William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
Mzee Joka,
Tumewahi kuwa na ma-PM wafuatao,
Kawawa, Sokoine, Salim, Msuya, Warioba, Malecela, Msuya, Sumaye, na sasa Rich-MonduliLowassa, ninakuomba unitajie kati ya hawa nani aliyekuwa na uwezo wa uongozi kuliko Sokoine?
Under Sokoine, angalau kulikuwa na the political feeeling kwamba serikali ipo, je do you think that is the case leo? Katika muda mchache aliokaaa kwenye power, pamoja na mapungufu yake lakini aliweza kuelewa kwamba tatizo la bonbgo mpaka leo ni viongozi wabovu! Ninarudia kuwa tatizo la bongo kwanza ni viongozi wabovu, ukisha litatua hilo basi the rest yatajipa yenyewe, kwanza ni viongozi wabovu,
Mzee Joka, hebu niambie Sokoine angekuwa PM, halafu zije issue za IPTL na Richimond si ingekuwa kiama? Mzeee wangu siku Sokoine alipopewa u-PM, alienda Msasani kwa Mwalimu akiwa na list ya viongozi wala rushwa na madhambi yao yote na alikuwa tayari ku-take them down, Mwalimu kuangalia list akakuta washikaji wake wote wamo, akamwambia no way!
Mimi siku moja nilimuona the man pale posta enzi zile UDA haina mpango, yakaja maaa-Ikarus kumba kumba na dala dala, baadaye zikaja pick-up, yote haya katika kipindi kifupi cha uongozi wake, halafu bongo agenda huwa zinawekwa na rais, sio waziri mkuu, ndio maana mimi ninasema kwamba Rich-MondLowassa, ndiye waziri mkuu wakwanza mwenye full power bongo, lakini sio waliopita.
Mzee Joka, bongo haitakuja kupata kiongozi mwenye calliber ya Sokoine tena, ninakubali kuwa alikuwa na mapungufu yake, lakini hakuwa na tatizo la kupambana na adui wa bongo nambari moja, then and now, yaani Rushwa!
Tumewahi kuwa na ma-PM wafuatao,
Kawawa, Sokoine, Salim, Msuya, Warioba, Malecela, Msuya, Sumaye, na sasa Rich-MonduliLowassa, ninakuomba unitajie kati ya hawa nani aliyekuwa na uwezo wa uongozi kuliko Sokoine?
Under Sokoine, angalau kulikuwa na the political feeeling kwamba serikali ipo, je do you think that is the case leo? Katika muda mchache aliokaaa kwenye power, pamoja na mapungufu yake lakini aliweza kuelewa kwamba tatizo la bonbgo mpaka leo ni viongozi wabovu! Ninarudia kuwa tatizo la bongo kwanza ni viongozi wabovu, ukisha litatua hilo basi the rest yatajipa yenyewe, kwanza ni viongozi wabovu,
Mzee Joka, hebu niambie Sokoine angekuwa PM, halafu zije issue za IPTL na Richimond si ingekuwa kiama? Mzeee wangu siku Sokoine alipopewa u-PM, alienda Msasani kwa Mwalimu akiwa na list ya viongozi wala rushwa na madhambi yao yote na alikuwa tayari ku-take them down, Mwalimu kuangalia list akakuta washikaji wake wote wamo, akamwambia no way!
Mimi siku moja nilimuona the man pale posta enzi zile UDA haina mpango, yakaja maaa-Ikarus kumba kumba na dala dala, baadaye zikaja pick-up, yote haya katika kipindi kifupi cha uongozi wake, halafu bongo agenda huwa zinawekwa na rais, sio waziri mkuu, ndio maana mimi ninasema kwamba Rich-MondLowassa, ndiye waziri mkuu wakwanza mwenye full power bongo, lakini sio waliopita.
Mzee Joka, bongo haitakuja kupata kiongozi mwenye calliber ya Sokoine tena, ninakubali kuwa alikuwa na mapungufu yake, lakini hakuwa na tatizo la kupambana na adui wa bongo nambari moja, then and now, yaani Rushwa!