Happy heavenly birthday Hayati Rais John Pombe Magufuli

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Feb 26, 2021
949
2,865
Siku kama ya leo miaka 64 iliyopita alizaliwa mtoto aliyekuja kufufua matumaini ya Watanzania,shida za Watanzania zikapata ufumbuzi,matatizo ya Watanzania akayanunua na kuwa matatizo yake,ikawa kila mwenye tatizo alikwenda kwake na kutatuliwa tatizo lake,alikuwa mwenye kipaji cha Uongozi toka kwa Mungu na mwenye kaliba ya pekee,kila mahali alipopita Watanzania walimfuata mtoto huyo aliyezaliwa tarehe 29/10/1959 ,Ucheshi wake uliwapa tumaini jipya masikini na kuona yupo mtetezi wao,huruma yake ilitua mzigo mzito waliobeba Watanzania,si mwingine ni Hayati Rais John Pombe Magufuli,mcha Mungu wa kweli na mwamini aliyeamini katika jina la Yesu,rejea kipindi cha korona.

Leo nielezee mapenzi ya mwana wa Tanzania ,mwana wa Afrika,na mtu aliyeacha alama duniani kwa matendo mazuri kwa nchi yake ya Tanzania,akiwa Waziri kwa miaka 20 na hatimaye Rais wa Tanzania kwa miaka mitano,Hayati Rais John Pombe Magufuli alifanya mambo makubwa mno,alikuwa Mzalendo mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yake ya Tanzania,hakutaka Tanzania ichezewe na mtu yeyote iwe Mtanzania,mzungu au mwarabu,katika urais wake kwa miaka mitano Hayati Rais John Pombe Magufuli hakuijua China,Marekani wala Ulaya toka achaguliwe hadi anaondoka dunia hii, yeye alipenda kutembelea Morogoro,Arusha, Iringa,Tanga, Mbeya, Songea, Mtwara, Lindi, Rukwa, Sumbawanga anarudi Moshi,Singida anaingia Dodoma kamaliza,

Hayati Rais John Magufuli alizunguka katika mikoa ya Tanzania Ili kujua matatizo na shida za Watanzania azitatue,katika mikutano yake alitembea kwenda moja kwa moja kuongea na mtu mwenye shida,alimuangalia usoni alipata taswira ya shida na tatizo la Mtanzania yule na kulichukua yeye tatizo lake la kulitatua kama kiongozi wa nchi,alitamani yeye akinywa chai asubuhi kila Mtanzania anywe chai, yeye akila mchana kila Mtanzania ale chakula mchana,yeye akila chakula usiku basi kila Mtanzania ale chakula usiku,hakula chakula mezani kwake bila kusoma mafaili mezani kwake na kutatua shida za Watanzania,alikuwa msikivu, mvumilivu, mwenye huruma,upendo,rafiki wa wanyonge na wanaoonewa,alisimama kwa waliovunjika moyo ili kuwapa tumaini jipya,hakuona shida kutoa mpaka senti ya mwisho mfukoni mwake kuwapa wenye uhitaji,yeye aliishi ufukara kama sisi ili kujua shida zetu,na kwa hakika siku ya mazishi yake Watanzania walilia hadi tone la mwisho,hii ilioneshwa kuondokewa kwao, Watanzania walilia sababu walijua walichopoteza,na Sasa tunaona kamwe tulichopoteza hakiwezi kurudi.

Japokuwa alikuwa mwenye mamlaka ya juu kuliko Mtanzania yeyote lakini alishuka kwa unyenyekevu na kula na Wananchi chakula wanacho kula wao,hakujitenga wala kunyanyapaa watu wa hali yoyote,masikini,mgonjwawote aliwapa sababu ya kupata tabasamu,faraja na tumaini jipya kwa maana hakusahau alipotoka,alijawa huruma na upendo,alijawa na msamaha na kumsamehe Nape aliyekwenda Ikulu kuomba msamaha,vijana wa enzi yake aliocheza nao akanywa nao kahawa,kila alipopita alitenda mema,akawafuta walioonewa machozi yao,akawafungua wafugwa wao,aliingia magerezani kuwasalimu wafugwa,ubinadamu ndio hisia zake,akawasamehe waliokosea,Wimbo wa upendo uliibwa machoni pake,rohoni na kwenye utumishi uliotukuka,hakujilimbikizia mali,alijua tulikuja tupu tutaondoka tupu,alikuwa mwenye utani,matani kidogo,alisalimia kwa lugha ishirini kabla ya kuanza kuhutubia mkutano wake,masihara kidogo ili tu kuwaonyesha ni Mimi yule yule sikubadilika,Usingizi hakupata akiiwazia Tanzania,asubuhi aliamka na saa mbili asubuhi alianza kuzindua miradi aliyoagiza ijengwe kwa manufaa ya Watanzania wa leo,kesho na kesho kutwa,alikuwa Baba mwema sana.

