Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,510
- 11,011
Typical watanzania tulivyo...sasa jamani, itawezekana kutunza UKOO wote wa mwalimu? lazima tufike sehemu tutambue aliyekuwa kiongozi ni JULIUS na sio ukoo wake wote. watu wanaostahili kusaidiwa au kulipwa pension ni primary depandants wake ambao ni Mama MARIA NA WATOTO WAKE WALIO CHINI YA MIAKA KUMI NA NANE! No this is unfir kuona kwamba kila mtu as long as ana ukaribu na Nyerere bas anastahili kutunzwa na serikali. Hiyo serikali itawatunza wangapi? yenyewe ndo hiyo tunaipigia kelele kwa rushwa nk. Angelalamika mama Maria ningeelewa lakini hawa extended families? Iam sorry!
Infact watoto wa Mwalimu wote, hakuna anayestahili kusaidiwa na serikali! wameshakuwa watu wazima wastruggle kama watanzania wengine. Mama Maria ndo anastahli pension ya mumewe na si vinginevyo. Tuache huu "ujamaa" uliopitiliza mipaka! Jamaa wafanye kazi na sio kulia lia..oohh sisi ni ndugu wa mwalimu tumetelekezwa. This is nonsese kabisa.
Infact watoto wa Mwalimu wote, hakuna anayestahili kusaidiwa na serikali! wameshakuwa watu wazima wastruggle kama watanzania wengine. Mama Maria ndo anastahli pension ya mumewe na si vinginevyo. Tuache huu "ujamaa" uliopitiliza mipaka! Jamaa wafanye kazi na sio kulia lia..oohh sisi ni ndugu wa mwalimu tumetelekezwa. This is nonsese kabisa.