Nina miaka mitano sijala UGALI

Nina miaka mitano sijala UGALI

Unanisema mm ama, maana mm tangu 2010 niliacha kula huo mdude. Na npo freshi kabisa🤣
 
Uzi ungeambatana na picha tupate ushawishi kidogo wengine huku ni ugali mpaka hata tukitembea tunanukia unga
 
Wakoloni walileta mbegu za mahindi kwa ajili ya mifugo, wamatumbi wakafanya ndalilo na hadi leo eti wanaita ugali kuwa ni chakula chao cha asili
Nafikiri baada ya miaka kadhaa itakuwa historia kwa wajukuu.
Maana kuna wafugaji siku hizi wanalima mahindi kwa ajili ya mifugo tu

Mimi nimekulia Wali na nyama kwa sana ila ugali ilikuwa kwa mwaka tunaweza kula mara tatu tu au nne na wengine walikuwa hawali kabisa

Ila ndio walivyofundishwa wengi na ndio main meal ya Waafrika wengi

Ila wengine ni Mikate na chapati
 
Nafikiri baada ya miaka kadhaa itakuwa historia kwa wajukuu.
Maana kuna wafugaji siku hizi wanalima mahindi kwa ajili ya mifugo tu

Mimi nimekulia Wali na nyama kwa sana ila ugali ilikuwa kwa mwaka tunaweza kula mara tatu tu au nne na wengine walikuwa hawali kabisa

Ila ndio walivyofundishwa wengi na ndio main meal ya Waafrika wengi

Ila wengine ni Mikate na chapati
Umesema kweli kabisa.
Nilikuwa nashangaa watu wakitapa eti ugali ni chakula cha wanaume, kwangu ilikuwa ni kama vile wanasema ugali ni chakula cha mang'ombe.
Ukiondoa kudumuza akili, pia ugali ni hatari kuliko soda katika kuongeza mwili pia ni chanzo kikubwa cha kisukari kuliko vyakula vingine.

Tatizo haiwezi ikatangazwa sababu kiuhalisia mpaka sasa hakuna substitute ya ya ugali, hivyo inafinywa wanabaki kuziandama soda.
 
Umesema kweli kabisa.
Nilikuwa nashangaa watu wakitapa eti ugali ni chakula cha wanaume, kwangu ilikuwa ni kama vile wanasema ugali ni chakula cha mang'ombe.
Ukiondoa kudumuza akili, pia ugali ni hatari kuliko soda katika kuongeza mwili pia ni chanzo kikubwa cha kisukari kuliko vyakula vingine.

Tatizo haiwezi ikatangazwa sababu kiuhalisia mpaka sasa hakuna substitute ya ya ugali, hivyo inafinywa wanabaki kuziandama soda.
Haswa, yaani kuna wakati unasema ni chakula cha kimasikini sana.

Na mimi nategemea kununua ekari 50 na ekari hata 5 ntalima mahindi kwa ajili ya mifugo tu

Huwa sili ugali kwa sababu hatujakuzwa kula
Wala sio ushua Bali mila tu
 
Back
Top Bottom