Wananchi wengi walikiri kuwa Rais John Magufuli ndiye rais waliyemsubiri kwa miaka mingi sana,nilisikia watu wakisema tulichoka dharau kutoka kwa vijinchi vidogovidigo Hayati Raisi John Pombe Magufuli aliturudisha kwenye chati ya Afrika na kuturudishia heshima,we are a big nation a Great Tanzania,rejea siku ya Msiba wake,Rais wa Botswana,Mh Mokgweetsi Masisi alisema,nanukuu "Tanzania you have a big shoes to wear after the departure of President John Magufuli" kila hotuba ya Rais siku ile ilimtaja Hayati Rais John Magufuli kama Mwana wa Afrika,Rais Ramaphosa alisema "Magufuli was a true son of Africa,a pan africanist" Rais Kenyatta alisema "Magufuli alikuwa ni Mwanamwema wa Afrika" mpaka hapa unaweza kujua Hayati Rais John Magufuli alitembea katika nyayo za Mababa wa Afrika,Kwame Nkrumah, Julius Nyerere,Haile Selassie,Samora Machel,Edward Mondlane,Keneth Kaunda,Jommo Kenyatta na Joachim Chisano.

Nimalizie kwa nukuu chache nilizopata kuzisoma kwenye Journal mbalimbali za kimataifa,Magufuli stands out in his humility and self-deprecation. He shuns wealth, and fame. In a country where thieves are celebrated, and murderers elevated — Dr Magufuli is the one public servant who forsook worldly possessions. Mark 8:38 asks: “For what shall it profit a man, if he shall gain the whole world and lose his own soul?” Methinks the author in the good book must have had a great leader in mind,The simplicity of this Societal and moral giant is the one thing that remains an enigma to me and many. He always roots for the little guy. He abhors hierarchy and disdains flamboyance,he’s ruthlessly self-critical. He always puts himself last,He’s a rare breed.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
0755078854

-Bachelor of business administration in International business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publications;-
-Assessment on the Effects of Micro-financing on Poverty Reduction.
 
Bachelor of business administration in International business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publications;-
-Assessment on the Effects of Micro-financing on Poverty Reduction.
Kutoka vyuo gani? Maana Tanzania lolote linawezekana kama la PhD ya magufuli



Tujikumbushe. Post hii ndiyo iliondoa uhai wa mtoto wetu BEN Rabiu Saanane

Angalizo: Hasira hazitasaidia hapa.Uchochezi ni kushindwa kufafanua kitu ulichokitetea mbele ya Maprofesa.Najadili Sakata la Vyeti Feki na hali ya Ph.D ya Mhe.Magufuli.

Tuanzie hapa kwanza ndio tusonge mbele.Wale watakaomtetea sitaki kusikia eti tulimuona kwenye Korido za Chuo au Canteen au mara nilikua pale Chuoni wakati anasoma hapo.Huo sio utetezi wa Kisomi.Jihadhari!

Kabla wale Malaika hawajatushukia kuzima mitandao na pia Wakati tunaendelea kusubiri atoe nyaraka alizoahidi miezi 5 iliyopita kuhusu Mshahara wake twaweza kuendelea kihivi ili akitoka hadharani atoke na nyaraka na ushahidi wa hili pia
Kwa kulitendea haki zoezi la Uhakiki wa Vyeti linaloendelea ,Naamini Watumishi wote wa Umma kuanzia Rais ,Nasisitiza kuanzia Rais uhakiki huo ulipaswa upite huko.

Najua Urais hauhitaji hiyo taaluma yake lakini nataka tuibue hoja ya uhalali wa Ph.D na suala la Uadilifu kitaaluma.

Ni jambo la Msingi sana katika vita hii ya kupambana na Mafisadi wa Elimu .
Ofisi kuu lazima ioneshe mfano na Rais Magufuli kama Raia namba moja ni lazima akaguliwe asiache shaka yoyote katika kuhakikisha kile anachojiita kuwa ndiye(Daktari wa Falsafa katika Kemia)

Niliwahi kuuliza kama Shahada ya Uzamivu ya Mhe.John Pombe Magufuli ni halalali na kama imekidhi vigezo Aliingia Lab kweli?Alienda kui-defend kweli kwenye Baraza la Taaluma mbele ya Maprofesa?

Council ilikua imeundwa na akina nani? Sitaki kuhusisha maamuzi yake na suala lake la Academic maana haihusiani na İntelligence but just to be curious kipindi hiki anapotakiwa kuonesha mfano tu Kuna waziri wa Ulinzi wa Ujerumani nadhani Karl-Zu aliwahi kukutwa amedesa Ph.D yake ikamgharimu Uwaziri.

