Nitatoa zawadi ya 200,000

Nitatoa zawadi ya 200,000

mkuu jinsi dunia ilivo kijiji atapatikana punde si punde tu
 
huo ni kuchafuana brand!una uhakika gani kama ndio yeye?kosa ni kako au lake?kwa nini umejipa kazi ya polisi na mahakama?kama sio yeye uko tayari kumlipa fidia?achaupuuzi
Acheni kuchezea mitandao hawezi kuchepuka, sheria ya nchi inaeleza ukirushiwa pesa zisizo zako katoe taarifa polisi. Je alifanya hivyo.?.
 
huo ni kuchafuana brand!una uhakika gani kama ndio yeye?kosa ni kako au lake?kwa nini umejipa kazi ya polisi na mahakama?kama sio yeye uko tayari kumlipa fidia?achaupuuzi
Acha kutukana watu
 
Pole kwa mkasa mkuu
Bado nawashangaa wanaosema makosa ni ya mtumaji fine

Wamesahau kama bianadamu si mkamilifu

Pia inakuwaje ukipokea ujumbe ambao Wa vitisho vya kuuawa kwa njia ya SMS? Mbona huwa wanariport hata ukipokea fedha ambayo imetumwa kimakosaaa report pia.

Sema njaa ndio huwa zinatufanya tunasahau ubinadamu

Huyo jamaaa mzee mnyoooshe tu. Hakuna namna
 
huo ni kuchafuana brand!una uhakika gani kama ndio yeye?kosa ni kako au lake?kwa nini umejipa kazi ya polisi na mahakama?kama sio yeye uko tayari kumlipa fidia?achaupuuzi
We na wewe mbona unakua nanga mkubwa wewe?? Ume ambiwa mtu kakosea. Kaongea nae amrushie pesa zake jamaa kapotea kabisa. Swala lakujua kama ni yeye si line zake kasajili kwa jina lake?? Na kama alitumia kitambulisho cha mtu. Basi huyo mtu ata saidia polisi kumpata mtuhumiwa. Kwasababu pia ni kosa kisheria kutumia kitambulisho cha mwezako au kumpatia mtu kitambulisho chako atumie kama yeye. We sheria yako Ume okotea wapi wewe Mtu Wewe?? Embu waza huko. usi kurupuke tu kujibu kisa unajua kuna kilipa fidia.
 
Tusizunguke mbuyu, Huyo Jamaa ni mwizi maana Kama pesa Imeingi Kwenye ac yako halafu hujui imetoka wapi ni busara kusubiri na kuona nani atakupigia, Mimi ilishanitokea siku moja hela iliingia kwangu yakutosha kiss nikasema doh, mambo yamekaa poa ila roho ikaniuma sana, nilikuwa na rafki yangu akanishauri tukaitoe fasta nikaona ni mwenye Tamaa nikampa ukweli kuwa sili jasho la mtu kwanza sijui kaipata vipi, nimekaa masaa mawili nishasahau nasikia sim inaita kupokea nasikia mama analia nikamuuliza vipi mbona walia na sikufahamu akaniambia amenitumia pesa kimakosa nikamuuliza sasa anacholia ni nini akaanza kujieleza mambo meengi nikamwambia pesa yake ipo salama cha msingi aongee na Huduma kwa Mteja wairudishe na kuanzia wakati huo sitafanya muamala wowote mpaka anijulishe kuwa amerudishiwa hela yake mama alifurahi sana, sikuona nimeshinda njaa kwasababu nimeachia pesa isiyo halali yangu, hivyo Mimi napitisha kabisa kuwa huyo mtu ni mwizi kabisa tena alaaniwe
Dah?? Mungu akuzidishie kwakweli
 
Huyu chiwalala kule face book linejinasibu kama liandishi la habari halafu kama lime abandon account yake maana iko almost empty
 
Anatafutwa kwa kosa la wizi kwa njia ya mtandao. Pia namba alio tumia kupokelea pesa haipatikani.
Kwa mujibu wa maelezo kadhaa.... Inasemekana anaishi maeneo ya kimara Dar.
Kama nilivyo toa angalizo kwamba zawadi ya 200,000 itatolewa kwa yeyote atakae toa informations zake na exactly location anayo patikana naomba ani PM.
Nimeambatanisha picha na machache niliyo yapata kuhusu mtu huyu.
Asanteni.View attachment 492396View attachment 492397View attachment 492398
Mrejesho mkuu!
 
Anatafutwa kwa kosa la wizi kwa njia ya mtandao. Pia namba alio tumia kupokelea pesa haipatikani.
Kwa mujibu wa maelezo kadhaa.... Inasemekana anaishi maeneo ya kimara Dar.
Kama nilivyo toa angalizo kwamba zawadi ya 200,000 itatolewa kwa yeyote atakae toa informations zake na exactly location anayo patikana naomba ani PM.
Nimeambatanisha picha na machache niliyo yapata kuhusu mtu huyu.
Asanteni.View attachment 492396View attachment 492397View attachment 492398
TCRA: Usimrudishie aliyekutumia pesa kimakosa mtandaoni
 
Back
Top Bottom