kwa ajili ya wakristu).

Naona sasa tunaelekea UHOLANZI sasa bosi nataka nikufahamishe kuwa si uholanzi tuu bali UK vyuo vyote vina PRAYER ROOM, kwenye CONGRESS NA SENATE kule states kuna PRAYER ROOM

heathrow airport zipo prayer rooms... hata hiyo MISIKITI unayozungumzi ipo pale sasa sijakuelewa hoja yani ni ipi haswa?

Nadhani kuna mambo mengi bado ya kurekebisha ili kiweze kuwa secular kweli na kiweze kuvutia pia wanafunzi wa dini nyingine.
Kwanza kuna sheria gani inawalazimisha wawe secular?

Pili kwani ni lazima kiwavutue wenye dini zingine?

why is it so important kwako watu wenye dini zingine kujiunga na hikio chuo wakati vyuo sasa hivi vimetapakaa kila kona?


Hata hivyo sidhani kwamba kikitangaza rasmi ni cha kidini kutakuwa na ubaya wowote, ni haki yao.

naona unaendelea kujijibu safi sana!
Majengo yale walipewa bure kama taasisi ya kiislamu, kwa hiyo sioni ubaya wakiyatumia kama taasisi ya kiislamu.


ambayo hiyo haihusiani


Na pia nadhani si lazima watu wa dini nyingine wakasome huko, kwani siku hizi kuna choices nyingi.


unaendelea kujijibu....


Na pia si lazima waislamu wakasome kwenye chuo hicho pekee, nao pia wana choices nyingi.


once again...

Ila kama kuna wanaotamani chuo hicho kiwe secular kweli, basi kuna changamoto nyingi kama hizo.

J e watu hao ni pamoja na wewe au ?
 
Sina chuki yoyote dhidi ya mwislamu yoyote wala dhidi ya uislamu. Wala sikushirikiana na profesa huyo kusema hayo. Nilimsikia tu, na wengine pia walimsikia wakamkemea kwenye gazeti. Soma tena posti yangu utaona ndivyo nilivyosema.

Unaweza ukawa huna chuki dhidi ya waislam lakini maelezo yako ya hapo awali yanaonekana yamejaa chuki dhidi ya waislam. Na nilishakuambia kuwezi kujenga hoja kwa kusikia tuu ujue kuwa hii ni JAMBO FORUMS na humu hatuendi hivyo

Mbona hutaki kkumtaja kwa jina? je huoni kama unaharibu credibility ya maelezo yako?


Sina tatizo lolote na umiliki wa hicho chuo. Ukisoma posti yangu yote utaona mwishoni nimesema hakuna ubaya wowote chuo hicho kumilikiwa au kuendeshwa kidini kwa kuwa taasisi inayokimiliki ni ya kidini. Swali langu ni secularism. Je chuo hiki ni secular kweli? Kumbuka nimesema kikiwa cha kidini pia ni sawa. Lakini kikiwa cha kidini na kikajiita secular ni sawa?

Mwanzo ulipoanza kujibu hoja zako ulionyesha wazi kuwa wewe unamatatizo na umiliki wa hicho chuo. Sababu sijui lakini nakumbaliana na KANDA MBILI maelezo yako yamelenga katika CHUKI DHIDI YA WAISLAM.

Chuo kuwa secular au kutokuwa secular wewe kinakuharibia nini? vYUO VYOTE VIKO CHNI YA WIZARA SASA KAMA WIZARA WAMERIDHIKA WEWE SHINDA YAKO NI NINI HASWA NA HILI?

& WHY PICK ON CHUO HIKI CHA WAISLAM CHA MOROGORO WAKATI KUNA VYUO VYA KIKRISTO ZAIDI YA KUMI TANZANIA?


Siyo MUM tu inayojadiliwa linapokuja suala la elimu. Na wala si peke yangu mwenye bahati ya kukutana na watu uliowataja, wengi wanakutana nao na wana uamuzi binafsi wa kuyachambua wayasikiayo na kuwashirikisha wengine kama nilivyofanya mimi hapa.

Yah lakini umesahau kusema kuwa kuwa ni akina nani. na ajabu wewe hiyo bahati ni ya kukutana na watu wanajadili chuo cha kiislam tuuu bas!

Lakini nimetoa reference ya mazungumzo ya wanafunzi hawa kwa sababu nilikuwa nazungumzia MUM kwenye post yangu, kuchangia yaliyokuwa yamesemwa na walionitangulia ku-post. Ingekuwa mjadala unahusu UDSM, Tumaini n.k ningekuwa na ya kusema pia, na bila shaka ningetoa mifano.

