Nitatoa zawadi ya 200,000

Nitatoa zawadi ya 200,000

huo ni kuchafuana brand!una uhakika gani kama ndio yeye?kosa ni kako au lake?kwa nini umejipa kazi ya polisi na mahakama?kama sio yeye uko tayari kumlipa fidia?achaupuuzi
Mbona puvu sana bro?
Soma vuziuri maelezo ya mleta mada hapo juu
 
Anatafutwa kwa kosa la wizi kwa njia ya mtandao. Pia namba alio tumia kupokelea pesa haipatikani.
Kwa mujibu wa maelezo kadhaa.... Inasemekana anaishi maeneo ya kimara Dar.
Kama nilivyo toa angalizo kwamba zawadi ya 200,000 itatolewa kwa yeyote atakae toa informations zake na exactly location anayo patikana naomba ani PM.
Nimeambatanisha picha na machache niliyo yapata kuhusu mtu huyu.
Asanteni.View attachment 492396View attachment 492397View attachment 492398
Mkuu hili Kosa ni la kwako. na pole sana. hapo utaisoma namba
 
Pole sana mkuu mwenyew hayo yalisha nitokea saana, ila ya maramwisho nilikosea nikamtumia mtu pesa ndefu kidogo. nahisi hata uliotuma wewe haifikii. nikawasiliana nae huku nikimuomba anirudishie pesa yangu, sim akazima na laini akatupa. sikutaka kujisumbua, nikajisogeza Bariadi. hapakupita wiki 2 pesa amerudisha yeye mwenyewe. nimeshangaa tu mtu kanipigia namba ngeni... nikaletewa pesa japo alikua tayari alisha tumia kama Nusu. ila yoote amelipa, pole sana
 
Mkuu ata kwa sangoma nenda tu mfundishe adabu
Na utuletee mrejesho hapa jukwani.
Hawa vibaka wanaomtetea wasikutishe
 
kuna page moja ya instagram inaitwa usipojipanganitakupanga mtafute huyo mtu atakusaidia kiboko ya matapeli
 
Ila umekosea kumwita MWIZI kwani wewe ndio Mwenye makosa hukua makini wakati wa kutuma pesa kwani yeye hajafanya biashara yeyote na wewe ameshangaa mzigo umeingia kwa nn asiende kutoa atumie wakati malaika kamshushia zigo la hela kwenye sim
Na inawezekana hiyo pesa yako sio ya halali ndio uliko itoa au inapokwenda
Ulisha wahi kufanya transactions kutoka kwa bank accounts to sim bank?
Na kama unahisi sijaipata kihalali, kwanini uamini kwamba ilimstahili ambae hakuitolea jasho?
By the way........
Huu uzi umenisaidia na nimefanikiwa kwa 90%
 
Ni kosa kisheria kutumia pesa ambayo umeipokea kimakosa, sheria inakushurutisha kurudisha sehemu ilipotoka
Mkuu.....
Humu wengi wanao mtetea huyo mwizi ni wenye njaa na tamaa.
Bahati mbaya wanao tetea uovu huu, hawajui kwamba hilo ni kosa la wizi wa kwenye mitandao
 
Hata hivyo ww umefanya makosa ama kwa uzembe, kutojua au kwa bahati mbaya. Hukutakiwa kumpigia yeye, bali ulitakiwa kuwapigia customer care ya mtandao uliotumia kutuma pesa wangeblock na wangekurudishia hiyo hela. Usirudie kufanya makosa ya namna hiyo
Haya ndio madhara yaku comment uzi ikiwa hauja elewa ama pasipo kusoma mtiririko mzima wa maudhui
 
Hii kesi itakugeukia wewe... Na umejibehaave kama bashite kabisa.. Ushaidi wote unao...namba yake na eneo... Unakimbilia kuja muanika JF..

UNAWEZA UKAMPATA NDIO ....JE AKIKULIPA NA AKUGEUZIE KESI YA KUANIKA PRIVACY ZAKE UTAFANYAJE...

MAANA MPAKA SASA YE SI MWIZI...ILA WEWE CYBER CRIMINAL..

UMECHEMKA SANA BRO.
Hakuna kilicho geuka mkuu, haya mambo hayataki ujuaji na ujanja ujanja.
Sheria ni msumeno
 
Umeona ushimeni alivyofanya makosa... Huyu mtu akienda mahakamani Ushimen haponi...
Hapa saivi ningeweza kusema lolote, lakini kwakua swala hili lipo mikononi mwa sheria, naomba ninyamaze ingawa nimefanikiwa kwa 90%
 
Back
Top Bottom