magode
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 2,204
- 3,338
Mkuu anageuka mwizi wakati umemshawishi mwenyewe..!!?? Tuwe wakweli pesa inahitaji umakini mkubwa ndo maana unaona jinsi inavyotunzwa huko bank inakohifadhiwa. Maskini wengi hatuna mfumo mzuri wa kuheshimu pesa. Ndo maana ni lahisi sana kukuta elf 10 anachezea mtoto wa masikini sebuni lkn huwezi kuona hata Tsh.100 nyumbani kwa tajiri..!! Tajiri anafikia mafanikio kutokana na kuheshimu pesa...!!Hamna tofauti. Tofauti ni kuokota hela hiyo na kuzitumia ilhali ukijua si zako na ukimjua mwenyewe, na mwenyewe kukuomba uzirudishe na wewe kugoma. Hapo unageuka kuwa Mwizi .