Suala hili linapaswa kujibiwa na Magufuli mwenyewe na sio msaidizi au Prof.Aliyemsimamia.
Tena Prof.Akijitokeza tutamuuliza kama kuna Publication yoyote aliyofanya kabla ya VİVA.
Ha ha ha!

Miaka hiyo nikiwa mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili niliposikia Waziri Magufuli katunukiwa Ph.D,kwa ufahamu tu wa kitaaluma na pengine kiherehere tu kilichoniandama niliwahi kuhoji hata kule JF kuhusu Duration ya Ph.D yake.Sikupata majibu.

Tunalifufua tena kipindi hiki kwa kuwa yeye ni msema kweli ndio maana Prof.Ndalichako kama waziri wa Elimu ana ujasiri wa kukemea vyeti feki na alikemea wabunge na Mawaziri.

Niliuliza kama kuna Chapisho(Publication) yoyote aliyofanya kwenye journals
Najua sio lazima iwe Public maana nyingine zinawekwa kwa Journals tu na baadhi ya watu kushindwa kupata access lakini hata kama ingekua hivyo kwa sababu Mhe.Magufuli anajinasibu kuwa Muwazi na ana guts za kuita wengine vilaza sasa atoke hadharani atoe chapisho lake

Mimi ni member kule Research gate.Nimetafuta chapisho.lake lolote hakuna
Halafu nimefukua kwa UDMS nikakutana na Sharti kwenye Prospectus ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwenye İbara ya 2.7.7 kwamba muda wa chini kabisa kwa mwanafunzi wa Ph.D ni Miaka 3 akiwa Mwanafunzi wa muda wote(Fulltime) na pia miaka 5 kwa mwanafunzi ambae sio full time Mhe.Magufuli yeye alisoma Ph.D kuanzia 2006-2009 akafanya research na kutetea tasnifu(Thesis) yake

Halafu kuna kitu naendelea kuki-study kwa undani hapa kisha naweza kutangaza Dau la mtu yeyote atakayeleta Publication ya Magufuli tangu amalize Ph.D

Kuna utafiti unaofanana sana na wa Magufuli uliofanywa na mwanafunzi mwingine Dr. J.Y. Philip na wote wanaonekana walisimamiwa na Prof. Buchweishaija katika utafiti uliokuwa unashabiiana sana wote wakitafuta namna maganda ya korosho yanaweza kutumika kuzuia kutu.

Dr.J.Y. Philip yeye anaonekana alikuwa na Sandwich programme kule Sweden iliyomuwezesha kukaa miezi 8 halafu minne UDSM kwa kila mwaka. Dr. P. Magufuli yeye anaonekana alikuwa ni full time student pale Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam peke yake. Alikuaje Fulltime akiwa Mbunge na Waziri?Kwa wanafunzi wa Ph.D wanajua mziki wake.

Halafu kuna kitu İnteresting hapa kuhusu huyu Dr.Y J Philip na (Dr?) Magufuli . Wote walimaliza shule muda mmoja mwaka 2009.Je, Ni kwanini Dr. P. Magufuli hana hata paper moja kwenye "Peer reviewed journal" kutokana na thesis aliyoandika?

Nimemkuta Dr.Philip kwenye Data zake.Twende kwa facts.Hakuna hasira wala mihemko.
Dr. J.Y. Philip
  • 2005 – 2009 Ph.D. (Chem.), University of Dar es Salaam, Tanzania ( Sandwich programme with Swedish University)
  • Peer reviewed articles: 2
Philip, J.Y., Buchweishaija, J., Mkayula, L.L. and Ye, L., 2007. Preparation of molecularly imprinted polymers using anacardic acid monomers derived from cashew nut shell liquid. Journal of Agricultural and Food Chemistry, 55 (22), 8870-8876.

Haya kisha tena huku
Philip, J.Y., Da Cruz Francisco, J., Dey, E.S., Buchweishaija, J., Mkayula, L.L. and Ye, L., 2008. Isolation of anacardic acid from natural cashew nut shell liquid (CNSL) using supercritical carbon dioxide. Journal of Agricultural and Food Chemistry, 56 (20), 9350-9354.

