JOHNGERVAS
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 1,450
- 2,498
jina linaweza kuwa lake je picha una uhakika ni yake? fikiria mbalii kidogo majina yanafana sana
Ulimtumia sh ngapi nduguKaniumiza parefu sana aiseeeee.....
Sema hapa tuKama hujampata mwizi wako njoo pm nikupe details jinsi ya kumpata,naogopa kuweka details hapa kwa sababu mwizi anaweza kuwa yupo kwenye hili jukwaa
Weka tu ili iwe fundishoKama hujampata mwizi wako njoo pm nikupe details jinsi ya kumpata,naogopa kuweka details hapa kwa sababu mwizi anaweza kuwa yupo kwenye hili jukwaa
Okay,kama mwizi husika amejiunga na mitandao ya kijamii kama facebook,instagram etc,tumia rafiki zake wa karibu au ndugu zake(ukifuatilia kwa kina utajua ndugu au rafiki wa muhalifu)Pia kama mwizi ni mwanaume tafuta msichana then huyo msichana atengeneze mazingira ya ukaribu na muhalifu then utampata soon.Njia nyingine ni ya kutumia vyombo vya dola although ni garama,pia kama jina la muhusika unalifahamu unaweza kufuatilia educational background humo utakutana na marafiki zake na mwisho wa siku utampata muhusika..NOTE:njia hizi zitafaa pale tuu umekosea kutuma pesa kama umemtumia mtu pesa kwa hiyari yako especially kutuma pesa kwa muhusika ambaye haujawahi kuonana nae ni vigumu sana kumpata kwa sababu wengi huwa wanasajili laini kwa vitambulisho feki so hata majina yao huwa ni feki pia.Weka tu ili iwe fundisho
You are damn wrong! The guy is a THIEF! Do you even what a word thief mean?Mkuu kwanza pole sana kwa yaliyotokea. Kwa kipindi km hiki kupoteza pesa inauma sana! Lkn naomba na me nitoe ushauri kidogo ingawa unaonekana hupendi kusikia ushauri wenye mwelekeo hasi.
Kosa lako la kwanza ni kutuma pesa kimakosa kwa kukosa umakini.
Unajua terms and conditions za kusajili namba ya simu au unabwabwaja tu?no vitu vingne jarbu kutumia common sense leo umepost pics za mtu humu kwa jina alosajiria line
tz kuna watu kibao wanatumia line ambazo hazisajiliwa jina lake kama mm hapa
je mwenye hio pics akikufungulia kesi ya uzalilishaji utakua umeonewa??na ushafikiria odds za kishndwa na utaoteza shilling ngap zaidi???
You are fuckn idiot! Unajua maana ya mwizi ni nini?Ukikosea kutuma pesa basi fanya kama umepoteza tu,usiihesabie kabisa!Halafu mtu huwezi muanika kisa ameingia mitini na hela uliyomtumia kimakosa!
Safi sana mkuu kama umemkamata. Pamoja sana. Mwizi si wa kuhurumia!Hapa saivi ningeweza kusema lolote, lakini kwakua swala hili lipo mikononi mwa sheria, naomba ninyamaze ingawa nimefanikiwa kwa 90%
Inatia hasira sana aiseeee.......Unajua terms and conditions za kusajili namba ya simu au unabwabwaja tu?
You are fuckn idiot! Unajua maana ya mwizi ni nini?
ni pm mkuu nikupe namba za mtu pale polisi kati atakusaidia hilo tatizo watu kibao kawasaidia yeye ni kitengo maalumu kwa hii issuAnatafutwa kwa kosa la wizi kwa njia ya mtandao. Pia namba alio tumia kupokelea pesa haipatikani.
Kwa mujibu wa maelezo kadhaa.... Inasemekana anaishi maeneo ya kimara Dar.
Kama nilivyo toa angalizo kwamba zawadi ya 200,000 itatolewa kwa yeyote atakae toa informations zake na exactly location anayo patikana naomba ani PM.
Nimeambatanisha picha na machache niliyo yapata kuhusu mtu huyu.
Asanteni.View attachment 492396View attachment 492397View attachment 492398