Hujatoa REFERENCE YOYOTE ZAIDI YA KUTOA MANENO YA MTAANI AU HEARSAY SASA HUWEZI KUDAI HIYO NI REFERENCE YA KUTOSHA KATIKA KUJENGA HOJA


Na wala sijasema vyuo vikuu vya kikristu vilivyoko Tanzania vina misikiti. Nimetoa kama changamoto kwa watanzania kwa sababu hii forum inasomwa zaidi na watanzania, kujenga utamaduni wa tolerance. Mifano mizuri yafaa kuigwa. Hapo nilikuwa natoa mfano wa university ya kikristu ambayo inaendeshwa ki-secular, hata kufikia kuwa na msikiti ndani yake. Nasi tukisema tunaendesha chuo ki-secular, tuonyeshe kwamba kweli tunamaanisha hivyo. Soma post yangu yote hutaona popote niliposema ati wakristu vyuo vyao ni secular zaidi, na narudia, tungekuwa tunajadili chuo (specific) cha kikristu ningekuwa na ya kusema pia.

MIFANO YAKO ILIKUWA NI MIZURI LAKINI ILIJAA UDINI. NAONA SASA HAPA UNAANZA KUCHOMOA KIAINA TOKA HOJA YAKO YA AWALI KUWA WANAFUNZI WA KIKRISTO WANABAGULIWA MOROGORO BILA KUONYESHA USHAHIDI WOWOTE

SASA KAMA SI KUJENGA FITNA NI NINI HUKO?

Katika yote niliyosema chuki iko wapi? Kama nimesema vibaya, toa ushahidi wa neno hilo baya. Lakini kama nimesema vyema, kwa nini wanishutumu?

CHUKI IPO KWENYE MAELEZO YAKO YA AWALI AMBAYO ULISHINDWA KUYATOLEA UTHIBITISHO WOWOTE ULE

REJEA MAWALI YANGU KWAKO YA HAPO AWALI
 
Hapo la ajabu lipi? Kwani unajua tulikuwa wapi? Nini kinakufanya ufikiri kwamba hapo tulipokuwa waandishi wa habari hawaruhusiwi kuwepo? Au unabisha kwamba habari kama hii haijawahi kuandikwa kwenye tahariri ya gazeti nililotaja? Kwa hiyo kuna kosa gani kusikia jambo ambalo wakati huohuo mhariri wa gazeti alikuwapo, akalisikia na kulikemea kwenye gazeti lake?

HABARI HII NI YA UWONGO NA UZUSHI NDIO MAANA SISI HUMU JAMBO FORUM HATUPENDI KUJADILI MENENO YA KUSIKIA ...NA IPO FORUM YAKE INAITWA UZUSHI NA NYEPESI NYEPESI.


UMEOMBWA JINA LA HUYO MBUNGE HUJATOA

UMELIZWA GAZETI LILIKUWA LA LINI HUJASEMA

TOLEO LA NGAPI HUJASEMA

KICHWA CHA HIYO TAHRIRI KILIKUWA KINASEMAJE HUJASEMA

WAPI WAKRISTO WAMELALAMIKA KUWA HAKUNA KANISA HUJASEMA

PICHA YA MSIKITI NDANI YA CHUO? HUNA

JE CHUO NI SECULAR AU CHA KIDINI HUJUI





Nimekutaka uthibitishe hizo kashfa nilizotoa. Sijaona jibu.


kashafa ziko kwenye thread yako ya kwanza

Kwa uelewa wako, secularism ni nini? Hapa ndipo mahali na hii ndiyo nafasi ya kuelimishana mambo kama hayo.

Ungeanza kutuelewesha wewe uliyeleta hija za secularism

Nakukumbusha kwamba sikuwa nalinganisha wakristu na waislamu. Hiyo ni mada tofauti kabisa.

lakini ulikuwa unaelekea huko...na mifano yako ya vyuo vya kikristo Holland na makanisa yao hiyo nayo hakuwa unalinganisha kitu?

Hiyo ni conclusion yako wewe, sikuyasema mimi. Nimeripoti tu kuhusu mjadala niliosikia. Na hao waliokuwa wakijadili hawakusema kwamba hofu yao ni kiwango kidogo cha elimu kinachotolewa chuoni hapo. Soma tena.

Basi humu ndani hatujadili mamabo ya KUSIKIA. WAMEJUA AJE KUWA KIWANGO CHA ELIMU NI KIDOGO? JE NA WEWE UNAKUBALIANA NAO? AU NDIO KATIKA MAMABO YA KUENDELEZA CHUKI DHIDI YA WAISLAM NA MAMBO YAO?