Halafu sasa Mhe.Magufuli ikawa hivi Dr. P. Magufuli
  • 2006 – 2009: PhD (Chemistry); University of Dar es salaam
  • Peer reviewed articles: 0

    A Luta Continua,Victory Ascerta...
    Ben Saanane
    1698588566974.png
 
Siku kama ya leo miaka 64 iliyopita alizaliwa mtoto aliyekuja kufufua matumaini ya Watanzania,shida za Watanzania zikapata ufumbuzi,matatizo ya Watanzania akayanunua na kuwa matatizo yake,ikawa kila mwenye tatizo alikwenda kwake na kutatuliwa tatizo lake,alikuwa mwenye kipaji cha Uongozi toka kwa Mungu na mwenye kaliba ya pekee,kila mahali alipopita Watanzania walimfuata mtoto huyo aliyezaliwa tarehe 29/10/1959 ,Ucheshi wake uliwapa tumaini jipya masikini na kuona yupo mtetezi wao,huruma yake ilitua mzigo mzito waliobeba Watanzania,si mwingine ni Hayati Rais John Pombe Magufuli,mcha Mungu wa kweli na mwamini aliyeamini katika jina la Yesu,rejea kipindi cha korona.

Leo nielezee mapenzi ya mwana wa Tanzania ,mwana wa Afrika,na mtu aliyeacha alama duniani kwa matendo mazuri kwa nchi yake ya Tanzania,akiwa Waziri kwa miaka 20 na hatimaye Rais wa Tanzania kwa miaka mitano,Hayati Rais John Pombe Magufuli alifanya mambo makubwa mno,alikuwa Mzalendo mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yake ya Tanzania,hakutaka Tanzania ichezewe na mtu yeyote iwe Mtanzania,mzungu au mwarabu,katika urais wake kwa miaka mitano Hayati Rais John Pombe Magufuli hakuijua China,Marekani wala Ulaya toka achaguliwe hadi anaondoka dunia hii, yeye alipenda kutembelea Morogoro,Arusha, Iringa,Tanga, Mbeya, Songea, Mtwara, Lindi, Rukwa, Sumbawanga anarudi Moshi,Singida anaingia Dodoma kamaliza,

Hayati Rais John Magufuli alizunguka katika mikoa ya Tanzania Ili kujua matatizo na shida za Watanzania azitatue,katika mikutano yake alitembea kwenda moja kwa moja kuongea na mtu mwenye shida,alimuangalia usoni alipata taswira ya shida na tatizo la Mtanzania yule na kulichukua yeye tatizo lake la kulitatua kama kiongozi wa nchi,alitamani yeye akinywa chai asubuhi kila Mtanzania anywe chai, yeye akila mchana kila Mtanzania ale chakula mchana,yeye akila chakula usiku basi kila Mtanzania ale chakula usiku,hakula chakula mezani kwake bila kusoma mafaili mezani kwake na kutatua shida za Watanzania,alikuwa msikivu, mvumilivu, mwenye huruma,upendo,rafiki wa wanyonge na wanaoonewa,alisimama kwa waliovunjika moyo ili kuwapa tumaini jipya,hakuona shida kutoa mpaka senti ya mwisho mfukoni mwake kuwapa wenye uhitaji,yeye aliishi ufukara kama sisi ili kujua shida zetu,na kwa hakika siku ya mazishi yake Watanzania walilia hadi tone la mwisho,hii ilioneshwa kuondokewa kwao, Watanzania walilia sababu walijua walichopoteza,na Sasa tunaona kamwe tulichopoteza hakiwezi kurudi.

Japokuwa alikuwa mwenye mamlaka ya juu kuliko Mtanzania yeyote lakini alishuka kwa unyenyekevu na kula na Wananchi chakula wanacho kula wao,hakujitenga wala kunyanyapaa watu wa hali yoyote,masikini,mgonjwawote aliwapa sababu ya kupata tabasamu,faraja na tumaini jipya kwa maana hakusahau alipotoka,alijawa huruma na upendo,alijawa na msamaha na kumsamehe Nape aliyekwenda Ikulu kuomba msamaha,vijana wa enzi yake aliocheza nao akanywa nao kahawa,kila alipopita alitenda mema,akawafuta walioonewa machozi yao,akawafungua wafugwa wao,aliingia magerezani kuwasalimu wafugwa,ubinadamu ndio hisia zake,akawasamehe waliokosea,Wimbo wa upendo uliibwa machoni pake,rohoni na kwenye utumishi uliotukuka,hakujilimbikizia mali,alijua tulikuja tupu tutaondoka tupu,alikuwa mwenye utani,matani kidogo,alisalimia kwa lugha ishirini kabla ya kuanza kuhutubia mkutano wake,masihara kidogo ili tu kuwaonyesha ni Mimi yule yule sikubadilika,Usingizi hakupata akiiwazia Tanzania,asubuhi aliamka na saa mbili asubuhi alianza kuzindua miradi aliyoagiza ijengwe kwa manufaa ya Watanzania wa leo,kesho na kesho kutwa,alikuwa Baba mwema sana.

