Nitatoa zawadi ya 200,000

Nitatoa zawadi ya 200,000

jina linaweza kuwa lake je picha una uhakika ni yake? fikiria mbalii kidogo majina yanafana sana
 
Kama hujampata mwizi wako njoo pm nikupe details jinsi ya kumpata,naogopa kuweka details hapa kwa sababu mwizi anaweza kuwa yupo kwenye hili jukwaa
Weka tu ili iwe fundisho
 
Hongera sana mkuu naona yeye aliumia Mara mbili yako maana Pesa inaingia anakimbia kwa wakala anaambiwa pesa imerudi na ukute alikuwa anadaiwa hela ya pango hahaah
Baada ya hapo na mashtaka juu
 
Weka tu ili iwe fundisho
Okay,kama mwizi husika amejiunga na mitandao ya kijamii kama facebook,instagram etc,tumia rafiki zake wa karibu au ndugu zake(ukifuatilia kwa kina utajua ndugu au rafiki wa muhalifu)Pia kama mwizi ni mwanaume tafuta msichana then huyo msichana atengeneze mazingira ya ukaribu na muhalifu then utampata soon.Njia nyingine ni ya kutumia vyombo vya dola although ni garama,pia kama jina la muhusika unalifahamu unaweza kufuatilia educational background humo utakutana na marafiki zake na mwisho wa siku utampata muhusika..NOTE:njia hizi zitafaa pale tuu umekosea kutuma pesa kama umemtumia mtu pesa kwa hiyari yako especially kutuma pesa kwa muhusika ambaye haujawahi kuonana nae ni vigumu sana kumpata kwa sababu wengi huwa wanasajili laini kwa vitambulisho feki so hata majina yao huwa ni feki pia.
 
Sasa apo umejuaje kama huyo ulomuweka picha ndo yeye, hujui kuna watu wanana majina?
 
Mkuu kwanza pole sana kwa yaliyotokea. Kwa kipindi km hiki kupoteza pesa inauma sana! Lkn naomba na me nitoe ushauri kidogo ingawa unaonekana hupendi kusikia ushauri wenye mwelekeo hasi.

Kosa lako la kwanza ni kutuma pesa kimakosa kwa kukosa umakini.
You are damn wrong! The guy is a THIEF! Do you even what a word thief mean?
 
no vitu vingne jarbu kutumia common sense leo umepost pics za mtu humu kwa jina alosajiria line
tz kuna watu kibao wanatumia line ambazo hazisajiliwa jina lake kama mm hapa
je mwenye hio pics akikufungulia kesi ya uzalilishaji utakua umeonewa??na ushafikiria odds za kishndwa na utaoteza shilling ngap zaidi???
Unajua terms and conditions za kusajili namba ya simu au unabwabwaja tu?
 
Unajua terms and conditions za kusajili namba ya simu au unabwabwaja tu?
Inatia hasira sana aiseeee.......
Nimejifunza mengi sana kupitia huu uzi.
Na nimegundua watu wengi hawajui na wanapoteza haki zao kwa kuogopa ama kutokujua vipengele vidogo vya sheria za wizi wa mitandaoni
You are fuckn idiot! Unajua maana ya mwizi ni nini?
 
Anatafutwa kwa kosa la wizi kwa njia ya mtandao. Pia namba alio tumia kupokelea pesa haipatikani.
Kwa mujibu wa maelezo kadhaa.... Inasemekana anaishi maeneo ya kimara Dar.
Kama nilivyo toa angalizo kwamba zawadi ya 200,000 itatolewa kwa yeyote atakae toa informations zake na exactly location anayo patikana naomba ani PM.
Nimeambatanisha picha na machache niliyo yapata kuhusu mtu huyu.
Asanteni.View attachment 492396View attachment 492397View attachment 492398
ni pm mkuu nikupe namba za mtu pale polisi kati atakusaidia hilo tatizo watu kibao kawasaidia yeye ni kitengo maalumu kwa hii issu
 
Back
Top Bottom