Nitatoa zawadi ya 200,000

Nitatoa zawadi ya 200,000

huo ni kuchafuana brand!una uhakika gani kama ndio yeye?kosa ni kako au lake?kwa nini umejipa kazi ya polisi na mahakama?kama sio yeye uko tayari kumlipa fidia?achaupuuzi
Kaka inaonyesha ujawai pigwa pesa wewe
 
Pole sana,

Naamini umeonge na watu wa mtandao wa simu husika.


Ila ni bora ungetumia busara zaidi, kwa maelezo uliyoyatoa wewe ndio mwenye kosa kwa kutuma pesa kwa huyo kijana.


Sasa huo sidhani kama ni wizi kama ulivyosema.

Mimi nilishwahi kukosea, nikatuma pesa nyingi sana kwa mtu (though nilikua namjua as ni mlinzi wetu nyumbani) lakini nilichofanya nilizidisha kwa bahati mbaya.


Yule mlinzi alizitoa zote na simu akazima. Nilipoongea na customer care waliniambia hawana cha kunisaidia aababu pesa tayari imekwisha tolewa

Nilichofanya nikatumia hekima na ustaraabu zaidi wakuweza kumpata

Nashukuru Mungu nilizikuta zile pesa ila ziikua kwenye harakati ya kutumika.

So, kumuita huyo jamaa mwizi naona sio sawa maana utakua umemdharirisha

Ukizingatia wewe ndie ulietuma kwake.
 
Pole sana,

Naamini umeonge na watu wa mtandao wa simu husika.


Ila ni bora ungetumia busara zaidi, kwa maelezo uliyoyatoa wewe ndio mwenye kosa kwa kutuma pesa kwa huyo kijana.


Sasa huo sidhani kama ni wizi kama ulivyosema.

Mimi nilishwahi kukosea, nikatuma pesa nyingi sana kwa mtu (though nilikua namjua as ni mlinzi wetu nyumbani) lakini nilichofanya nilizidisha kwa bahati mbaya.


Yule mlinzi alizitoa zote na simu akazima. Nilipoongea na customer care waliniambia hawana cha kunisaidia aababu pesa tayari imekwisha tolewa

Nilichofanya nikatumia hekima na ustaraabu zaidi wakuweza kumpata

Nashukuru Mungu nilizikuta zile pesa ila ziikua kwenye harakati ya kutumika.

So, kumuita huyo jamaa mwizi naona sio sawa maana utakua umemdharirisha

Ukizingatia wewe ndie ulietuma kwake.
Hayo unayo yasema yote niliyafanya.
Kumbuka pesa ilitumwa tarehe 23 March, na nikakuja kumwaga mboga baada ya wiki mbili na sehem.
Na......
Wewe ulikua ukimfaham huyo mwizi wako, tofauti na mimi as mfaham.
By the way tamaa inaponza, ikikuponza utaiba, ukisha iba hapo tena unahitaji busara itumike....
Huu ni upuuzi aiseeee......
Yaani kama hata nilikubali kumpa 50,000 kama asante, lakini bado akazima sim na kutokomea kusiko julikana..... Napo bado unanihubiria nifanye busara....
 
Hayo unayo yasema yote niliyafanya.
Kumbuka pesa ilitumwa tarehe 23 March, na nikakuja kumwaga mboga baada ya wiki mbili na sehem.
Na......
Wewe ulikua ukimfaham huyo mwizi wako, tofauti na mimi as mfaham.
By the way tamaa inaponza, ikikuponza utaiba, ukisha iba hapo tena unahitaji busara itumike....
Huu ni upuuzi aiseeee......
Yaani kama hata nilikubali kumpa 50,000 kama asante, lakini bado akazima sim na kutokomea kusiko julikana..... Napo bado unanihubiria nifanye busara....
Huyo kijana ameonyesha hana uaminifu

Hata Mimi mlinzi nakwambia alizima na simu kabisa, na ilikua aziteketeze kama sio kumuwahi.


Tamaa ni mbaya
 
Makosa ya kwako mkuu y usiwe makin na pesa zako......

Yan ungekosea kwang....hata izo info ungezskia kwa bomba.
 
Hayo unayo yasema yote niliyafanya.
Kumbuka pesa ilitumwa tarehe 23 March, na nikakuja kumwaga mboga baada ya wiki mbili na sehem.
Na......
Wewe ulikua ukimfaham huyo mwizi wako, tofauti na mimi as mfaham.
By the way tamaa inaponza, ikikuponza utaiba, ukisha iba hapo tena unahitaji busara itumike....
Huu ni upuuzi aiseeee......
Yaani kama hata nilikubali kumpa 50,000 kama asante, lakini bado akazima sim na kutokomea kusiko julikana..... Napo bado unanihubiria nifanye busara....
In short jamaa sio mstaarabu. Hela hujaitolea jasho unataka kujimilikisha? angekuwa mstaarabu angekula efu 50 yake kiualali kabisa coz ulimwambia aichukue. Tamaa mbaya
 
In short jamaa sio mstaarabu. Hela hujaitolea jasho unataka kujimilikisha? angekuwa mstaarabu angekula efu 50 yake kiualali kabisa coz ulimwambia aichukue. Tamaa mbaya
Ebu acha kijana atapike utumbo kwakua alijisomomezea dole kinywani
 
alipokosea ni kumpigia jamaa aliyekosea kumtumia, faster angepiga kweny mtandao husika wangeirudisha io hela kama bado ingekua bado haijatolewa
 
Pole sana,

Naamini umeonge na watu wa mtandao wa simu husika.


Ila ni bora ungetumia busara zaidi, kwa maelezo uliyoyatoa wewe ndio mwenye kosa kwa kutuma pesa kwa huyo kijana.


Sasa huo sidhani kama ni wizi kama ulivyosema.

Mimi nilishwahi kukosea, nikatuma pesa nyingi sana kwa mtu (though nilikua namjua as ni mlinzi wetu nyumbani) lakini nilichofanya nilizidisha kwa bahati mbaya.


Yule mlinzi alizitoa zote na simu akazima. Nilipoongea na customer care waliniambia hawana cha kunisaidia aababu pesa tayari imekwisha tolewa

Nilichofanya nikatumia hekima na ustaraabu zaidi wakuweza kumpata

Nashukuru Mungu nilizikuta zile pesa ila ziikua kwenye harakati ya kutumika.

So, kumuita huyo jamaa mwizi naona sio sawa maana utakua umemdharirisha

Ukizingatia wewe ndie ulietuma kwake.
Kweli aisee Hugo jamaa Venance mi nimesoma naye hakuwa na Tania kama hyo, afu mtuma pesa ndo mwenyej makosa
 
Mkuu ushimeni hawa watoto na mabitoz wasiojua kutafuta pesa wasikupangie cha kufanya madam umempata huyo mwizii peleka akanyee debe shenzi kabisa ajifunze
 
🙁 wizi gani wakati umetuma mwenyewe then huyo jamaa namfahamu tumesoma wote Mbeya hakuwa na tabia hizo usikosee namba kipindi hiki kila mtu hapangiwi
 
Back
Top Bottom