Wananchi wengi walikiri kuwa Rais John Magufuli ndiye rais waliyemsubiri kwa miaka mingi sana,nilisikia watu wakisema tulichoka dharau kutoka kwa vijinchi vidogovidigo Hayati Raisi John Pombe Magufuli aliturudisha kwenye chati ya Afrika na kuturudishia heshima,we are a big nation a Great Tanzania,rejea siku ya Msiba wake,Rais wa Botswana,Mh Mokgweetsi Masisi alisema,nanukuu "Tanzania you have a big shoes to wear after the departure of President John Magufuli" kila hotuba ya Rais siku ile ilimtaja Hayati Rais John Magufuli kama Mwana wa Afrika,Rais Ramaphosa alisema "Magufuli was a true son of Africa,a pan africanist" Rais Kenyatta alisema "Magufuli alikuwa ni Mwanamwema wa Afrika" mpaka hapa unaweza kujua Hayati Rais John Magufuli alitembea katika nyayo za Mababa wa Afrika,Kwame Nkrumah, Julius Nyerere,Haile Selassie,Samora Machel,Edward Mondlane,Keneth Kaunda,Jommo Kenyatta na Joachim Chisano.

Nimalizie kwa nukuu chache nilizopata kuzisoma kwenye Journal mbalimbali za kimataifa,Magufuli stands out in his humility and self-deprecation. He shuns wealth, and fame. In a country where thieves are celebrated, and murderers elevated — Dr Magufuli is the one public servant who forsook worldly possessions. Mark 8:38 asks: “For what shall it profit a man, if he shall gain the whole world and lose his own soul?” Methinks the author in the good book must have had a great leader in mind,The simplicity of this Societal and moral giant is the one thing that remains an enigma to me and many. He always roots for the little guy. He abhors hierarchy and disdains flamboyance,he’s ruthlessly self-critical. He always puts himself last,He’s a rare breed.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
0755078854

-Bachelor of business administration in International business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publications;-
-Assessment on the Effects of Micro-financing on Poverty Reduction.
Heri ya kuzaliwa Rais wetu wa maisha,tume ku miss Sana. Wewe ulikuwa Rais kweli kweli.
 
Maana Tanzania
Bahati nzuri hoja zinajibika Bahati mbaya muhusika wa kizisikiliza hayupo. Sina hakika kama unataka zijibiwe hoja hizi za Ndugu Ben! Jambo lingine, sidhani kama unatenda haki kumuhusisha The Late Dr. Magufuli na hoja za Ndugu Ben na kupotea kwake.

Kwa sababu hakuna uchunguzi rasmi kutoka kwenye Vyombo vyetu halali vya ulinzi na usalama ama vya kutoa haki vilivyodhibitisha jambo hili.

Kwa hiyo, kurejea hoja hizo za Ndugu Ben, aliyepotea, kwenye uzi huu, ni kukosa weledi wa kimalengo katika kukuza mambo mema kwa Taifa hili la Tanzania na kupinga kwa nguvu zote mambo mabaya.
 
Siku kama ya leo miaka 64 iliyopita alizaliwa mtoto aliyekuja kufufua matumaini ya Watanzania,shida za Watanzania zikapata ufumbuzi,matatizo ya Watanzania akayanunua na kuwa matatizo yake,ikawa kila mwenye tatizo alikwenda kwake na kutatuliwa tatizo lake,alikuwa mwenye kipaji cha Uongozi toka kwa Mungu na mwenye kaliba ya pekee,kila mahali alipopita Watanzania walimfuata mtoto huyo aliyezaliwa tarehe 29/10/1959 ,Ucheshi wake uliwapa tumaini jipya masikini na kuona yupo mtetezi wao,huruma yake ilitua mzigo mzito waliobeba Watanzania,si mwingine ni Hayati Rais John Pombe Magufuli,mcha Mungu wa kweli na mwamini aliyeamini katika jina la Yesu,rejea kipindi cha korona.

Leo nielezee mapenzi ya mwana wa Tanzania ,mwana wa Afrika,na mtu aliyeacha alama duniani kwa matendo mazuri kwa nchi yake ya Tanzania,akiwa Waziri kwa miaka 20 na hatimaye Rais wa Tanzania kwa miaka mitano,Hayati Rais John Pombe Magufuli alifanya mambo makubwa mno,alikuwa Mzalendo mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yake ya Tanzania,hakutaka Tanzania ichezewe na mtu yeyote iwe Mtanzania,mzungu au mwarabu,katika urais wake kwa miaka mitano Hayati Rais John Pombe Magufuli hakuijua China,Marekani wala Ulaya toka achaguliwe hadi anaondoka dunia hii, yeye alipenda kutembelea Morogoro,Arusha, Iringa,Tanga, Mbeya, Songea, Mtwara, Lindi, Rukwa, Sumbawanga anarudi Moshi,Singida anaingia Dodoma kamaliza,

