Lowassa huu ni muda muafaka wa kumzika siasa, hakuna nukuu ya maana hata moja hapo
Fikiria vizur kabla hujaandika, ulichokiandika kina uhusiano gani na mada iliyopo?Pamoja na kauli za Rais Magufuli lakini hakuna kiongozi anaweza kulinganishwa na Rais Magufuli kwa dhamira yake ya vita dhidi rushwa.
Mzee Lowassa apumzike Tanzania inataka kiongozi aina ya Rais Magufuli.
Pamoja na kauli za Rais Magufuli lakini hakuna kiongozi anaweza kulinganishwa na Rais Magufuli kwa dhamira yake ya vita dhidi rushwa.
Mzee Lowassa apumzike Tanzania inataka kiongozi aina ya Rais Magufuli. Ukweli nchi hii ilikuwa imefikia pabaya kama watu wanaweza kuchota bilioni 60 kutoka hazina ya kununua unifomu za Police halafu hazikununuliwa wala ofisi za kampuni hazijulikani kulikoni ?
Bukoba kila kitu nyie tu Ukimwi nyie, mto ngono nyie, katerero nyie, na sasa tetemeko nyie
Kanisa nalo ni jukwaa la siasa...Huu mwenendo wa viongozi wa kisiasa na serikali kwenda kutoa matamko kanisani ni hatari sana. Baadae italeta sura ya udhehebu na matatizo mengine. Kanisani ifanyike ibada si sehemu ya kulipuliana mabomu ....Kanisa la Tanzania wawe makini na siasa makanisani.
Hahahaha red napita tuBukoba kila kitu nyie tu Ukimwi nyie, mto ngono nyie, katerero nyie, na sasa tetemeko nyie