Baba yako kala sana huo ugali hadi ukazaliwa na akadunda miaka 130, wewe mla chipsi kuku kugusa miaka 80 tu ni mbingu na ardhi.Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.
Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.
Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.
"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
We ni mwendo wa chips tuu!Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.
Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.
Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.
"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
Piga nguna Wewe Huoni kamanda kakaza ujinga, ujasiri huo ni WA ugali!Hii june yote nimeula mara mbili tu na penyewe ni ile basiii yani baaasii, sipendi ugali aseee siupendi mie
Hatukuwa naloUnamaanisha hatukua na zao la mahindi kabla ya ukoloni??
Mi nikikaa wiki sijala ugali nahis kama sina nguvu hivi.Mweeeeh! Ugali ninavyoupenda😭😭
Ugali wa Mahindi hauna afya kwa akili, unaharibu akili, unadumaza akili.Kweli mkuu na nimebadilika I'm looking young than my real age
🤣🤣🤣🤣🤣 ugali mwenzie mboga bwana.Bora hata nmeona hii comment, nilkua naona aibu kuusifia ugali laini na mboga tamuu
ugali wa wazee wetu ulikuwa wa dona,na hakukua na kuku wasiowika wala mayai yasiyorutubishwaKua na mwili ambao hauhitaji kwenda Gym sio kwa sababu ya kutokula ugali, watu tunakula ugali sana na kitimoto kwa sana na bado tuna miili imejenga kama vile tunaenda gym.
Ugali ni wanga, usipokula ugali bado utakula wanga kwa namba nyingine.
Marekani hawali ugali, 40% ya population yao ni overweight, Mexico hawali ugali, 37% ya watoto wa umri wa shule ni obese ama overweight. Ugali haujawahi kua sababu ya overweight, miaka na miaka tumeamka wazee wetu walikua wanakula ugali tu na hawajawahi kua overweight.
Watu mna miili ya ajabu ajabu, inferior yenye kushindwa kuhimili wanga mnasingizia ugali. Tena ngoja nikaupige sasa hivi.
Eeewalaaaa! Mambo hayo, unakula hadi unaisahau kesho😁Mi nikikaa wiki sijala ugali nahis kama sina nguvu hivi.
Ugali nyama, ugali mboga za majani(salade, chainizi, sukamawiki😁, mchicha & kisamvu), ugali samaki(samaki wa ziwani), ugali makange, ugali dagaa(wakenya wanaita Omena)
Kula hata wa mtama basi na wewe! Achana na wa mahindi; kula wa mtama na muhogo.Msosi unadumaza akili huo mi hata siuelewi yani
Ugali ugali tu bro 😁Kula hata wa mtama basi na wewe! Achana na wa mahindi; kula wa mtama na muhogo.
Achana na mwili kujengeka; akili? Imejengeka?Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.
Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.
Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.
"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
Dona flan mboga nzuri upate na mtindi🔥🔥 hawa watoto waliokulia Kota hizi mbanga hawazielewiEeewalaaaa! Mambo hayo, unakula hadi unaisahau kesho😁
Ugali sources; mahindi; mtama; muhogo or combination of those.Ugali ugali tu bro 😁