Hayati Rais John Magufuli alizunguka katika mikoa ya Tanzania Ili kujua matatizo na shida za Watanzania azitatue,katika mikutano yake alitembea kwenda moja kwa moja kuongea na mtu mwenye shida,alimuangalia usoni alipata taswira ya shida na tatizo la Mtanzania yule na kulichukua yeye tatizo lake la kulitatua kama kiongozi wa nchi,alitamani yeye akinywa chai asubuhi kila Mtanzania anywe chai, yeye akila mchana kila Mtanzania ale chakula mchana,yeye akila chakula usiku basi kila Mtanzania ale chakula usiku,hakula chakula mezani kwake bila kusoma mafaili mezani kwake na kutatua shida za Watanzania,alikuwa msikivu, mvumilivu, mwenye huruma,upendo,rafiki wa wanyonge na wanaoonewa,alisimama kwa waliovunjika moyo ili kuwapa tumaini jipya,hakuona shida kutoa mpaka senti ya mwisho mfukoni mwake kuwapa wenye uhitaji,yeye aliishi ufukara kama sisi ili kujua shida zetu,na kwa hakika siku ya mazishi yake Watanzania walilia hadi tone la mwisho,hii ilioneshwa kuondokewa kwao, Watanzania walilia sababu walijua walichopoteza,na Sasa tunaona kamwe tulichopoteza hakiwezi kurudi.

Japokuwa alikuwa mwenye mamlaka ya juu kuliko Mtanzania yeyote lakini alishuka kwa unyenyekevu na kula na Wananchi chakula wanacho kula wao,hakujitenga wala kunyanyapaa watu wa hali yoyote,masikini,mgonjwawote aliwapa sababu ya kupata tabasamu,faraja na tumaini jipya kwa maana hakusahau alipotoka,alijawa huruma na upendo,alijawa na msamaha na kumsamehe Nape aliyekwenda Ikulu kuomba msamaha,vijana wa enzi yake aliocheza nao akanywa nao kahawa,kila alipopita alitenda mema,akawafuta walioonewa machozi yao,akawafungua wafugwa wao,aliingia magerezani kuwasalimu wafugwa,ubinadamu ndio hisia zake,akawasamehe waliokosea,Wimbo wa upendo uliibwa machoni pake,rohoni na kwenye utumishi uliotukuka,hakujilimbikizia mali,alijua tulikuja tupu tutaondoka tupu,alikuwa mwenye utani,matani kidogo,alisalimia kwa lugha ishirini kabla ya kuanza kuhutubia mkutano wake,masihara kidogo ili tu kuwaonyesha ni Mimi yule yule sikubadilika,Usingizi hakupata akiiwazia Tanzania,asubuhi aliamka na saa mbili asubuhi alianza kuzindua miradi aliyoagiza ijengwe kwa manufaa ya Watanzania wa leo,kesho na kesho kutwa,alikuwa Baba mwema sana.

Wananchi wengi walikiri kuwa Rais John Magufuli ndiye rais waliyemsubiri kwa miaka mingi sana,nilisikia watu wakisema tulichoka dharau kutoka kwa vijinchi vidogovidigo Hayati Raisi John Pombe Magufuli aliturudisha kwenye chati ya Afrika na kuturudishia heshima,we are a big nation a Great Tanzania,rejea siku ya Msiba wake,Rais wa Botswana,Mh Mokgweetsi Masisi alisema,nanukuu "Tanzania you have a big shoes to wear after the departure of President John Magufuli" kila hotuba ya Rais siku ile ilimtaja Hayati Rais John Magufuli kama Mwana wa Afrika,Rais Ramaphosa alisema "Magufuli was a true son of Africa,a pan africanist" Rais Kenyatta alisema "Magufuli alikuwa ni Mwanamwema wa Afrika" mpaka hapa unaweza kujua Hayati Rais John Magufuli alitembea katika nyayo za Mababa wa Afrika,Kwame Nkrumah, Julius Nyerere,Haile Selassie,Samora Machel,Edward Mondlane,Keneth Kaunda,Jommo Kenyatta na Joachim Chisano.

Nimalizie kwa nukuu chache nilizopata kuzisoma kwenye Journal mbalimbali za kimataifa,Magufuli stands out in his humility and self-deprecation. He shuns wealth, and fame. In a country where thieves are celebrated, and murderers elevated — Dr Magufuli is the one public servant who forsook worldly possessions. Mark 8:38 asks: “For what shall it profit a man, if he shall gain the whole world and lose his own soul?” Methinks the author in the good book must have had a great leader in mind,The simplicity of this Societal and moral giant is the one thing that remains an enigma to me and many. He always roots for the little guy. He abhors hierarchy and disdains flamboyance,he’s ruthlessly self-critical. He always puts himself last,He’s a rare breed.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
0755078854

-Bachelor of business administration in International business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publications;-
-Assessment on the Effects of Micro-financing on Poverty Reduction.
Mkuu mbinguni ulimpeleka wewe???
 