Hayo pia si maneno yangu, kumbuka nimeyanukuu tu. Na wala sijasema hao ni watu wabaya. Sijui ni kigezo gani unatumia kuamua kuhusu tafsiri yangu hapo.

BASI NDIO HIVYO TENA JAMBO FORUMS huwa hatujadili maeneno ya kusikia mkuu

Wala hili halinikereketi hata kidogo. Vyuo nilivyosoma mimi sina umiliki wowote huko na sijaona taabu yoyote inayohusiana na umiliki.

sasa why all of a sudden umeanza kuquestion hiki chuo cha Morogoro?

Hilo pia sikuhitimisha mimi, hebu kasome tena uone nani aliyesema hivyo.

HUJAMTAJA AU TUSEMA UMEGOMA KUMTAJA SASA TUTAENDELEA VIPI KUJADILI HEWA?

Haya pia ni mawazo yako lakini hayana msingi wowote katika niliyoyasema.


UMEFIKIA VIPI CONCLSION KUWA MAWAZO YAKE HAYANA MSINGI WOWOTE WAKATI WEWE NDIO UMEKUJA NA KUTAJA GAZETI BILA KUSEMA TOLEO LIPI NA HUYO MBUNGE ASIYE NA JINA


Hebu na wengine waamue, nani mwenye chuki kati ya mimi na huyu kanda2?

WENGINE NDIO AKINA SIYE TUSHAKUONA WEWE NDIYE MWENYE CHUKI NA WAISLAM NA UMESHINDWA KUJENGA HOJA NA SASA UNAENDELEZA UDINI WAKO
 
Prospectus hii hapa:
[media]http://www.mum.ac.tz/files/mum_prospectus_2006_07.pdf[/media]
 
Mwalimu weeps in the land of the departed and maybe Kenyatta tells him he knew this will eventually happen....in Tanzania. Msikizeni nyie mnayesifia wakuu wa CCM na serekali ya sasa Tanzania kijana mwenye tochi kichwani huko Mererani atakalofanya akiwa Rais wa URT.Jirani yako akiumia unaumia mara mbili zaidi rohoni....

WaKenya tunawezaje kuwasaidia jangwa hili la kitaifa ambalo mumezembea kuchambua huku mkifwata kwa kasheshe wadhfaa mpya za akina Makamba...?

Naomba mnijibu nyie wanaCCM (maoni ya CUF na CHADEMA pia zitafaa)

http://www.eastafricantube.com/media/1196/Tanzanites_Child_Labor_Part_2/


http://www.eastafricantube.com/media/1195/Tanzanites_Child_Labor_Part_1/
 
katika pitapita zangu nimekuta Watanzania wenzetu ktk www.youngafrican.com wanamjadili BABA WA TAIFA.

Nimeona hii kitu siyo nzuri kidogo naomba tuijadili. kuna mwenye data za ku-support au ku-dispute madai hayo yaliyotolewa?


1.
no-name said:
I understand that the French guy actually wrote the whole of the Arusha declaration for Nyerere which outlines the Ujamaa concept. I have the guy's name at home somewhere I ll write it here when I find it. It was aparently in newspapers etc outside Tanzania in those days that it is this guy who wrote it for Nyerere and Nyerere was asked on a few occasions by students etc in Tanzania to comment on the truth of that and he simply told off whoever asked it very angrily and they stoped asking as their fate was now at risk with such questions. he never did deny it in Tanzania or to the newspapers abroad. I think a lot of the intellectuals and students and politicians then knew that he never wrote it but could not say anything.

2.
no-name said:
The French guy's name is Rene Du Mont. He must have died some years ago. At the time he was a lecturer in Agriculture and Development studies at a Private University in Paris. He wrote a book titled "L'Afrique est mal Parti" which was translated in swahili by Gabriel Ruhumbika and the swahili title was "Afrika imekwenda kombo". Some people say he wrote teh whole thing some say he gave Nyerere the whole idea and directed him on hwo to write it and go about it but yeah either way that it was this guy's idea is what they say.

3.
critic said:
So Nyerere was a plagiarist huh? I dont know about this French guy but I know Nyerere's thinking was heavily influenced by his african upbringing and British/Scotish socialism, especially Fabianism during his Edinbrugh days.

Nyerere has been accussed of not giving credit for his "work" in an almost plagiarist ways.case in point is the Kagera War declaration speech at Diamond Jubilee when he said "Nia tunayo, Uwezo tunao na nguvu tunazo" or some similar bull, come to find out it was a very popular British WW1 pop song to mobilize the Brits.

