Ha..ha..haa.has.has.haJumapili nenda hapo kkkt kimara utamuona anasimama hapo alipopigia picha, akitaka kupiga nyingine au umwambie mchungaji atangaza hapo kanisani!
Lakini isije ikatokea ukamwaga machozi hapo kanisani maana ndipo hapo Bashite alipomwaga machozi!
hata ka ni wewe mpunga umeingia wa kutosha alafu uko majalala utarudisha.?........kama ni kesi na iwe sirudishi...na kama unavojua huu wakati mpunga umekuwa scarce sababu ya baba JescaUyo jamaa aliekataa kurudisha hela nae analo kosa maana kataarifiwa na yeye kakiri kuwa hela imeingia na kapewa offer ya elfu 50 lakini hakurudisha na hapatikani hewani
Afadhali ya huyo alie kuambia ukweli, na kweli kuna wakati tunapaswa kusamehehahahha haya mambo bwana nilikosea nkamtumia jamaa mkwanja flan badae nkamcheki anirudushie alicho nijibu nilicheka peke yangu kwa upole alinambia
"bro nna dhiki ya kufa mtu, nkisema ntakurudishia ni uongo nisamehe sana bro."
Naomba nikupuuze tafadhali....Mitandao hii kweli shida! Yaani pesa utume mwenyewe, ukosee namba, ni huruma yake tu kukubali unakuja hapa kumwita mwizi! Ipo hivi mi ningeitoa na ungepiga simu na mkwara wako wa kunipa hiyo hamsini ningekwambia nishaitoa na simu nisingezima! Hii mitandao hii yaani hapo nahisi kama mna yenu unamdhalilisha tu
Tusizunguke mbuyu, Huyo Jamaa ni mwizi maana Kama pesa Imeingi Kwenye ac yako halafu hujui imetoka wapi ni busara kusubiri na kuona nani atakupigia, Mimi ilishanitokea siku moja hela iliingia kwangu yakutosha kiss nikasema doh, mambo yamekaa poa ila roho ikaniuma sana, nilikuwa na rafki yangu akanishauri tukaitoe fasta nikaona ni mwenye Tamaa nikampa ukweli kuwa sili jasho la mtu kwanza sijui kaipata vipi, nimekaa masaa mawili nishasahau nasikia sim inaita kupokea nasikia mama analia nikamuuliza vipi mbona walia na sikufahamu akaniambia amenitumia pesa kimakosa nikamuuliza sasa anacholia ni nini akaanza kujieleza mambo meengi nikamwambia pesa yake ipo salama cha msingi aongee na Huduma kwa Mteja wairudishe na kuanzia wakati huo sitafanya muamala wowote mpaka anijulishe kuwa amerudishiwa hela yake mama alifurahi sana, sikuona nimeshinda njaa kwasababu nimeachia pesa isiyo halali yangu, hivyo Mimi napitisha kabisa kuwa huyo mtu ni mwizi kabisa tena alaaniwe
Tusizunguke mbuyu, Huyo Jamaa ni mwizi maana Kama pesa Imeingi Kwenye ac yako halafu hujui imetoka wapi ni busara kusubiri na kuona nani atakupigia, Mimi ilishanitokea siku moja hela iliingia kwangu yakutosha kiss nikasema doh, mambo yamekaa poa ila roho ikaniuma sana, nilikuwa na rafki yangu akanishauri tukaitoe fasta nikaona ni mwenye Tamaa nikampa ukweli kuwa sili jasho la mtu kwanza sijui kaipata vipi, nimekaa masaa mawili nishasahau nasikia sim inaita kupokea nasikia mama analia nikamuuliza vipi mbona walia na sikufahamu akaniambia amenitumia pesa kimakosa nikamuuliza sasa anacholia ni nini akaanza kujieleza mambo meengi nikamwambia pesa yake ipo salama cha msingi aongee na Huduma kwa Mteja wairudishe na kuanzia wakati huo sitafanya muamala wowote mpaka anijulishe kuwa amerudishiwa hela yake mama alifurahi sana, sikuona nimeshinda njaa kwasababu nimeachia pesa isiyo halali yangu, hivyo Mimi napitisha kabisa kuwa huyo mtu ni mwizi kabisa tena alaaniwe
Hahahahahahha haya mambo bwana nilikosea nkamtumia jamaa mkwanja flan badae nkamcheki anirudushie alicho nijibu nilicheka peke yangu kwa upole alinambia
"bro nna dhiki ya kufa mtu, nkisema ntakurudishia ni uongo nisamehe sana bro."