Bahati nzuri hoja zinajibika Bahati mbaya muhusika wa kizisikiliza hayupo. Sina hakika kama unataka zijibiwe hoja hizi za Ndugu Ben! Jambo lingine, sidhani kama unatenda haki kumuhusisha The Late Dr. Magufuli na hoja za Ndugu Ben na kupotea kwake.

Kwa sababu hakuna uchunguzi rasmi kutoka kwenye Vyombo vyetu halali vya ulinzi na usalama ama vya kutoa haki vilivyodhibitisha jambo hili.

Kwa hiyo, kurejea hoja hizo za Ndugu Ben, aliyepotea, kwenye uzi huu, ni kukosa weledi wa kimalengo katika kukuza mambo mema kwa Taifa hili la Tanzania na kupinga kwa nguvu zote mambo mabaya.
as long as he was a dictator, atasemwa mpaka basi! circumstantial evidence heavily implicates him in Ben's death

wanasheria wanasema hivi , to quote:
However, for circumstantial evidence to prove a case beyond reasonable doubt, it must irresistibly point to the
guilt of the Accused person. Hence, inference of guilt, from circumstantial evidence, is only justified when the inculpatory facts are incompatible with the innocence of the Accused; and must be incapable of explanation upon any other reasonable hypothesis than that of guilt. Furthermore, there must be no co-existing circumstance that would weaken or altogether negate the inference of guilt.
 
Kama sio Leo basi ni kesho, Hayati Magufuli hatokuwa jina la mtu tu bali neno lenye maana kamili kwenye Kamusi. Niliwahi kusema Magufuli ndio atakuwa mgombea 2025 na atashinda hata kama hayupo, na yeyote atakayetaja jina la Magufuli kwenye kampeni zake atashinda Kwa kishindo iwe ni Upinzani au CCM. Happy Birthday Mr. President
 
Siku kama ya leo miaka 64 iliyopita alizaliwa mtoto aliyekuja kufufua matumaini ya Watanzania,shida za Watanzania zikapata ufumbuzi,matatizo ya Watanzania akayanunua na kuwa matatizo yake,ikawa kila mwenye tatizo alikwenda kwake na kutatuliwa tatizo lake,alikuwa mwenye kipaji cha Uongozi toka kwa Mungu na mwenye kaliba ya pekee,kila mahali alipopita Watanzania walimfuata mtoto huyo aliyezaliwa tarehe 29/10/1959 ,Ucheshi wake uliwapa tumaini jipya masikini na kuona yupo mtetezi wao,huruma yake ilitua mzigo mzito waliobeba Watanzania,si mwingine ni Hayati Rais John Pombe Magufuli,mcha Mungu wa kweli na mwamini aliyeamini katika jina la Yesu,rejea kipindi cha korona.

Leo nielezee mapenzi ya mwana wa Tanzania ,mwana wa Afrika,na mtu aliyeacha alama duniani kwa matendo mazuri kwa nchi yake ya Tanzania,akiwa Waziri kwa miaka 20 na hatimaye Rais wa Tanzania kwa miaka mitano,Hayati Rais John Pombe Magufuli alifanya mambo makubwa mno,alikuwa Mzalendo mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yake ya Tanzania,hakutaka Tanzania ichezewe na mtu yeyote iwe Mtanzania,mzungu au mwarabu,katika urais wake kwa miaka mitano Hayati Rais John Pombe Magufuli hakuijua China,Marekani wala Ulaya toka achaguliwe hadi anaondoka dunia hii, yeye alipenda kutembelea Morogoro,Arusha, Iringa,Tanga, Mbeya, Songea, Mtwara, Lindi, Rukwa, Sumbawanga anarudi Moshi,Singida anaingia Dodoma kamaliza,

Hayati Rais John Magufuli alizunguka katika mikoa ya Tanzania Ili kujua matatizo na shida za Watanzania azitatue,katika mikutano yake alitembea kwenda moja kwa moja kuongea na mtu mwenye shida,alimuangalia usoni alipata taswira ya shida na tatizo la Mtanzania yule na kulichukua yeye tatizo lake la kulitatua kama kiongozi wa nchi,alitamani yeye akinywa chai asubuhi kila Mtanzania anywe chai, yeye akila mchana kila Mtanzania ale chakula mchana,yeye akila chakula usiku basi kila Mtanzania ale chakula usiku,hakula chakula mezani kwake bila kusoma mafaili mezani kwake na kutatua shida za Watanzania,alikuwa msikivu, mvumilivu, mwenye huruma,upendo,rafiki wa wanyonge na wanaoonewa,alisimama kwa waliovunjika moyo ili kuwapa tumaini jipya,hakuona shida kutoa mpaka senti ya mwisho mfukoni mwake kuwapa wenye uhitaji,yeye aliishi ufukara kama sisi ili kujua shida zetu,na kwa hakika siku ya mazishi yake Watanzania walilia hadi tone la mwisho,hii ilioneshwa kuondokewa kwao, Watanzania walilia sababu walijua walichopoteza,na Sasa tunaona kamwe tulichopoteza hakiwezi kurudi.