Mzee alifikiri hatutamshtukia!
 
Ask them to give us evidences, we can not just comment on issues which are not well researched
 
huu ni udaku au ni mtu anataka kutangaza web ya young afrika hapa for free?

Hii inabidi iwe kwenye udaku or something like that
 
Mwanakijiji yuko wapi....aje hapa atuambie maana yeye anamhusudu sana Nyerere. Halafu, hivi watu wawili au zaidi wasiojuana hawawezi kuwa na fikra au mawazo yanayofanana kweli? Hata MLK wameshamzushia sana kuhusu kuibia lakini ile barua ya kutoka jela ya Birmingham inawasuta ma-haters wake. Kuhusu Nyerere sijui...tumsubiri Mkjj
 
katika kusherehekea uhuru wa Tanzania, inabidi pia kuangalia upande mwingine wa shilingi wa historia ya Tanzania.

Imeandikwa hapa JF kuwa Nyerere alikuwa dikteta na ndiye chanzo cha matatizo yote yaliyopita, yaliyopo na yajayo ya Tanzania. Kwa vile ni muhimu kufuta athari za Nyerere ili nchi iendelee basi ni vizuri hii mada pia ikawepo hapa ili yote mabaya ya huyu mzee yakawekwa wazi kwa wale tusiojua tukayajua.

Thanks!
 
katika kusherehekea uhuru wa Tanzania, inabidi pia kuangalia upande mwingine wa shilingi wa historia ya Tanzania.

Imeandikwa hapa JF kuwa Nyerere alikuwa dikteta na ndiye chanzo cha matatizo yote yaliyopita, yaliyopo na yajayo ya Tanzania. Kwa vile ni muhimu kufuta athari za Nyerere ili nchi iendelee basi ni vizuri hii mada pia ikawepo hapa ili yote mabaya ya huyu mzee yakawekwa wazi kwa wale tusiojua tukayajua.

Thanks!

..mwk,

..uhuru wa tanganyika!

..tanzania haijawahi kutawaliwa!labda sasa!
 
Na hapa Mtoto wake (at least ndivyo anavyosema) anaomba msaada hasa baada ya Dikteta Nyerere kuiba fedha za Tanzania na kuziwekeza Afrika ya Kusini (hiyo ni kawaida ya madikteta duniani kujitajirisha kwa migongo ya wenzao)


MR.GEORGE NYERERE
345 LUISE BOTHA ROAD
JHB2001.
SOUTH AFRICA.
TEL: 27-833-676-420

Email: g_nyerere_00_2@yahoo.ca

My dear friend

I do foresee the surprise this letter will bring to you as it comes from a stranger. But rest assured as it comes with best of intentions. However, your address was courtesy of the Internet. But after due consideration from your profile, I became aware and assured of your credibility of handling this trust and my future. Thus, after my humble decision to solicit for your understanding and co-operation in this transaction, as it will be beneficial to all of us involved.

My name is Mr. George Nyerere, from Tanzania. I am the son of the Late President of Tanzania JULIUS NYERERE, who died on the 14 October 1999 about seven years ago. My father used his position then to make for him self and us some fortune. My father died after a protracted illness. I was studying overseas when my father died and I was forced to return for the funeral. His attorney notified me and my family about my father's will with his chambers.

When I was going through the will, I discovered that my late father had used his position then to make some money, which he brilliantly transferred and deposited it with a private Security Company here in Johannesburg, Republic of South Africa. He deposited this consignment as valuables. The Security Company does not know that this consignment contains cash money, except the attorney and me.

The amount is Eight million United States Dollars (USD 8MILLION). However, my aim of contacting you is to help me and take this sum into your nominated account in your country or any other part of the world. Secondly, you will also help me look for a profitable investment overseas because I don't have knowledge of international investments. As a result of my present situation, I won't be able to conclude this transaction alone.

If you are interested in helping me out, try and contact me with the above phone number, or-mail address indicating your interest to help me, not forgetting to include your private phone and fax numbers for easier communication. I will then furnish you with more details. I have mutually agreed to compensate you with 25% of the total sum for your assistance, 5% for expenses in the course of the transaction. Then the remaining 70% will remain for my family and me, which you will help us invest.

Be informed that this transaction needs utmost trust and confidentiality. Note also that the transaction attracts no risk on your side hence all the modalities for safe, smooth and successful transaction have been arranged by me. My above email address is private to me and I will prefer your anticipated response through it. ( g_nyerere_00_2@yahoo.ca )

Looking forward to receiving your urgent reply.
God bless you,

GEORGE NYERERE(JNR)(FOR THE FAMILY
 
Back
Top Bottom