Naombakuliza kwa mwenyeanajua natak kufungua card ya benk ambayo ni master card ya NMb nishingp kufungua !View attachment 879083
Inawezekana yupo mbali na ofisi,Ungeenda kwa Ofisi zao ili wakupe maelezo yaliyojitosheleza.
Tsh 15,000Naombakuliza kwa mwenyeanajua natak kufungua card ya benk ambayo ni master card ya NMb nishingp kufungua !View attachment 879083
NMB personal account "google haya maneno utaona ..... au check hiyo picNaombakuliza kwa mwenyeanajua natak kufungua card ya benk ambayo ni master card ya NMb nishingp kufungua !View attachment 879083
Ndugu _katika matawi ya nmb kuna masanduku ya maoni kote hivyo ulipaswa kutoa maoni yako, ukieleza lalamiko lako kwa mtririko mzuri , usiaminishe wana jamii kuwa nmb matawi yote au watumishi wote wako hivyo hapana sio sahihi ,
Eleza umefanya nini , kimetokea nini na umefikia hatua gani
Wapo watumishi badhi wa nmb sio wakweli wala waaminifu na wanajihusiha na tabia mbaya kinyume na mahitaji na malengo ya nmb lakini usifanye genelisation kwakweli !
Mbona huduma ipo active bro,sena ukikopa mara moja ndani ya mwezi huwezi kopa tena hata kama ulikopa hela chini ya kiwango chako ulichowekewa kukopaToeni salary advance kama mtu ana dharura imsaidie mbona mlianza vizuri? Kama huduma imesitishwa pia mseme kwani kila ukiomba unaambiwa Masaa 48 ambayo nayo yanapitiliza. Tunahoji humu mpo kimya