nini bigmind.Colitha![]()
![]()
![]()
Jamani nami namtafuta mtu anaitwa Zabibu Muba anatumia namba 0713878848
pole sana anzisha uziyaani hawa watoto na pesa watalipa na fidia juu....!!!Njaa zitaja watoa roho.
Leo kwenye njaa na tamaa kama wewe, ananyea debe na amewafedhehesha wazazi wake pamoja na kanisa lake...![]()
![]()
![]()
Saivi anabebeshwa ndoo ya hajakubwa kichwani....good nimeipenda hii..mm mwenyewe Niko mbioni kumlipua mtu humu!!
uamnifu umekua mtihani sana siku hizi kaona elf50 ndogo..mshenzi huyooo
mkamate mfunge kabisa!!!wanakera sana hawa wezi

Happy for big bro nilikuwa nakuonea huruma mtu umetafuta kwa jasho mtu atakuchukulia kilaini bila hofu ya MunguToa shaka Mkuu....
Jf imenifanya nikafika pazuri
safi sana aiseehh!!yaani kazi imekua rahisi sana huyo anapaswa awe mfano kwa mwingineSaivi anabebeshwa ndoo ya hajakubwa kichwani....![]()
![]()
Samahani kama bado utakuwa na hilo tatizo nitafute nitakupa mtu hata kama kavunja lain stapatikana ndani ya wiki moja tuKama sio yeye, kwanini alikubali kua amezipokea na akazitoa?
Kama sio yeye kwanini alikubali kwamba anazirudisha?
Kama sio yeye kwanini amepotea kwenye namba ya simu nili mtumia?
Kama nilimtumia hiyo pesa tarehe 23 March, jaribu kuoanisha na alichokuja kuki post kwenye account yake ya facebook tarehe 26 March
Mkuu kuna jamaa hapa USHIROMBO karibu na bazizan alikuja kutoa laki 2 na ninamfahamu kabisa inaweza kuwa ni yeye, labda ungenipa maelezo hayo malipo ulikuwa unawalipa watu wa idara gani ili iwe rahisi kupata uhakika wa ninachokihisi.
Halafu hujatueleza mlikutana vipitafadhali jaribu kueleza kwa kirefu!ana husika vipi na wizi huo?
Labda ndiyo mwenyeweNaomba nikupuuze aiseeeee......
Ipo siku nawe yatakukuta