Hayo yote yalifanyika kabla na hata baada.Ukwelin kwamb umeingia lost na pole sana kwa hilo, Na yy kwa ujumla anamakosa makubwa tu kwakua alishakiri, kosa lako japo siwez kukulaum sana mana inaonesha kwa mzgo ulioutuma n mkubwa ulipanic kias, ila ilipaswa kabla hujamuanika kwa njia hii, basi ungetumia njia hio hio ya kumtafuta kweny social network huko huko mfano fb umfuate PM UMPE WARNING KWANZA km asipokua muungwana Unamuanika live au kwa njia km hizo za kuwapata watu wa karb mfno ndugu, Naamin wasingependa ndugu yao adharirishwe mana na wao watakua wamedharirika, wangekusaidia am sure na inshu ikaisha kiivyo, M ninavyoona pande zote zinamakosa ila n ukubwa wa makosa tuu ndo unatofautiana, ALL IN ALL POLE SANA
Rudia kusoma Uzi na uelewe mkuuHapo kapiga picha eneo la kanisa.. ina maana wewe kabla ya kumuanika huku basi ungefanya upelelezi kimya kimya kwa washarika wa pale kimara naona ingekuwa rahisi sana kumpata..ila sasa umeshamwanika hapa akiona atajua unamtafuta atatokomea mkoa.. kama ni hele ndefu keshapata mtaji..ila pia it might not be too late, fanya kumfukuzia kimya kimya pale kanisani uliza utampata tu
Mkuu mwizi wetu bado hajapatikana??Rudia kusoma Uzi na uelewe mkuu
Rudia kusoma Uzi na uelewe mkuu
Hongera sana..Mrejesho utafaa sana..Mambo yalienda vizuri mkuu......
Nitaleta mrejesho baada ya kukamilisha mambo ya kimamlaka