Japokuwa alikuwa mwenye mamlaka ya juu kuliko Mtanzania yeyote lakini alishuka kwa unyenyekevu na kula na Wananchi chakula wanacho kula wao,hakujitenga wala kunyanyapaa watu wa hali yoyote,masikini,mgonjwawote aliwapa sababu ya kupata tabasamu,faraja na tumaini jipya kwa maana hakusahau alipotoka,alijawa huruma na upendo,alijawa na msamaha na kumsamehe Nape aliyekwenda Ikulu kuomba msamaha,vijana wa enzi yake aliocheza nao akanywa nao kahawa,kila alipopita alitenda mema,akawafuta walioonewa machozi yao,akawafungua wafugwa wao,aliingia magerezani kuwasalimu wafugwa,ubinadamu ndio hisia zake,akawasamehe waliokosea,Wimbo wa upendo uliibwa machoni pake,rohoni na kwenye utumishi uliotukuka,hakujilimbikizia mali,alijua tulikuja tupu tutaondoka tupu,alikuwa mwenye utani,matani kidogo,alisalimia kwa lugha ishirini kabla ya kuanza kuhutubia mkutano wake,masihara kidogo ili tu kuwaonyesha ni Mimi yule yule sikubadilika,Usingizi hakupata akiiwazia Tanzania,asubuhi aliamka na saa mbili asubuhi alianza kuzindua miradi aliyoagiza ijengwe kwa manufaa ya Watanzania wa leo,kesho na kesho kutwa,alikuwa Baba mwema sana.

Wananchi wengi walikiri kuwa Rais John Magufuli ndiye rais waliyemsubiri kwa miaka mingi sana,nilisikia watu wakisema tulichoka dharau kutoka kwa vijinchi vidogovidigo Hayati Raisi John Pombe Magufuli aliturudisha kwenye chati ya Afrika na kuturudishia heshima,we are a big nation a Great Tanzania,rejea siku ya Msiba wake,Rais wa Botswana,Mh Mokgweetsi Masisi alisema,nanukuu "Tanzania you have a big shoes to wear after the departure of President John Magufuli" kila hotuba ya Rais siku ile ilimtaja Hayati Rais John Magufuli kama Mwana wa Afrika,Rais Ramaphosa alisema "Magufuli was a true son of Africa,a pan africanist" Rais Kenyatta alisema "Magufuli alikuwa ni Mwanamwema wa Afrika" mpaka hapa unaweza kujua Hayati Rais John Magufuli alitembea katika nyayo za Mababa wa Afrika,Kwame Nkrumah, Julius Nyerere,Haile Selassie,Samora Machel,Edward Mondlane,Keneth Kaunda,Jommo Kenyatta na Joachim Chisano.

Nimalizie kwa nukuu chache nilizopata kuzisoma kwenye Journal mbalimbali za kimataifa,Magufuli stands out in his humility and self-deprecation. He shuns wealth, and fame. In a country where thieves are celebrated, and murderers elevated — Dr Magufuli is the one public servant who forsook worldly possessions. Mark 8:38 asks: “For what shall it profit a man, if he shall gain the whole world and lose his own soul?” Methinks the author in the good book must have had a great leader in mind,The simplicity of this Societal and moral giant is the one thing that remains an enigma to me and many. He always roots for the little guy. He abhors hierarchy and disdains flamboyance,he’s ruthlessly self-critical. He always puts himself last,He’s a rare breed.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
0755078854

-Bachelor of business administration in International business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publications;-
-Assessment on the Effects of Micro-financing on Poverty Reduction.
Mwenyezi ampe pumziko la amani siku zote mwamba alituheshimisha!
 
...n's death
Do you have the death certificate of our beloved 'youth'!? I presume you have more info of Ben's whereabout; therefore , our security organs should seek audience with you, uh!?

Najua unataka kuharibu uzi huu!!
Hata hivyo, sikuwachii hivi hivi!

Swali dogo, unaweza kutupa mlolongo wa matukio unaoonyesha Chama alichokuwa anakitumikia kijana huyo kilichukua hatua zipi za kisheria, za kiusalama katika kuhakikisha kijana wao anapatikana? Tunajua Chama kilichukua hatua za kisiasa tu!!
 
Back
Top Bottom