Nina miaka mitano sijala UGALI

Nina miaka mitano sijala UGALI

ugali labda itokee nimetembelea ndugu wakapika nitakula ,bahati mbaya sitembelei mtu mwaka unakatika mmoja au miwili .Sijawahi kuupenda na sili wala siukumbuki
 
Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.

Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.

Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.


"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
Baba yako kala sana huo ugali hadi ukazaliwa na akadunda miaka 130, wewe mla chipsi kuku kugusa miaka 80 tu ni mbingu na ardhi.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work
 
Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.

Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.

Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.


"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
We ni mwendo wa chips tuu!
 
Kweli mkuu na nimebadilika I'm looking young than my real age
Ugali wa Mahindi hauna afya kwa akili, unaharibu akili, unadumaza akili.
Kama ni kula ugali basi ilipaswa kama ni ugali iwe Samski na Ygali, siyo Ugali na Samaki, yaani Samaki mmoja kwa vitonge vitatu
 
Kua na mwili ambao hauhitaji kwenda Gym sio kwa sababu ya kutokula ugali, watu tunakula ugali sana na kitimoto kwa sana na bado tuna miili imejenga kama vile tunaenda gym.

Ugali ni wanga, usipokula ugali bado utakula wanga kwa namba nyingine.

Marekani hawali ugali, 40% ya population yao ni overweight, Mexico hawali ugali, 37% ya watoto wa umri wa shule ni obese ama overweight. Ugali haujawahi kua sababu ya overweight, miaka na miaka tumeamka wazee wetu walikua wanakula ugali tu na hawajawahi kua overweight.

Watu mna miili ya ajabu ajabu, inferior yenye kushindwa kuhimili wanga mnasingizia ugali. Tena ngoja nikaupige sasa hivi.
ugali wa wazee wetu ulikuwa wa dona,na hakukua na kuku wasiowika wala mayai yasiyorutubishwa
 
Mi nikikaa wiki sijala ugali nahis kama sina nguvu hivi.

Ugali nyama, ugali mboga za majani(salade, chainizi, sukamawiki😁, mchicha & kisamvu), ugali samaki(samaki wa ziwani), ugali makange, ugali dagaa(wakenya wanaita Omena)
Eeewalaaaa! Mambo hayo, unakula hadi unaisahau kesho😁
 
Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.

Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.

Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.


"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
Achana na mwili kujengeka; akili? Imejengeka?
 
Back
Top Bottom