Sawa mkuu..nakuombea kwa Mungu usimpate! Na kesho utume kwa mwingine! Sema AmeenNaomba nikupuuze tafadhali....
Mie kuna siku wakala aliniwekea 800,000/- badala ya 80,000/- nikaona baadae kuwa kazidisha hela. Kesho yake nikarudi nikamuuliza jana umeniwekea sh ngapi akasema elfu themanini. Nkamwambia angalia meseji zako. Mama wa watu alitahamaki nikamrudishia 720,000/- huyo mama kila akiniona anahadithia watu maana hakuamini.hahahha haya mambo bwana nilikosea nkamtumia jamaa mkwanja flan badae nkamcheki anirudushie alicho nijibu nilicheka peke yangu kwa upole alinambia
"bro nna dhiki ya kufa mtu, nkisema ntakurudishia ni uongo nisamehe sana bro."
Eti jolowe!Kwakua yeye amejifanya jolowe, nami nataka nimuonyeshe kwamba mimi sio wa ushirombo
nimecheka kweli umenikumbusha mbali.. Pole sana sanaPost zote zifutwe ibaki hii tu,.. Ume enaPole sana,ngoja nikupe ujanja kidogo,nenda tigo waombe namba 3 alizokuwa anawasiliana nazo mara kwa mara.ukipata hizo namba 3 mpigie mmoja kati ya hao atakusaidia.hii Mimi iliwahi nisaidia kumpata mtuhumiwa.
Asante na asante kwa ushauriMkuu kwanza pole sana kwa yaliyotokea. Kwa kipindi km hiki kupoteza pesa inauma sana! Lkn naomba na me nitoe ushauri kidogo ingawa unaonekana hupendi kusikia ushauri wenye mwelekeo hasi.
Kosa lako la kwanza ni kutuma pesa kimakosa kwa kukosa umakini.
Kosa la pili hukujali ulipotuma mpaka ulipostuliwa na anayekudai.
Kosa la tatu baada ya kupiga simu huduma kwa wateja uliambiwa pesa imetolewa hukupaswa kumpigia cm ulitakiwa uanzie hapo kumtafuta.
Kwa sheria za fedha zilivyo huyo jamaa siyo mwizi(ingawa kiuhalisia ni mwizi) kwa sababu amefanya miamala yote halali. Yaani umemtumia muamala ukakamilika,mpaka akaenda kutoa na kwenyewe muamala ukakamilika. Yaani kiukweli hata hiki unachokifanya unaongeza makosa.
Kuweka picha yake mtandaoni unafanya kosa kwa sababu inawezekana kabisa mtumiaji wa hiyo SIM card anaweza asiwe yeye. Anaweza akawa anatumia mtu mwingine kabisa kutokana na udanganyifu wa freelancer aliyemsajilia hiyo sim card.
Ushauri: tumia njia za kistaarabu zaidi unaweza kumpata na mkaongea ki-rafiki unaweza kuokoa japo nusu. Hii ya ubabe huenda ukaendelea kupoteza pesa wakati unahitaji pesa.
Mwisho. Ushauri siyo kitu cha lazima unaweza kuuchukua au kuuacha. Pole tena mkuu Ushimen
Mkuu, jamaa nilitumia pesa nyingi kidogo.Sasa laki mbili itakufikisha wapi. Wabongo njaa kweli. Mtu badala ya kufanya ustaarabu kumrudishia mwenzako pesa yake, wewe unaamua kuitoa na kutelekeza laini yako na namba yako kisa laki mbili. Tabia mbaya sana hii.